Onesha Ushirikiano kwa Makarani wa Sensa

Onesha Ushirikiano kwa Makarani wa Sensa

Hivi mnajua jinsi mnavyohamasisha kama ni siku ya kiama tutubu dhambi...., mtawafanya watu waogope wadhani kuna jambo la ziada. Mbona limeshaeleweka?.
 
Screenshot_20220822-144441_WhatsApp.jpg



Hii iliwahi nikuta huko Nzega,nikawa Ngoswe aisee zile nyaraka Mungu alisaidia zisiungue wallah
 
Hivi mnajua jinsi mnavyohamasisha kama ni siku ya kiama tutubu dhambi...., mtawafanya watu waogope wadhani kuna jambo la ziada. Mbona limeshaeleweka?.
Mimi sihesabiwi kwani sioni umuhimu wa mimi kuhesabiwa, wanaopata misaada kutoka serikalini ndiyo wahesabiwe, sasa mimi unanihesabu ili iweje au napata manufaa gani
 
Back
Top Bottom