Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Huwa ni mbwembwe tu, wote wakiwa nje wanakuwa hawana umati mkubwa wa ulinzi au vitendea kazi; kwa sababu kule ugenini wanakuwa tayari wamepewa ulinzi.
Anayesafiri na umati wa ulinzi ni marekani tu, popote pale aendapo duniani. Na hii inatokana na ukubwa wa bajeti; pamoja na ukubwa aliojijengea ki ulimwengu
 
Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
Kwa maoni yako na Nyerere akiwemo. Since he was an engineer of those catchphrases or expressions.
 
We waache moka watakapoona Burkanfaso inanunua ARVs wao wanasubiri za mkopo
IMG_1490.jpeg

Jamaa wameanza kuzalisha gari sasahivi, sisi kiwanda chetu cha nyumbu sijui kipo hali gani
 
Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika😂😂😂
 
Sasa kama kule alikatazwa na huku hakukuwa na Katazo ?!!!

Tatizo ni muendelezo wa watu kuongelea Matukio na Watu badala ya Ideas kwanini tunaendelea kuibiwa.., Yaani unamuita mtu Boya wakati tangia aingia mauaji yamepungua na watu wanaona kwamba wanakwenda on the right direction ?

Who are you or me to say Otherwise kama watu wake wanaona ni Bora na anawakumbusha their lost Son Sankara...
 
Thread kama hizi ni rahisi kujua watu wanawaziana mabaya sana. Badala ya kumpongeza kwa mazuri aliyofanya wao wanawaza anguko.
He is one of existing patriots of Africa. I am proud of him.
 
Wewe ndio kipimo cha werevu?
Amua mwenyewe na vipimo vyako boss ila maoni yangu ndo hayo, Kuvaa makombati kila kona ni UJINGA .

JF yote haiwezekani ikubaliane na uvaaji wa huyo umpendaye, usitokote na maswali zaidi hata kama hupendi akosolewe.
 
Baadhi ya watanzania tumejawa na ujinga, yaani boya afanye mapinduzi na mpaka leo awe madarakani akiongoza Nchi? Acheni ujinga maboya ni sisi tunaoongozwa na kutawaliwa kipuuzi puuzi. Basi atokee boya kama huyo afanye kitu hapa Tanzania. Kaani na Nchi yenu mtawaliwe mpaka vyumbani kwenu
Dogo kakataa nchi yake kuwa shamba la bibi
 
Amua mwenyewe na vipimo vyako boss ila maoni yangu ndo hayo, Kuvaa makombati kila kona ni UJINGA .

JF yote haiwezekani ikubaliane na uvaaji wa huyo umpendaye, usitokote na maswali zaidi hata kama hupendi akosolewe.
Sio bure wewe ulikosa sifa ama uliomba kujiunga jeshi ukakosa nafasi. Gwanda zinakuumiza sana roho ukiona wajuba wazitinga. Pasuka zaidi miamba hiyo hapo chini imekutana na imeazimia kiume maamuzi mazito
33d5ef20-bb9e-11ef-acfc-7396dc948a8a.jpg.jpeg
 
Sasa atakwendaje na silaha Russia wakati ndiyo Wanaomlinda?
Huyu ni kibaraka wa Putin!
Wagner wa Russia wako huko! Bukinabe.
 
Back
Top Bottom