Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Kumbe hakuna aliyejua Magu anatupeleka wapi. Sasa tunaanza kupata mwelekeo, lakini nao bado hatujaufahamu. Tuendelee kusubiri.

Kuna wanaobuni kuwa tunaelekea kwenye Ujamaa. Mi sijui kama ni ujamaa tu au tutapitiliza mpaka UKOMUNIST. Tusubiri!!!!!
 
Nimeenda NBC Leo hii wananiambia niwe na uthibitisho wa mwanasheria ,hii siyo tetesi sema ni habari kamili
Hi ni njia ya kutengenezea watu ulaji. Kuna wanasheria (advocates) wengi hawana ajira na hii itawasaidia kuwapa kipato hivyo kupunguza wasio na kazi mitaani.
 
pole sana chief,.
Mkuu nadhani umekariri tu,kuna mabadiliko sana kwa sasa! Mimi ni muathirika wa hii issue. Niliuza nyumba yangu mkoani zaidi ya 60mil. Me nilikuwa na akaunti yangu kwenye bank ambayo haina branch huko. Nikalazimika kufungua akaunti kwenye moja ya hizi bank zenye nasaba na serikali. Na wakati nafungua nilijieleza km nalipwa pesa za kuuza nyumba yangu. Na mtu aliyekuwa ananilipa ana akaunti hapohapo ktk ile bank. Nilifanya taratibu zote na pesa ikaingizwa. Baada ya siku 2 nilifanikiwa ku-withdraw milioni 3 na nusu. Na nikarudi dar. Nimefika dar nimekaa km wiki moja,nikaenda kumlipa mtu milioni 35 za nyumba ambayo nilitaka kununua hapa mjini. Nikakuta nimepigwa pin. Yaani mpaka hv nnavyoandika nimeshapeleka vielelezo vyote nilivyoombwa lkn bado sijaruhusiwa kutumia pesa zangu mwenyewe. Na ni kesi ya tangu mwaka Jana mwezi wa 9. Yaani hata kuchukua elf 20 siwezi. Hii nchi imeshaharibika. Nyumba sina na hela sina! Usicheze na jiwe mkuu,ndo maana kila siku anasema hela zipo!
 
Maana mkuu hakuna maana ya kitambulisho cha taifa sasa!

Maana kile ndio kila kitu,kina SS number,finger prints,your full data on the national database,etc.

Ambapo akiingia anaona kila kitu.Then wanarudi kinyume wanasema Kitambulisho hakina utoshelezi inatakiwa some other things,hivyo hakina maana to begin with!

USA ukiwa na Social Security number to unaaminika kila mahali maana data zako zipo legitimately kwenye system.

Baada ya kurahisisha vitu wanazidi weka vitu vinakua vigumu mnooo!

You know what will happen?

Watu wengi hawataweza kumiliki account,hela nyingi waziweka kwenye mpesa,nk!

Tegemea mobile money volume to triple or quadruple from now on.

Of which it is even harder for government to regulate!

Vikampuni vidogo sana vitahamia mobile money too.Na hivi vikampuni ni vingi!

Mabenki mengi yatakufa,we will see this happen more next year!

Kitambulisho cha kibongo siyo smart card ( haki hifadhi data zozote) ..Hichi kitambulisho ni cha hovyo kabisa.
United States of America masharti sio kiasi hiki aisee!

Unbankable population itaongezeka!

Tulisema kitambulisho cha taifa kita-solve everything,ila naona it is useless on every step!

Kitambulisho cha taifa ni cha kizamani na kishamba wala hakifai kuaminiwa.Siyo smart ID card (hakihifadhi data zozote za mwenye nacho) .Wakati dunia ya sasa wenzao wanatumia smart ID card
card1.jpg
2.jpg
 
Kitambulisho cha kibongo siyo smart card ( haki hifadhi data zozote) ..Hichi kitambulisho ni cha hovyo kabisa.


Kitambulisho cha taifa ni cha kizamani na kishamba wala hakifai kuaminiwa.Siyo smart ID card (hakihifadhi data zozote za mwenye nacho) .Wakati dunia ya sasa wenzao wanatumia smart ID card View attachment 948083View attachment 948086
Mkuu hawa wehu walituaminisha kua ndio suluhisho la hizi korokoro zote!

Sasa kama ni hovyo namna hiyo nadhani wakubeba lawama ni serikali ya CCM!

Tunateswa tangu mwaka 1961 mpaka leo,na bado shida inakua kubwa zaidi.....I wish wakoloni warudi wawe wanatuchapa viboko kabisa ila uchumi na maendeleo yaje ila sio hizi ngendembwe za CCM na watu wake aisee!

Im tired of this country,Im tired of this life,No hope whatsoever!

Where will we turn to?Life is not fair kabisa!
 
Mkuu hawa wehu walituaminisha kua ndio suluhisho la hizi korokoro zote!

Sasa kama ni hovyo namna hiyo nadhani wakubeba lawama ni serikali ya CCM!

Tunateswa tangu mwaka 1961 mpaka leo,na bado shida inakua kubwa zaidi.....I wish wakoloni warudi wawe wanatuchapa viboko kabisa ila uchumi na maendeleo yaje ila sio hizi ngendembwe za CCM na watu wake aisee!

Im tired of this country,Im tired of this life,No hope whatsoever!

