Hicho kibastora kiunoni kinazuia mamluki kumdhuru?
Unadhani angejua kuna mamluki na usalama wake mdogo angeenda kisa tu ana kibastora kiunoni? Yani washindwe kutumia MANPADS kudungua ndege, au ATGM au RPG kupiga gari lake, waje karibu yake kumdhuru na walinzi wake washindwe mpaka yeye atumie kibastora chake kujiokoa. Hii ni maajabu.
In case anahitajika kufa, hiyo bastora haina msaada wowote. Wakati anafanya mapinduzi kumuondoa kiongozi wa kijeshi akiyekuwepo, nadhani ni Damiba silaha ya Damiba haikumsaidia kitu.