MADAWA MENGI YA MENO NI FAKE..Nimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.
Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.
Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.
Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.
Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.
Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)
Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
sio kweli madawa mengi ya meno sikuhizi ni fakeeee...unless utumie za nje au za gharama kubwa wengi wanashindwa..Uvivu umewazidi hata kusafi kinywa wanashindwa, huko chini sasa kukoje?
Akili kubwa!!Waonee tu huruma wanakula vitu vingi hata ambavyo haviliki wao kila kitu wanaweza weka kinywani regardless
hata wanaume pia wananuka sana midomoNimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.
Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.
Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.
Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.
Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.
Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)
Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
Siamini hili.sio kweli madawa mengi ya meno sikuhizi ni fakeeee...unless utumie za nje au za gharama kubwa wengi wanashindwa..
Kuna mmoja ilibidi nihairishe game kwa sababu ya harufu ya rasta zake nilishindwa
Ikabidi nitumie mbinu ya kumtext na kumpanga mwana afanye kunipigia aniambie kuna dharura imetokea kwenye mishe zetu inabidi nikimbie chap. Nikaweka hadi loud speaker manzi asikie akakubali nikahepa ile kero
Na mmebarikiwa pia namna nzuri ya kufinyia kwa ndani hadi nafurahigi na naona thamani ya kuumbwa na bolo nikitafunaga lishangaziShida za hivyoo uwezi kuzipata kwa sisi mashangazi😅😅
Wadada wanukaji ni kero[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaniii!!!
Mdomo mixer kwapa mixer mnuko wa mkorogo.
Wadada wanukaji ni kero