Donkey
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 1,499
- 1,584
Tembea uone, tattoo siyo uhuni. Toka zamani tattoo zipo, je unajua hena au pickle ni nini. Siku hizi Kuna madarasa ya urembo Dar, Tanga na Zanzibar, mwanamke wa kiislamu wakati wa harusi yake huwa anachorwa nini kwenye mwili wake. Aibu kwangu
Mwanamke hata awe mzuri kiasi cha pekee, akishakuwa na tattoo kwangu Mimi thamani yake imeshaporomoka namchukulia kama chuda fulani