chief kamchicha
Member
- Jan 22, 2014
- 33
- 83
Asilimia 23.3 la ongezeko la mshahra kwa kima Cha chini si haba, japo baadhi wanakejeli ongezeko Hilo Ila ukweli ni kwamba kheri ya kitu kidogo kuliko kutokuongezewa kabisa.
Napenda kuwashauri watumishi wa umma ambao hupendelea kukopa katika taasisi za fadha kuwa makini na taasisi ndogo ndogo za kifedha mfano faidika, maboto na nyingine nyingi zenye kufanana na hizo.
Taasisi hizi Kwanza Zina riba kubwa ukilinganisha na kukopa katika bank moja kwa moja, lakini pia Kuna usumbufu mkubwa hasa pale unapohitaji kufanya malipo ya Deni lako kwa mkupuo, taasisi hizi husumbua kutoa salio la mkopo ili walipwe, lakini pia taasisi nyingine hazitoi salio la mkopo wako kabisa, na hubaki kukusumbua kila siku.
Pia taasisi nyingine zitakupa salio la mkopo wako lakini baada ya malipo hawatasitisha makato kwa wakati.
Ushauri wangu ni kwamba Kama utalazimika kukopa fadha Bora uende bank moja kwa moja, hawana usumbufu ambao umekuwa kero kubwa.
Napenda kuwashauri watumishi wa umma ambao hupendelea kukopa katika taasisi za fadha kuwa makini na taasisi ndogo ndogo za kifedha mfano faidika, maboto na nyingine nyingi zenye kufanana na hizo.
Taasisi hizi Kwanza Zina riba kubwa ukilinganisha na kukopa katika bank moja kwa moja, lakini pia Kuna usumbufu mkubwa hasa pale unapohitaji kufanya malipo ya Deni lako kwa mkupuo, taasisi hizi husumbua kutoa salio la mkopo ili walipwe, lakini pia taasisi nyingine hazitoi salio la mkopo wako kabisa, na hubaki kukusumbua kila siku.
Pia taasisi nyingine zitakupa salio la mkopo wako lakini baada ya malipo hawatasitisha makato kwa wakati.
Ushauri wangu ni kwamba Kama utalazimika kukopa fadha Bora uende bank moja kwa moja, hawana usumbufu ambao umekuwa kero kubwa.