Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
- Thread starter
- #21
Kuhesabiwa hakukupunguzii chochote, hesabiwa.mimi sihesabiwi
na akija karani wa kike, namchakata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhesabiwa hakukupunguzii chochote, hesabiwa.mimi sihesabiwi
na akija karani wa kike, namchakata
Vizuri sananitatoa ushirikiano
Kuhesabiwa hakukupunguzii chochote, hesabiwa.Sihesabiwi,,,nikihesabiwa mniite mbuzi nimekaa pale
Kuhesabiwa hakukupunguzii chochote, hesabiwa.
Pamoja sana[emoji123]Nimetumia nafasi yangu, na wao watakuwa wamefikiwa kwa namna yao.
Ninalo ndugu yangu, "tozo zinaumiza".
Kuna maamuzi yakichukuliwa yanaweza yakawa na manufaa, ila mengine yanaweza yakawa na manufaa machache na madhara mengi.ISerikali kutotusikiliza kumeua mwamko katika mengi yakiwamo ya sensa. Waache waendelee hivyo hivyo.
Mabosi tumetelekezewa:
Enyi Viongozi: Kwa kutushurutisha mnatukosea sana, waajiri wenu ni sisi
Muhimu kukumbushanaHivi mnajua jinsi mnavyohamasisha kama ni siku ya kiama tutubu dhambi...., mtawafanya watu waogope wadhani kuna jambo la ziada. Mbona limeshaeleweka?.
🤣🙌mimi sihesabiwi
na akija karani wa kike, namchakata
Mimi sihesabiwi kwani sioni umuhimu wa mimi kuhesabiwa, wanaopata misaada kutoka serikalini ndiyo wahesabiwe, sasa mimi unanihesabu ili iweje au napata manufaa ganiHivi mnajua jinsi mnavyohamasisha kama ni siku ya kiama tutubu dhambi...., mtawafanya watu waogope wadhani kuna jambo la ziada. Mbona limeshaeleweka?.