Where will we turn to?Life is not fair kabisa!
Kila mara wanakuja na project za kupiga hela tu.Hivi viambulisho hawatakaa muda mrefu watakuja na mradi wa kuingia kwenye smart ID card
 
Dr. Bashiru, kuna siku alisema CCM bado inasimamia azimio la Arusha, ambalo kimsingi ni azimio linaolezea mfumo wa kijamaa. Itakuwa ni kosa kubwa sana kuirudisha nchi katika misingi ambayo haikuwa na matokeo chanya kwa taifa.
 
Nakubaliana na hoja kadhaa isipokuwa suala la barua ya mahakama. Binafsi sioni kama mahakama inayomiundombinu ya kuverify vyeti, At least wangesema benki ipate verification kutoka NIDA na hiyo verification sio ya barua bali iwe system generated verification. Unaenda nida unaingiza fingerprint kuthibitisha kama ID ni yako kweli, then fingerprint zikimatch basi afisa wa NIDA anatuma system generated email kwenda benki kuwa fulani bin fulani anaruhusiwa kufungua akaunti kwa jina lake na taarifa zake ni sahihi.
Sijui unaongea nini.

Kuna 'presumtion of regularity of official acts'. Yani shughuli za serikali zinadhaniwa kua zimefuata sheria.

Sasa kitambulisho nitoe Nida kisheria kabisa then niende bank halafu uniambie nirudi Nida wanipe verification ya icho kitambulisho...si utakua wehu huo??

Bank wanatakiwa wapokee kitambulisho kama kilivyo ila kama watakitilia mashaka(reasonable suspicion) ndo wanaweza kuomba further verification from NIDA...

Ndo tatizo la nchi kuongozwa na vilaza...elimu haijawasaidia kuelemika kabisa.

Hasa ilo lenye PhD ya maganda ya Korosho....bora yule wa ngumbaro
 
Mkuu umeandika Kwa hisia lakini umeshindwa kupata the big picture na bahati mbaya kabisa wewe ni muumini wa Ujamaa..., Okay IPO hivi....
Kama umeajiriwa serikali I au mahali ambapo unapata kipato cha wastani hutaelewa kinachozungumzwa, Hadi utakapokuwa na biashara yako au upewe usimamizi wa biashara kubwa ndipo utaelewa vizuri...
Issue ya money laundering sio kitu cha kuzuia Kwa kuweka beuracracy zisizo na maana na kuchelewesha biashara bila sababu..."follow the money"
Bado policy nyingine za hovyo kabisa zinaendelea kuwa implemented as if tumetoka kwenye vita....
Government unapotaka Ku control everything na ikibidi kufanya biashara na kuongeza urasimu ni kutengeneza umasikini wa kujitakia kwenye taifa..sijui kwanini hamtaki kuelewa hili...
Lakini mnapojifananisha na Uchina manchekesha Sana.... Unaelewa literacy rate ya mchina wa kawaida compared na hawa waswahili wavaa Madera wa Temeke? Au mna day dream Tu.....
Kwanini msijifananishe na SA? au Botswana au Nigeria au Ghana.....au Kenya katika kutengeneza mazingira Bora ya biashara...? To make few premium who can pay all the taxes? Mnakimbizana na kuporwa Hadi hela za mifuko ya jamii?

Sasa hapa ndio umeeleza nini, mbona unachanganyachanganya tu. Kwani uliyoeleza hapa ndio ujamaa ulioutaja kwenye mchango wako huko juu?

'Literacy rate' ya China na hayo yanayofanyika Bank, unayoyaita Ujamaa, yana uhusiano gani?

In short, hakuna lolote uliloeleza hapa kuhusu Ujamaa na hayo mambo yanayofanyika huko benki.

Nimekupa mfano wa China kwa sababu ya wimbo wako huo wa 'Ujamaa', kumbe hata hukuweza kuelewa chochote.

Ukinitajia Kenya 'kutengeneza mazingira mazuri ya biashara' inanipa picha nzuri ya kukuelewa. Nikupe mfano tu wa mazingira mazuri unayoyasema: angalia uagizaji wa sukari uliofanyika mwaka jana na kuingiza tani karibu ya millioni moja na matatizo yaliyotokana na swala hilo.

Huo ni mfano mmoja tu, lakini sidhani kuwa uko 'informed' vya kutosha kuelewa nazungumzia nini.

Labda utaelewa kutengeneza mabilionea wa dola za kimarekani 30 kwa mwaka mmoja, 2017; wakati wananchi milioni mojatu ndio wanavuka toka kwenye rindi la umaskini ndani ya miaka 10! Hayo ndio mazingira mazuri!

Elewa kuwa wewe kuwa mfanya biashara haikupi hati miliki ya kuelewa mambo 'vizuri' kuliko wengine.
 
Vipi kuhusu mama muuza mboga mboga je, ataweza kumudu gharama za kumlipa advocate??
Hi ni njia ya kutengenezea watu ulaji. Kuna wanasheria (advocates) wengi hawana ajira na hii itawasaidia kuwapa kipato hivyo kupunguza wasio na kazi mitaani.
 
Naomba kujua masharti na vigezo vya kufungua account nje ya nchi yangu wakuu[emoji41]
 
Labda umechelewa tu kufahamu, toka muda mrefu sana,ikipita pesa isiyo ya kawaida katika acc yako wanazuia,mpaka maelezo ya kina ilipotoka.

Na mkijifanya mnazichimbia tunachapisha noti mpya pumbaavu.

Hamuwezi kuwa na akili kila wakati,na watu wakawa wanakosea wakati wote.
 
Back
Top Bottom