Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
347
Reaction score
432
Habari ndugu wana jamvi,

Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.

Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.

Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.

Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.

Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.

Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.

Asanteni wanajamvi🙏🏿
 
Wengi huchora katika foolish age. Kile kipindi vijana wengi hutamani kuonekana kama wanaenda na wakati. Ukiachana na wale waliopo katika vitu kama entertainment, waliobaki huja kujuta wakishafika umri fulani kitu ambacho ni kawaida kabisa

Maana wengine foolish age iliwaondoa mashuleni, ikawapa watoto kabla ya umri sahihi, wengine wakaathirika na magonjwa au madawa ya kulevya, wengine wakawaua wazazi wao kwa presha, wengine wakaingia katika ndoa ambazo haziwafai kwa kukimbilia maisha etc

Kwa hiyo wengi hujuta baadae kwani wakiwa katika umri huo huwa hawashauriki. Hivyo, amini ni nyakati tu mkuu, huwezi kupambana nazo
 
Wengi huchora katika foolish age. Kile kipindi vijana wengi hutamani kuonekana kama wanaenda na wakati. Ukiachana na wale waliopo katika vitu kama entertainment, waliobaki huja kujuta wakishafika umri fulani kitu ambacho ni kawaida kabisa

Maana wengine foolish age iliwaondoa mashuleni, ikawapa watoto kabla ya umri sahihi, wengine wakaathirika na magonjwa au madawa ya kulevya, wengine wakawaua wazazi wao kwa presha, wengine wakaingia katika ndoa ambazo haziwafai kwa kukimbilia maisha etc

Kwa hiyo wengi hujuta baadae kwani wakiwa katika umri huo huwa hawashauriki. Hivyo, amini ni nyakati tu mkuu, huwezi kupambana nazo
Best reply,
Umesema ukweli kabisa ,lakiñ Bado itabaki jukumu letu kulinda vizazi vyetu kuondokana na majuto ya mbeleni,
 
Almanusura nimchore mtoto wa mtu kwenye paja, nakumbuka mchora tattoo kaja yeye kachora imefika zamu yangu roho ikakataa, nashukuru sana uamuzi ule japo bado tupo wote lakini naifikiria sana kesho kutwa yangu,

Mdau aliyesema ni generation yao yuko sahihi kila zama na vituko vyake, huenda ikafika kipindi asiye na tattoo anatengwa 😂
 
Best reply,
Umesema ukweli kabisa ,lakiñ Bado itabaki jukumu letu kulinda vizazi vyetu kuondokana na majuto ya mbeleni,
Kabisa lakini dunia ya sasa kila mtu anapambana na mtoto wake, sio kama zile zama za mtoto kuwa wa jamii nzima.

Na isitoshe kuanzia nyimbo, vyombo vya habari hadi maudhui ya mtandaoni mengi yameegemea katika kuhalilisha vyote vilivyo haramu na kuwaaminisha watu kuwa kila mtu anatakiwa kuishi vile anavyotaka maana cha msingi ni pesa kuliko values za jamii nzima

Hivyo katikati ya mfumo kama huu, mkuu ni ngumu sana kubadili chochote japo unapoongelea kama hivi tayari umecheza nafasi yako. Ila kuweza kulitelekeza hili katika mifumo yetu ya maisha. Itabidi ujiandae kupambana na kundi kubwa la wapotovu wenye ujasiri
 
Je ni sawa kwa mwanaume na si sawa kwa mwanamke kuchora tatoo? Je mwanaume akichora hahatarishi makuzi ya kizazi kijacho? Natamani kuelewa kwa nini mada yako imelenga wanawake na watoto wa kike pekee.
Dunia inakoelekea ni kuinua mtoto wa kike na kupoteza uzao wa kiume.
Huko mbele hizo tatoo kwa waschana won't even be a big deal. Pigania zaidi uzao wa kiume, huo ndio unaowindwa.
 
Je ni sawa kwa mwanaume na si sawa kwa mwanamke kuchora tatoo? Je mwanaume akichora hahatarishi makuzi ya kizazi kijacho? Natamani kuelewa kwa nini mada yako imelenga wanawake na watoto wa kike pekee.
Dunia inakoelekea ni kuinua mtoto wa kike na kupoteza uzao wa kiume.
Huko mbele hizo tatoo kwa waschana won't even be a big deal. Pigania zaidi uzao wa kiume, huo ndio unaowindwa.
Watoto wa kiume bado wanajitambua kwa asilimia kubwa (asili) kama wakipata muongozo mzuri kutoka kwa wazazi na jamii.
Watoto wa kike kwa asili ni watu wa kusikiliza na kukubaliana bila kutumia akili (wanashawishika kirahisi).
 
Habari ndugu wana jamvi,

Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.

Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.

Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.

Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.

Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.

Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.

Asanteni wanajamvi🙏🏿
Mke wangu ana tattoo ya paka,chui,simba na hana abari hana hata tatoo moja ya mwanae wala yangu. Na maisha yanaendelea
 
Huyu nasikia eti ni Mchungaji, Kweli Ujana ni UTAPELI 😆😆😆
tumblr_mwjwuyO2Xh1rmk6rto1_540.jpg
IMG-20241125-WA0041.jpg
 
Habari ndugu wana jamvi,

Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.

Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.

Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.

Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.

Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.

Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.

Asanteni wanajamvi🙏🏿
Kwa nini unataka kupangia watu baki jinsi ya kuishi?

Mtu mwili wake, kaamua kuchora tattoo kivyake, wewe unajiwekaje ukiranja wa kumpangia afanya na asifanye nini?

Unamlinda mtu kivipi ukimzuia asichore tattoo?

Yani kama mtu anakwenda kuwa na mawazo mabaya ukimzuia asichore tattoo ndiyo hayo mawazo mabaya yatashindwa kumuingia?

Kwa nini unajiona wewe una wajibu wa kuwapangia watu baki nini ni sawa wafanye na nini si sawa wasifanye?

Wewe mtu ambaye nchi yako ina matatizo ya chakula, malazi, mavazi, elimu, magonjwa, kazi, na mengine kemkem, mighorofa inaanguka na kuua watu huko Kariakoo, watu wanakufa kwa kipindupindu Simiyu, maana yake wanakunywa maji yenye mavi ya watu, hivi tattoo ndiyo umeona ni tatizo kubwa kabisa la kulivalia njuga?

Kweli jamani? Tattoo?
 
Back
Top Bottom