Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Aliye Kuwa Msanii wa bongo fleva na hip-hop One six kwa sasa ameamua kuachana na mziki huo na kuamua kujikita kwenye muziki wa injili.
Msanii huyo amesema mengi amepitia na vikwazo vingi amekutana navyo ili kumkatiza tamaa.
kwa sasa one six ataimba nyimbo za injili pekee wala hatajihusisha na nyimbo za kidunia
Msanii huyo amesema mengi amepitia na vikwazo vingi amekutana navyo ili kumkatiza tamaa.
kwa sasa one six ataimba nyimbo za injili pekee wala hatajihusisha na nyimbo za kidunia