Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ndugu zangu!
Ni nyimbo mbili tu alizozifanya kwa umahiri na njonjo zilitosha kumleta mjini. Nazo ni 'Anaitwa Roma' na 'Mkombozi' acha ule mwingine. Zote akishirikishwa na Roma Mkatoliki na alifanya poa sana.
Tukasema tumepata mkali wa vibwagizo, japo historia ishajiandika kuwa wengi wa wakali wa viitikio huwa hawasimami kwa miguu yao. Na akisimama basi ni nchecheme kwa muda mfupi tu.
Tuendelee kuiheshimu historia?
One Six, kama u-hai bado basi ujue tunakudai. Ladha uliyotuonjesha tunaitaka tena na tena.
Kama ilikuwa nje ya uwezo wako basi toa japo kawimbo kabovu tu ili tukuchoke tujue MOJA.[emoji16]
Je, ndo inaanza au imeisha?
Kama unamkubali, hebu mpe neno pengine kumtia moyo ikiwa amejikatia tamaa.
Ncha Kali.
Ni nyimbo mbili tu alizozifanya kwa umahiri na njonjo zilitosha kumleta mjini. Nazo ni 'Anaitwa Roma' na 'Mkombozi' acha ule mwingine. Zote akishirikishwa na Roma Mkatoliki na alifanya poa sana.
Tukasema tumepata mkali wa vibwagizo, japo historia ishajiandika kuwa wengi wa wakali wa viitikio huwa hawasimami kwa miguu yao. Na akisimama basi ni nchecheme kwa muda mfupi tu.
Tuendelee kuiheshimu historia?
One Six, kama u-hai bado basi ujue tunakudai. Ladha uliyotuonjesha tunaitaka tena na tena.
Kama ilikuwa nje ya uwezo wako basi toa japo kawimbo kabovu tu ili tukuchoke tujue MOJA.[emoji16]
Je, ndo inaanza au imeisha?
Kama unamkubali, hebu mpe neno pengine kumtia moyo ikiwa amejikatia tamaa.
Ncha Kali.