Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi ni njia ya kutengenezea watu ulaji. Kuna wanasheria (advocates) wengi hawana ajira na hii itawasaidia kuwapa kipato hivyo kupunguza wasio na kazi mitaani.Nimeenda NBC Leo hii wananiambia niwe na uthibitisho wa mwanasheria ,hii siyo tetesi sema ni habari kamili
Mkuu nadhani umekariri tu,kuna mabadiliko sana kwa sasa! Mimi ni muathirika wa hii issue. Niliuza nyumba yangu mkoani zaidi ya 60mil. Me nilikuwa na akaunti yangu kwenye bank ambayo haina branch huko. Nikalazimika kufungua akaunti kwenye moja ya hizi bank zenye nasaba na serikali. Na wakati nafungua nilijieleza km nalipwa pesa za kuuza nyumba yangu. Na mtu aliyekuwa ananilipa ana akaunti hapohapo ktk ile bank. Nilifanya taratibu zote na pesa ikaingizwa. Baada ya siku 2 nilifanikiwa ku-withdraw milioni 3 na nusu. Na nikarudi dar. Nimefika dar nimekaa km wiki moja,nikaenda kumlipa mtu milioni 35 za nyumba ambayo nilitaka kununua hapa mjini. Nikakuta nimepigwa pin. Yaani mpaka hv nnavyoandika nimeshapeleka vielelezo vyote nilivyoombwa lkn bado sijaruhusiwa kutumia pesa zangu mwenyewe. Na ni kesi ya tangu mwaka Jana mwezi wa 9. Yaani hata kuchukua elf 20 siwezi. Hii nchi imeshaharibika. Nyumba sina na hela sina! Usicheze na jiwe mkuu,ndo maana kila siku anasema hela zipo!
Maana mkuu hakuna maana ya kitambulisho cha taifa sasa!
Maana kile ndio kila kitu,kina SS number,finger prints,your full data on the national database,etc.
Ambapo akiingia anaona kila kitu.Then wanarudi kinyume wanasema Kitambulisho hakina utoshelezi inatakiwa some other things,hivyo hakina maana to begin with!
USA ukiwa na Social Security number to unaaminika kila mahali maana data zako zipo legitimately kwenye system.
Baada ya kurahisisha vitu wanazidi weka vitu vinakua vigumu mnooo!
You know what will happen?
Watu wengi hawataweza kumiliki account,hela nyingi waziweka kwenye mpesa,nk!
Tegemea mobile money volume to triple or quadruple from now on.
Of which it is even harder for government to regulate!
Vikampuni vidogo sana vitahamia mobile money too.Na hivi vikampuni ni vingi!
Mabenki mengi yatakufa,we will see this happen more next year!
United States of America masharti sio kiasi hiki aisee!
Unbankable population itaongezeka!
Tulisema kitambulisho cha taifa kita-solve everything,ila naona it is useless on every step!
Mkuu hawa wehu walituaminisha kua ndio suluhisho la hizi korokoro zote!Kitambulisho cha kibongo siyo smart card ( haki hifadhi data zozote) ..Hichi kitambulisho ni cha hovyo kabisa.
Kitambulisho cha taifa ni cha kizamani na kishamba wala hakifai kuaminiwa.Siyo smart ID card (hakihifadhi data zozote za mwenye nacho) .Wakati dunia ya sasa wenzao wanatumia smart ID card View attachment 948083View attachment 948086
Kila mara wanakuja na project za kupiga hela tu.Hivi viambulisho hawatakaa muda mrefu watakuja na mradi wa kuingia kwenye smart ID cardMkuu hawa wehu walituaminisha kua ndio suluhisho la hizi korokoro zote!
Sasa kama ni hovyo namna hiyo nadhani wakubeba lawama ni serikali ya CCM!
Tunateswa tangu mwaka 1961 mpaka leo,na bado shida inakua kubwa zaidi.....I wish wakoloni warudi wawe wanatuchapa viboko kabisa ila uchumi na maendeleo yaje ila sio hizi ngendembwe za CCM na watu wake aisee!
Im tired of this country,Im tired of this life,No hope whatsoever!
Where will we turn to?Life is not fair kabisa!
Sijui unaongea nini.Nakubaliana na hoja kadhaa isipokuwa suala la barua ya mahakama. Binafsi sioni kama mahakama inayomiundombinu ya kuverify vyeti, At least wangesema benki ipate verification kutoka NIDA na hiyo verification sio ya barua bali iwe system generated verification. Unaenda nida unaingiza fingerprint kuthibitisha kama ID ni yako kweli, then fingerprint zikimatch basi afisa wa NIDA anatuma system generated email kwenda benki kuwa fulani bin fulani anaruhusiwa kufungua akaunti kwa jina lake na taarifa zake ni sahihi.
Mkuu umeandika Kwa hisia lakini umeshindwa kupata the big picture na bahati mbaya kabisa wewe ni muumini wa Ujamaa..., Okay IPO hivi....
Kama umeajiriwa serikali I au mahali ambapo unapata kipato cha wastani hutaelewa kinachozungumzwa, Hadi utakapokuwa na biashara yako au upewe usimamizi wa biashara kubwa ndipo utaelewa vizuri...
Issue ya money laundering sio kitu cha kuzuia Kwa kuweka beuracracy zisizo na maana na kuchelewesha biashara bila sababu..."follow the money"
Bado policy nyingine za hovyo kabisa zinaendelea kuwa implemented as if tumetoka kwenye vita....
Government unapotaka Ku control everything na ikibidi kufanya biashara na kuongeza urasimu ni kutengeneza umasikini wa kujitakia kwenye taifa..sijui kwanini hamtaki kuelewa hili...
Lakini mnapojifananisha na Uchina manchekesha Sana.... Unaelewa literacy rate ya mchina wa kawaida compared na hawa waswahili wavaa Madera wa Temeke? Au mna day dream Tu.....
Kwanini msijifananishe na SA? au Botswana au Nigeria au Ghana.....au Kenya katika kutengeneza mazingira Bora ya biashara...? To make few premium who can pay all the taxes? Mnakimbizana na kuporwa Hadi hela za mifuko ya jamii?
Haya twende sawa: wale jamaa wa 'Scandinavian countries', ni wa-Communist?Twende sawa kwanza, ujamaa si ukomunisti?
Write your reply...
du, hii kali
Hi ni njia ya kutengenezea watu ulaji. Kuna wanasheria (advocates) wengi hawana ajira na hii itawasaidia kuwapa kipato hivyo kupunguza wasio na kazi mitaani.
Hawatoguswa!Uzuri hapa hata "wajeda" nao wataguswa pamoja na watu wa chama chake.
Ni swala la muda tu kila mtu atamchoka na wote tutaongea lugha moja.