kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
MBUnGE la spika tulia ewura ya mumewe spika
Kwahiyo nguruwe wa bwana heri na shamba la bwana heri
Kwahiyo nguruwe wa bwana heri na shamba la bwana heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya msanii baada ya kubwabwaja hapa na kumwaga mipovu kibao, umepata faida gani? Bei ya mafuta imepungua?Yote ya Heri🤣
Mbunge wako akipeleka hoja bungeni na bunge likairidhia itaundwa tume ya bunge kuwachunguza ewura. Huhitaji kuwa na midigirii mingi kama uliyo nayo wewe kujua hili.mkuu
Ni busara kukaa kimya kuliko kujimwambafai kuwa unajua taratibu na sheria.
Kwa hivyo EWURA ni mwiko kuundiwa tume ya kibunge na maamuzi kuchukuliwa?
Mkuu issue ya mafuta ni ya dunia nzima. Muwe mnaangalia basi hata TV Station kubwa kama CNN mjue hali ya mafuta duniani inaendaje maana mpk mataifa giants yamepata msukosuko baada ya uzalishaji kushuka.Huyu ndiye Mme wa Spika Tulia Ackson anasema tusiwe na hofu mafuta yapo ambaye ndiye mkurugenzi wa Ewura.
Wewe unadhani Tulia ataruhusu hoja ya mafuta iende Bungeni na Mume wake Spika ajadiliwe?
View attachment 2740447
Sent using Jamii Forums mobile app
HayaU
Mbunge wako akipeleka hoja bungeni na bunge likairidhia itaundwa tume ya bunge kuwachunguza ewura. Huhitaji kuwa na midigirii mingi kama uliyo nayo wewe kujua hili.
Nyie pigeni kelele lakini sisi tunawanyamazia tu, ikifika usiku mtalala
Ikulu imetanuliwa ili wanyang'anyi wengi zaidi wacheze mchiriku kwa kujimwaga.Maana yake ni kwamba ikulu imegeuka pango la wanyang'anyi
Kwenye ya hovyo tunaunganishwa na dunia nzima.Kwa nini kwenye mema hatujumuishwi?Mkuu issue ya mafuta ni ya dunia nzima. Muwe mnaangalia basi hata TV Station kubwa kama CNN mjue hali ya mafuta duniani inaendaje maana mpk mataifa giants yamepata msukosuko baada ya uzalishaji kushuka.
Mshana Jr kwenye hili nimekushangaa. Nakuonaga kama una uelewa lakini
Hana hata akiba kwenye mikanda ile ya VHS atakase mbongo?Ubongo umekuwa dormant.Huyo jamaa tangu kufungiwa kwa jukwaa la mambo ya kikubwa, akili zake zimekuwa hazisomi mnara
BUNGE LIPI? BUNGE HILI HILI AMBALO KAZI YAKE KUBWA NI KUIPONGEZA SERIKALI BADALA YA KUISIMAMIA ?Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.
Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.
Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?
Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?
CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Hahahaha we ngoja nicheke kwa kinyakyusaHuyu jamaa ni kipofu? Ana F ya kuchagua kisu kikali....
Umetumia akili nyingi sana kuwasilisha hoja yako mkuu [emoji28]Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.
Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.
Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?
Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?
CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Huyo mme wa spika hawezi kazi.Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.
Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.
Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?
Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?
CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel