Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

MBUnGE la spika tulia ewura ya mumewe spika

Kwahiyo nguruwe wa bwana heri na shamba la bwana heri
 
Yote ya Heri🤣
Haya msanii baada ya kubwabwaja hapa na kumwaga mipovu kibao, umepata faida gani? Bei ya mafuta imepungua?
Mwezi ujao bei ya petroli itakuwa elfu 5 kwa lita. Wenye kijinyonga wajinyonge; wakunywa sumu na wanywe
 
Watanzania uwezo ni mdogo mdogo sana wa kufanya tafiti hata ndogo ndogo na kujua nini kinaendeles kwa biggest oil producers na other key players ktk oil wanalaumu na kutukana wasio na makosa.

Hii scenario ya world recession iliandikwa sana mwaka jana kwenye international na some local media.

Production ya oil inashuka forces za low supply na high demand zinafanya kazi.

US Federal Reserse bado riba iko juu USD scarcity globally sasa what do you expect to happen in TZ.

Nchi kama India imenunua oil Dubai kwa Rupee currency yao wana nafuu.

TZ Mwigulu kaomba mkopo wa USD500 M November hsli ni nguvu hata hizo exports hauwezi kufanya ghafla inabidi kujipanga.
 
U
mkuu
Ni busara kukaa kimya kuliko kujimwambafai kuwa unajua taratibu na sheria.

Kwa hivyo EWURA ni mwiko kuundiwa tume ya kibunge na maamuzi kuchukuliwa?
Mbunge wako akipeleka hoja bungeni na bunge likairidhia itaundwa tume ya bunge kuwachunguza ewura. Huhitaji kuwa na midigirii mingi kama uliyo nayo wewe kujua hili.

Nyie pigeni kelele lakini sisi tunawanyamazia tu, ikifika usiku mtalala
 
Huyu ndiye Mme wa Spika Tulia Ackson anasema tusiwe na hofu mafuta yapo ambaye ndiye mkurugenzi wa Ewura.

Wewe unadhani Tulia ataruhusu hoja ya mafuta iende Bungeni na Mume wake Spika ajadiliwe?

View attachment 2740447

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu issue ya mafuta ni ya dunia nzima. Muwe mnaangalia basi hata TV Station kubwa kama CNN mjue hali ya mafuta duniani inaendaje maana mpk mataifa giants yamepata msukosuko baada ya uzalishaji kushuka.

Mshana Jr kwenye hili nimekushangaa. Nakuonaga kama una uelewa lakini
 
U

Mbunge wako akipeleka hoja bungeni na bunge likairidhia itaundwa tume ya bunge kuwachunguza ewura. Huhitaji kuwa na midigirii mingi kama uliyo nayo wewe kujua hili.

Nyie pigeni kelele lakini sisi tunawanyamazia tu, ikifika usiku mtalala
Haya
 
Mkuu issue ya mafuta ni ya dunia nzima. Muwe mnaangalia basi hata TV Station kubwa kama CNN mjue hali ya mafuta duniani inaendaje maana mpk mataifa giants yamepata msukosuko baada ya uzalishaji kushuka.

Mshana Jr kwenye hili nimekushangaa. Nakuonaga kama una uelewa lakini
Kwenye ya hovyo tunaunganishwa na dunia nzima.Kwa nini kwenye mema hatujumuishwi?
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
BUNGE LIPI? BUNGE HILI HILI AMBALO KAZI YAKE KUBWA NI KUIPONGEZA SERIKALI BADALA YA KUISIMAMIA ?
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Umetumia akili nyingi sana kuwasilisha hoja yako mkuu [emoji28]
 
Kama hawa watawala wangekua na Utu na huruma angalau hata kidogo tuu jana wale waliofunga Sheri kwamba hakuna mafuta ilibidi wakamatwe wahojiwe wame yatoa wapi na wakati hawakua nayo hadi juzi usiku, lakini kwakua ni michongo yao Wala hata hawastuki
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Huyo mme wa spika hawezi kazi.
 
Back
Top Bottom