Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kumbe kilichomsukuma kwenda huko si imani na bali baada ya kuona huku game imemshinda ndo anabadili upepo wa huko si ndioNgoja akaangalie upepo na huko atakuja kutoa mrejesho.
Mimi kazi yangu ni kuwajuza
Dah sawaYeye kitu kikubwa ni mkwanja japo na imani kwa mbali
Aaah kumne ndiyo huyo, jina lake ndiyo nalisikia leoSanaaa,anapiga makolasi makali sana.Ile ngoma ya Daddy ya Profesa Jay na Stamina jamaa kaimba sn
Faida zipi mkuu,subra tu ilitakiwa muda ungefika.Jamaa yupo vizuri sema alisema alikuwa hapati faida kwenye kazi hiyo
Huyo wanamjua chanika tu[emoji16]Aliye Kuwa Msanii wa bongo fleva na hip-hop One six kwa sasa ameamua kuachana na mziki huo na kuamua kujikita kwenye muziki wa injili.
Msanii huyo amesema mengi amepitia na vikwazo vingi amekutana navyo ili kumkatiza tamaa.
kwa sasa one six ataimba nyimbo za injili pekee wala hatajihusisha na nyimbo za kidunia