Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hayo ya kukosa nafasi jeshi ni mawazo yako boss, hayana uhusiano wowote na uhalisia.Sio bure wewe ulikosa sifa ama uliomba kujiunga jeshi ukakosa nafasi. Gwanda zinakuumiza sana roho ukiona wajuba wazitinga. Pasuka zaidi miamba hiyo hapo chini imekutana na imeazimia kiume maamuzi mazitoView attachment 3217859
Kuhusu maamuzi mazito kwa maslahi ya nchi yao ni jambo safi, maoni yangu yalihusu uvaaji wa uniform kila sehemu si utendaji wa kazi.