Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Kesho 23.8.2022 ni siku ya kuhesabiwa(sensa) kwa nchi yetu Tanzania, hili ni suala la kibiblia kabisa watu kuhesabiwa wala sio suala la kisiasa.
Namaanisha usichanganye siasa na Sensa, utaratibu wa kuhesabiwa umetajwa kwenye biblia (LK 2:1-5). Wala hujapingwa au kukatazwa.
Nakusihi uonyeshe ushirikiano wako kwa makarani wa Sensa watakaofika kwenye makazi yako.
Usiwe kama watu wasioelimika au wasiokuwa na maarifa ya neno la Mungu, uwe muungwana.
Mungu akubariki sana
Samson Ernest
Nimetumia nafasi yangu, na wao watakuwa wamefikiwa kwa namna yao.kwa wasioamini Mungu unatumia mbinu ipi kuwashawishi?
mimi nipo tayari kuhesabiwa mkuu[emoji120]
Ubarikiwe sanaTuna wakaribisha, tupo tayari kuhesabiwa
Kuhesabiwa hakukupunguzii chochote, hesabiwa.
Sijui kama wataulizaHakuna swali Makarani watauliza linalohusiana na TOZO?
Ili kila mmoja apate habari au taarifa.Mnatumia nguvu nyingi sana
Vizuri sanaSawa mtumishi, tutahesabiwa
ingependeza kama wangeuliza😂😂Hakuna swali Makarani watauliza linalohusiana na TOZO?
Ninalo ndugu yangu, "tozo zinaumiza".Huna lolote la kusema kuhusu tozo ndugu?