Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Cacutee..unique flower anatuchoraNdio unayempenda au? 🤣🤣🤣
Sipendi kufundishwa na mwanafunzi mwenzangu Mimi. Kwa nini yeye umempendelea kwa kumfundisha wewe mwenyewe,ila Mimi unataka unikwepe?Wewe mtafute Half american atakufundisha yote naye alikuwa mwanafunzi wangu.!! Ni muda sasa na yy afundishe wenzie
Mshenzy kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Cacutee..unique flower anatuchora
Ww ulichelewa ss hivi nimestaafu, kazi nimemuachia mwanafunzi wangu 😂Sipendi kufundishwa na mwanafunzi mwenzangu Mimi. Kwa nini yeye umempendelea kwa kumfundisha wewe mwenyewe,ila Mimi unataka unikwepe?
Alafu hukuniambia hivi mwanzo. Ulisema utanifunza mwenyewe.
Kwamba amekuja mpya wakati ni wa zama za mawe za kaleEndelea tu kujitekenya
CWShikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).
Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.
Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.
Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.
Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.
Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.
Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.
Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...
Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
Kwahiyo Mjukuu umeamua kunibeba Babu yako mzima mzimaKaribu babu yangu (sio babu yetu)
Baada ya kukufundisha Mambo ya digital Mjukuu wa kukuna ndevu za babu na kumsugua gaga nipo.
Alaf Babu me naomba uwashauri wajukuu zako wengine waachane na Mambo za kuhisi hisi maana wanavuruga Uzi. Babu nitakuja unikague kama kweli Mimi ni maua au sio.
Hapa ni mahapa fulu fulu mengine badae.
😂😂😂 Never ever😂😂😂😂😂aweeee
UKute wewe ndio wakwangu ila ulivyo mchoyo unataka Watu wataje we hujanitajaShikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).
Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.
Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.
Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.
Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.
Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.
Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.
Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...
Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sheikh mpya ila kanzu ile ile 🤣🤣🤣
😂😂😂 Halafu anajitag kabisa hata HAOGOPIKwamba amekuja mpya wakati ni wa zama za mawe za kale
Basi kuna vijana watawahi PM wakijua memba mpya hana anachoelewa 😂😂😂😂😂Mshenzy kweli 🤣🤣🤣
😀😀Sheikh mpya ila kanzu ile ile 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli ni yeyeee.Ni yeye udugu kaja kivingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂Kuna mnachokitafutaBandiko lako linasema ukwelii kabisa, ila mbona ghaflaa sanaa?
Kwan imekuajee? Kimetokea nn? Aaaaah wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Halafu
sio muoga kabisa halafu anataka sisi tumuamini yeye sio memba alieaga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Halafu anajitag kabisa hata HAOGOPI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila da mau unazingua [emoji1787]