Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

Mkuu, kama unapenda magwanda yake sawa hata yeye huenda anayapenda ndo maana anayavaa kila eneo ila maoni yangu yatabaki kuwa ni ujinga kwa raisi wa nchi kuvaa magwanda kila sehemu bila kujali kanuni inaruhusu au la.
Upambavu ni kudhani maoni yako ni sheria, leta sheria inayosema kiongozi wa nchi anapaswa kuvaa nguo zipi
 
Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
Kuwa mkwel wa nafsi yako kuhusu flyovers, sgr, mabwawa ya umeme, airports, tanesco n uwajibikaji wa watumishi wa umma. Tar za mishahala na ile stend ya mabasi ya mikoani pale mbezi dsm. Kisha tuongee
 
kuna jamaa aliwahi kuniambia Ili ufanikiwe, hutakiwi kufanya kazi kwa bidii, sijui ulale usiku sana na uamke mapema, ni lazima kwanza uwe na akili.

pool africa
Mkuu sijaelewa hapo mwisho una maanisha Pool Table Africa au?
 
Hicho kibastora kiunoni kinazuia mamluki kumdhuru?

Unadhani angejua kuna mamluki na usalama wake mdogo angeenda kisa tu ana kibastora kiunoni? Yani washindwe kutumia MANPADS kudungua ndege, au ATGM au RPG kupiga gari lake, waje karibu yake kumdhuru na walinzi wake washindwe mpaka yeye atumie kibastora chake kujiokoa. Hii ni maajabu.

In case anahitajika kufa, hiyo bastora haina msaada wowote. Wakati anafanya mapinduzi kumuondoa kiongozi wa kijeshi akiyekuwepo, nadhani ni Damiba silaha ya Damiba haikumsaidia kitu.
Anao walinzi hiyo bastola ni sehemu ya uniform zake relax
 
definitely for reasons! wakoloni, walitunyonya na bado wanaendelea kutunyonya, siwataki, wasije kwangu, fukuza majeshi ya ufaransa.........and so many others of the like! Sasa hayondiyo ushujaa? amefanikisha nini? la kuwasaiia masikini wake?
Wewe umefanikisha lipi? Mbowe tu umeshindwa kumpa uwenyekiti. Dogo Traore ni shuja wa kwako muafrika taka usitake. Mambo mengi mazuri kuifanya nchi yake ijikwamue kiuchumi kayafanya, yatafute yameandikwa
 
very sad , najiuliza kwanini waafrika maboya wanamuona huyu jamaa kama hero? Kisa Kamsema vibaya macron, kaisem vibaya France...... Hilo tu ameshakuwa shujaa! Rubbish!
Afu utasikia huyu ndio kiboko ya mabeberu.
Mimi binafsi na bet huyu dogo nae atapinduliwa.
 
Meanwhile jamaa kashalipa made ni yote ya IMF nchi yake haina deni,na kakataa misaada,kwa mda wa two years amekusanya dhahabu ya kutosha wakati anaingia haikuwepo. Mbona wabongo mpo nyuma na habari za dunia?? Is it you ulieandika hapo juu?? Do you know anything kuhusu Thomas Sankara?? Achana na ule upuuzi wa Magufuli kujitafutia misifa.
Weka takwimu za deni la taifa kabla ya yeye kuingia madarakani na saivi!
 
Wewe umefanikisha lipi? Mbowe tu umeshindwa kumpa uwenyekiti. Dogo Traore ni shuja wa kwako muafrika taka usitake. Mambo mengi mazuri kuifanya nchi yake ijikwamue kiuchumi kayafanya, yatafute yameandikwa
Anawakwamua kiuchumi kwa kuziba mianya yote ya ufaransa na kutengeneza misingi imara kwa kushirikiana na Urusi na China sababu hawa ndio wanauchungu sana na sisi waafrika ni wajombazetu kabisa hawa!.
 
Weka takwimu za deni la taifa kabla ya yeye kuingia madarakani na saivi!
Mkuu hawa ni walewale wafuasi wa mungu wa masikini waliokua wanasema munguwao anatekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea mabeberu ukiwauliza deni la taifa lilifikia kiasi gani hawaelewi!
 
Mkuu hawa ni walewale wafuasi wa mungu wa masikini waliokua wanasema munguwao anatekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea mabeberu ukiwauliza deni la taifa lilifikia kiasi gani hawaelewi!
Uwekezaji unakua unafanyika kwenye propaganda
 
Anawakwamua kiuchumi kwa kuziba mianya yote ya ufaransa na kutengeneza misingi imara kwa kushirikiana na Urusi na China sababu hawa ndio wanauchungu sana na sisi waafrika ni wajombazetu kabisa hawa!.
Kama mchina na mrusi wanakaa nae mezani kumpa win win deal hao ndio nduguzake lazima aambatane nao, fcuk the rest
 
Afu utasikia huyu ndio kiboko ya mabeberu.
Mimi binafsi na bet huyu dogo nae atapinduliwa.
very soon... anaweza akakaa na mabeberu akaongea nao kuwa hili si zuri. nyinyi n wenzetu, ya ukoloni myaache. Tufanye mambo yetu kwa usawa. Mfano, chimba madini, lakini tugawane say 60% ziwe zetu maana sisi tunauhitaji kubwa by 40% ziwe zenu. Mnasemaje? unawasikiliza...

Sisi tunataka hivi, nyinyi mnasemaje? diplomatic way na si kutunishiana misuri na super powers. Unaweza ukawachota kwa lugha laini.
 
Upambavu ni kudhani maoni yako ni sheria, leta sheria inayosema kiongozi wa nchi anapaswa kuvaa nguo zipi
Nimesema ni ujinga sijasema ni kinyume cha sheria. Kuna sehemu umeona nimesema ni kinyume cha sheria?
 
Back
Top Bottom