Ongezeko la Wadada Wanaonuka Mdomo. Hili ni Janga

Ongezeko la Wadada Wanaonuka Mdomo. Hili ni Janga

Nimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.

Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.

Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.

Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.

Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.

Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)

Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
MADAWA MENGI YA MENO NI FAKE..
SIJUK TBS WANAFANYA KAZI GANI
 
Nimekumbuka kabila moja ivi, wanapiga mswaki nje hata kama nyumba ya geti wanatoka nje, mswaki wanapigia barabarani mtaa mzima aisee.
 
Nimevumilia kwa muda mrefu sana kulisema hili kuhusu ongezeko la wadada wanaonuka mdomo, I'm not sexist, i get grossed out by anyone with bad breath.

Lazima niwaambie ongezeko ni kubwa, kama humu wamo pia waanze usafi mara moja. Sifa ya mdada ni kuwa msafi, kuanzia kinywa, mwili na kila upande. Mdada unashindwa vipi usafi na mwanaume? Binafsi Iam a person with high level of hygiene, understand it as you wish.

Nakutana na watu tofauti wengi, basi bwana kuna siku tulikua na meeting sehemu flani. Mambo ya seminar haya, kuna mdada mmoja pisi ya kwenda kabisa, alikuwa speaker alitema madini mno kwenye ile semina. Baada ya kuisha, nikamfuata tuzungumze kidogo.

Ile kufungua mdomo tu, nikasikia harufu kali sana. Alafu anaongea faster faster. Nilikuwa natamani kuzimia hata muda wa chakula kilinishinda, i can almost smell it right now as I type this, still makes me want to throw up.

Hii ni aibu kubwa she's really beautiful, but that breath of her should be classified as a lethal weapon. Au itumike mbadala wa rungu na Hit, wadada bila kuwasema vikali hamtakua wasafi. I'm not sure it they are unaware how bad they smell.

Simaanishi muwe wasafi kama cute wife(I'm lucky that we have a great understanding match)

Lakini mjitahidi hata kidogo basi, you may strive for perfection but hygiene is a habit you have to acquire
hata wanaume pia wananuka sana midomo
 
Sio wadada tu,fatilia watu wengi hawajui kupiga mswaki?ni vyema kumfundisha mtoto vitu kama hivo
Afya ya meno na kinywa ni changamoto kwa watu wengi ndo maana kila siku watu wanaumwa meno kwa sababu hawajali vitu kama dawa za kutumia,miswaki,imagine mtu anatumia mswaki six months tena wa jero kuhusu dawa nisiongee

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja ilibidi nihairishe game kwa sababu ya harufu ya rasta zake nilishindwa

Ikabidi nitumie mbinu ya kumtext na kumpanga mwana afanye kunipigia aniambie kuna dharura imetokea kwenye mishe zetu inabidi nikimbie chap. Nikaweka hadi loud speaker manzi asikie akakubali nikahepa ile kero

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaniii!!!
 
In digestion inayosababishwa na kutokunywa maji mengi!wanafakamia soda tu na juice maji hawanywi sana eti hayana ladha hence choo kuganda kwa sana na backward reaction KWA mdomo!!!
 
Back
Top Bottom