Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika


Ase Pole. Hii hatari. Huko sikukaa na ugonjwa wa Pressure kama Jiko na sufuria?
 


Hilo nalo neno! Usikute kweli wajanja wameona njia ya kutokea ndiyo imeshapatikana.
 
Mkuu ,hongera kwa uchambuzi makini,si sahiho hata kidogo kufananisha China na Tanzania kwa kitu chochote kile.
 
The best I can do ni kusema tuu asante, na ukiweza kufumua, huna haja ya kusubiria nije, be free kufumua tuu, if kwa kufumua, makes you happy, be happy.
P
 
Tatizo la watanzania tunaongea lugha tofauti,, siku tukikubali kuongea lugha moja haya matatizo yatakwisha.
 
Tanzania ni vulnerable hasa kwa vitendo vya kigaid na uvushaji wa pesa sishangai kuchujuliwa hizi hatua kila nchi hasa za ulaya huwezi pitisha hela kinyemela tu hata bank inakukaba koo bika serikali
 
Nimeenda NBC Leo hii wananiambia niwe na uthibitisho wa mwanasheria ,hii siyo tetesi sema ni habari kamili
Huo uthibitisho wa mwanasheria unathibitisha nini?? Mbona tunapangiana sana matumizi siku hizi??
 
Ujamaa huu unaharibu nchii na kuturudisha nyuma kimaendeleo.

Siujui ni wawekezaji gani watakuja kuwekeza kwenye nchi yenye sera mbovu kama hizi za ujamaa uchwara!
Nyie watu hamjasafiri,hebu fanyeni utafiti mjue wenzenu wanafanyaje
Marekani ukitumia tu ATM ukiwa nje ya nchi utapigiwa simu na kadi kufungiwa,lazima uiage benki kua unaenda Tanganyika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…