NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Habari ndugu wana jamvi,
Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.
Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.
Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.
Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.
Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.
Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.
Asanteni wanajamvi🙏🏿
Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.
Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.
Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.
Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.
Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.
Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.
Asanteni wanajamvi🙏🏿