One six aachana na muziki wa kidunia

One six aachana na muziki wa kidunia

Stamina atasikitika maana One Six amevunja sana kwenye track za Stamina. Hii game ina vikwazo sana. Ukisikiliza story za watu kama kina Joh Makini walipotokea mpaka walipo sasa, inahitaji kukaza moyo. Si unaona mpaka leo mtu kama Jose Mtambo mzee wa Kigambonino yupo level ile ile ingawa ni msanii wa tangu siku nyingi!
 
Stamina atasikitika maana One Six amevunja sana kwenye track za Stamina. Hii game ina vikwazo sana. Ukisikiliza story za watu kama kina Joh Makini walipotokea mpaka walipo sasa, inahitaji kukaza moyo. Si unaona mpaka leo mtu kama Jose Mtambo mzee wa Kigambonino yupo level ile ile ingawa ni msanii wa tangu siku nyingi!
Kweli huenda One six amechukua maamuzi hayo huku akiwa na hasira ya kitu fulani.
Ila akitulia atatoboa vyema sana
 
Aliye Kuwa Msanii wa bongo fleva na hip-hop One six kwa sasa ameamua kuachana na mziki huo na kuamua kujikita kwenye muziki wa injili.

Msanii huyo amesema mengi amepitia na vikwazo vingi amekutana navyo ili kumkatiza tamaa.

kwa sasa one six ataimba nyimbo za injili pekee wala hatajihusisha na nyimbo za kidunia
Ile chorus kwenye anaitwa roma[emoji1695][emoji1695][emoji1695]
 
Back
Top Bottom