One incredible vs stereo

Jua linapiga kichwan kwa utosi hatua kwa hatua kitaan tunaforce
We all travelling
wote tunasafiri x2
 
"Chozi ufutwa na ujasiri pindi moyo unapolia"

"Vyakupita vingi ila vya msingi vitanifikisha"

Matizo hayaishi kesho hata kama yameanza jana
Maringo na viburi vyatuendesha tunasahau kifo kwakua makaburi yanapendeza
Uno
 
Mkuu ukipata muda fafanua statement yako
Aight mkuu
nilicho maanisha ni kwamba hawa jamaa wanawaiga newyokers (note that :Westcoast rap except watu kama D. O. C, Korupt wa Dogg pound, southern rap except Andre 3K..hawana skills sana wakiwa na kipaza) ... Na inspiration yao inaonekana ni ile album ya Nas Illimatic. Ambayo kuna guest appearance ya mtu kama AZ nk. Ukiisikiliza hii album utangundua Uwepo wa multisyllablic rhymes, na matumizi mengi ya punchlines, metaphors, simile, personification, double entendre etc kama ni mpenzi wa poetry hii kitu itakua sio ngeni kwako.
Kwa hiyo hawa jamaa ndio wanako pita especially Nikki mbishi, Moko na stereo ambaye anajaribu kubadilika badilika...
Huku SONGA akimwiga sana MastaAce.
Nilivyo sema hawana lyrical content nzuri ila wanawingi wa wordplay nilimaanisha maudhui ya nyimbo zao ni wa kawaida hawana conscious messages kwenye tungo zao . Japo nyimbo zenye tungo conscious wanazo. Wanafanya aina ya rap iitwayo braggadocio, they're all about bragging...Hii kitu imefanywa na marapa wa New York. Wengi wamekua wakiitumia specifically B.I.G, NAS, HOV, KOOL G RAP, Raekwon wa Wu tang clan(ambaye anafanya Mafioso rap pia) etc. [hao jamaa niliowataja hapo ni maemcee bora sana, wanaskills lakini jiulize why Pac is considered greater than all of them despite the fact that skills wise alikua inferior kwa hao jamaa!?!? ]
Hope nimekupa kamwanga kidogo...nimejaribu kusummarize kiaina.
 
moko ni kichwa cha peni asee

Afu kuna P the mc mazee

Huyu jamaa naye anaandika sana asee
 
Umeeleweka mkuu ila jamaa wetu wanajitahdi sana mi nnakubali hizi mtu nne tu
Nikki mbishi
Songa
P the mc
One the incrediable
noma
 
Nackia jamaa bdo anapiga kitabu alf ana ung'eng'e hatar
 
Ukiweka hzo technic unabadili radha utaanza kua kama kina darasa,young killer, so uhalisia utapotea
 
Unju bin unuq yule jamaa anagonga midundo sijawahi ona bongo na ana chop za hatare
Ila stereo atasubili tu kwa one
 
Nani mkali wa flow kati ya hawa A-list MCs in bongo
watoto wa mama wa mama kwenye hii sred huwez waona,wao kila day wanapenda ngoma za kukata mauno,michano ngoma za lunduno wao kwao minuno,minuno kwa michano vicheko kwa mauno, anhaaa yoo yooh anhaa

wapi gwijimimi
 
Nimepata kitu...
 
Umeeleweka mkuu ila jamaa wetu wanajitahdi sana mi nnakubali hizi mtu nne tu
Nikki mbishi
Songa
P the mc
One the incrediable
noma
ulitaka kusema Roma au noma? mi naona noma kumtaja Roma kwe hizi mangoma,misifa kedekede kwa michano ye ni sinema bongo muvis drama....anhaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…