Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 860
- 1,421
Mpumbavu atakwambia hata Fidel Castro alikuwa mpumbavuKwa hiyo kufanya mapinduzi ni ujanja? Unamfaham Samuel Doe? Jean Bokasa? Charles Taylor? Hao wote ni mifano ya wapumbavu na walifanya mapinduzi kwa sababu ya upumbavu wao wakaishia kufa, jela na kukimbilia uhamishoni. Binadamu siyo ng'ombe