Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

Tembea uone, tattoo siyo uhuni. Toka zamani tattoo zipo, je unajua hena au pickle ni nini. Siku hizi Kuna madarasa ya urembo Dar, Tanga na Zanzibar, mwanamke wa kiislamu wakati wa harusi yake huwa anachorwa nini kwenye mwili wake. Aibu kwangu
Mwanamke hata awe mzuri kiasi cha pekee, akishakuwa na tattoo kwangu Mimi thamani yake imeshaporomoka namchukulia kama chuda fulani
 
Tembea uone, tattoo siyo uhuni. Toka zamani tattoo zipo, je unajua hena au pickle ni nini. Siku hizi Kuna madarasa ya urembo Dar, Tanga na Zanzibar, mwanamke wa kiislamu wakati wa harusi yake huwa anachorwa nini kwenye mwili wake. Aibu kwangu
Kila mtu na mapendeleo yake ndugu. Sipendi tattoos kwa namna yyt ile! Najizungumzia mimi
 
Habari ndugu wana jamvi,

Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine.

Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao.

Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu kuweza kuiona.

Jambo ilo baadhi yetu tumeliona kamq tishio kwa makuzi na kizazi kijacho ,kuona tattoo ni sehemu ya furaha,urembo ,na lazima Katika miili yao.

Biła kujali hasara za tattoo hizo, mabinti WENGI wamekuwa wakichora kila uchwao.

Siingilii uamuzi ,wała furaha ya MTu Bali najaribu kuona je tunawezqje kuwalinda watoto wadogo na aina Hii ya makuzi wakiwa wanajionea walezi,mama ZAO,Dada NK wakiwa wamejichora.

Asanteni wanajamvi🙏🏿
Uzuri kila mtu kapewa uhuru kufanya atakacho. HAYAKUHUSU, waache wafaidi kujichora ili mradi wao wanajua nini wanataka na faida yake.

Si kila jambo lililopo kwa mwenzako unataka kulijua. Focus na ysko. Mfano sisi tuanze kuhoji chupi unazovaa vile hatuzikubali, haingii akilini.

Miili ni yao, hawavunji sheria za nchi na Mungu kawapa uhuru kuchagus yanayoburudisha mioyo yao. Fainali ni kiama, ila sasa hivi kila mtu afanye ajuavyo.
 
Back
Top Bottom