Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu za sikuhizi ukifanya hivo zinakudai previous account bila hiyo acount ..simu haifungukiHuenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Pia kwa masomo na ujuzi zaidi kama
Spy(kupata sms za mpenz wako)
Rooting(version 6.o,7.o nk)
Website, blog, app wasiliana nami 0753093869.
Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install
Na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.
Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Nilijarb kwa tecno c8..w4...Simu gani
Ni njema sijaweza kueleza kila kitu ila nikasem mweny tatz aulizMtaalam umesahau sikuhiz kuna security mpya kweny version kuanzia 5 na kuendelea? Ningeona vyema kama ungewaelekeza namna ya kubypass previously google account that was used to sign in
GooodNilijarb kwa tecno c8..w4...
Ila kwa samsun Samsung ilkuwa v4 wala haikusumbua
Baada ya kuziondoa, hiyo thread nitaiwekaSimu za sikuhizi ukifanya hivo zinakudai previous account bila hiyo acount ..simu haifunguki
Ni vyema ungewaelez tatzo kubw kuliko hiyo ndog mno hat asiyejua skuiz anajuaNi njema sijaweza kueleza kila kitu ila nikasem mweny tatz auliz
Ilidai frp this nafanyaje bila kwenda kwenye computa?Huenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Pia kwa masomo na ujuzi zaidi kama
Spy(kupata sms za mpenz wako)
Rooting(version 6.o,7.o nk)
Website, blog, app wasiliana nami 0753093869.
Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install
Na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.
Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.
Mpka 6MNaofungua Ni V4>
Wasiliana nam8Ilidai frp this nafanyaje bila kwenda kwenye computa?
Kuna shida aleke
[emoji15] [emoji15] duu vipi mkuu iliua wangapiMkuu yani niliwahi Fanya hivi Simu ikalipuka
Ntakutafuta mkuuKuna shida aleke
Sawa mkuuNtakutafuta mkuu
Kuna i lphone iliokotwa na dereva bodaboda kwenye ajali ina paswad vipi unaweza kuitoa?k/koo imeshindikana lakiniHuenda umeokota simu na hukunjua mwenyeww pia huenda umesahau password za simu yako na kutoweza kufanya chochote sasa ondoa BUREE pasipo kulipia gharama nyiiingi kuflash
Pia kwa masomo na ujuzi zaidi kama
Spy(kupata sms za mpenz wako)
Rooting(version 6.o,7.o nk)
Website, blog, app wasiliana nami 0753093869.
Tuanze
HATUA YA KWANZA 1
zima simu yako. Yaani hapa simu iwe off.
Hatua ya pili hapa tutawasha simu into recovery mode yaani kwa kubonyeza zaidi ya button 1.
Uwashaji huu ubatofautiana na aina ya simu, ukiingia utaweka simu yako ujue namna ya kuwasha
Mfano tuanze na Tecno+infinix+sumsung
Ili kuiwasha simu hizi into recovery mode kwanza
-bonyeza Volume up+power button (power ni kidude cha kuwasha na kuzimia simu)
Utavishikilia kwa pamoja kwa sekunde kma 3,kisha simu hyo itawaka into recovery mode,
Hapo utaona maneno kama
Wipe data/factor reset
Reboot
Install
Na mengine meeengi, tumia volume up+volume down kufanya selection (chaguzi) sasa nenda mpka kwa wipe data/reset data/factory reset kisha bonyeza power ,na hpo itazima na kuwaka tena kisha nenda mpka reboot then click power
Hpo simu itawaka vizur, pasipo parten wala password.
Note:kila simu in a namna yake ya kufanya RECOVERY ukiwa na tatzo kma hilo utaniandikia aina ya simu kisha nitakuelekeza.