Lee Swagger
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 1,063
- 1,815
Habari za Muda Ndungu Zangu,
Leo nijadili kuhusu Swala la Vitambi Kwa Wanawake. Naongelea Wanawake kwasababu nawajali na nawapenda.
Kumekua na Ongezeko Kubwa la Wanawake Wenye Ndambi Kubwa mtaaani Kila ninapokutana na Wanawake 10. Saba kati yao Wana Ndambi mpaka unaweza kudhani ni Mimba.
Mfano: Unene wa kupindukia nchini Afrika Kusini ni wa juu zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Kulingana na ripoti ya serikali iliyochapishwa mnamo 2019, karibu 41% ya wanawake na 11% ya wanaume wenye umri wa miaka 15 na zaidi walikuwa wanene. Je Leo hii Itakuaje?
Chanzo:
• Hali hii inatokana na Kula Chakula kingi, na Kushugulisha mwili Kidogo au pasipo kujishughulisha kabisa. Yaani unaingiza calories nyingi Kuliko unazochoma.
• Ulevi wa kupindukia, unakuta Mwanamke anakunywa Pombe mpka anakojoa Kitandani, anakunywa Pombe kama Vile amesikia kiwanda kinafungwa, hii sio Nzurii dada Zangu Punguzeni jameni.
• Kunywa vinywaji vya Sukari Sukari nyingi, mfano Soda, Juisi etc
• Junk Food , Hapa naongelea Vitu kama chipsi, mayai ya kisasa isikauke Sana, weka na Mayonaisi. Hii ni Hatari.
• Kutokufanya Mazoezi. Hii hupelekea Ishu Ya Uzito Mkubwa. Nakushauri ufanye Cardio Workout. Utakuja Kunishukuru Baadae.
Hatari za kiafya na matokeo
Kutokana na tafiti mbali mbali zinasema Kwamba Uzito Mkubwa unaweza kukuweka katika Hatari ya Shida Zufuatazo:
• Kupunguza Kunyonyesa, kwasababu ya Kujishtukia na maumbile Makubwa.
• Tatizo la Moyo.
• Ugonjwa Wa Kisukari.
• Ugumba
• Maumivu na Uharibifu wa Viungo.
• Sonona (Depression)
• Stroke
• Dementia
• Kansa (cervical, breast)
Nimejaribu kufupisha Kwa Kifupi na Kiswahili Rahisi ieleweke Kwa Wote....
Jinsi ya Kuzuia Unene
• Punguza Vyakula vya Sukari Sukari.
• Punguza kula Chips Kila Saa Saaa.
• Mboga Mboga na Matunda Kwa Wingi.
• Jitahidi Upige Zoez hasa Cardio Workout. Ingia YouTube Tafuta training Schedule uishi nayo. Walau Nusu Saa Kila Siku. Fanya Mazoezi hapo Hapo Ulipo Sio lazima Gym. Zingatia Sana Cardio Workout.
• Fanya kitu Kinaitwa intermittent fasting ( hii ni Kufunga kutokula Kwa Muda Flani.) Ingia Google utapata Maelekezo Zaidi na Zaidi. Uchague ambayo Mwili wako unakubali na unaendana nayo. Kama Uko na Obese Jitahidi Juu Chini Ratio ya Kula Iwe 23:1. Au 16:8 hizo ni Aina za intermittent fasting.
Aina ya intermittent fasting ninayopenda (Kufunga kula)
• 16:8 Hapa utafunga Masaa 16 na Kula ndani ya Masaa Nane. Mfano: Unakula kuanzia Saa 6 Mchana mpaka Saa Moja Jioni Dinner, ndio Mwisho Wa Kula Mpka Siku Inayofuata Saa 6 Mchana.
Aina Nyingine ya Kufunga Napenda. Kwa Kizungu Inaitwa 23:1 OMAD (One Meal A Day) Yaani Hapa utakula mlo Mmoja Kwa Siku. Mpka Siku Inayofuata. Ili Kufika Hapa Anza hyo ya 16:8 maana hii ya 23:1 Yahitaji Moyo. Pambana.
• Punguza Stress. Ukipiga Zoezi Kuna Namna Inapunguza Stress.
• Lala Vya Kutosha walau Masaa 7-9.
• Kunywa Maji ya Kutosha Walau ltr 3 na kuendelea..
Je utajuaje wewe ni Uko kwenye Kundi la Obesity?
Kuna kitu Kinaitwa BMI (Body Mass Index) ukiwa Juu ya 30. Wewe unakua kwenye Kundi obese. Wala Usishtuke ndio Maana Niko Hapa Kwa Ajili Yako.
Ingia google tafuta BMI Calculator. Piga Hesabu Uzito wako na Urefu Vinaendana kama Haviendani Chukua Hatua Mapema...
Hitimisho
Unene unazidi kuongezeka na una athari pana katika masuala mbalimbali ya afya ya wanawake. Madaktari wanapaswa kuwashauri wanawake wote kuhusu athari mbaya za unene na umuhimu wa kudhibiti uzito ili kuzuia matokeo mabaya.
Kila la Heri Dada Zangu.
"Don't Forget To Love 💕 Yourself"
Bob Lee Swagger
Leo nijadili kuhusu Swala la Vitambi Kwa Wanawake. Naongelea Wanawake kwasababu nawajali na nawapenda.
Kumekua na Ongezeko Kubwa la Wanawake Wenye Ndambi Kubwa mtaaani Kila ninapokutana na Wanawake 10. Saba kati yao Wana Ndambi mpaka unaweza kudhani ni Mimba.
Mfano: Unene wa kupindukia nchini Afrika Kusini ni wa juu zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Kulingana na ripoti ya serikali iliyochapishwa mnamo 2019, karibu 41% ya wanawake na 11% ya wanaume wenye umri wa miaka 15 na zaidi walikuwa wanene. Je Leo hii Itakuaje?
Chanzo:
• Hali hii inatokana na Kula Chakula kingi, na Kushugulisha mwili Kidogo au pasipo kujishughulisha kabisa. Yaani unaingiza calories nyingi Kuliko unazochoma.
• Ulevi wa kupindukia, unakuta Mwanamke anakunywa Pombe mpka anakojoa Kitandani, anakunywa Pombe kama Vile amesikia kiwanda kinafungwa, hii sio Nzurii dada Zangu Punguzeni jameni.
• Kunywa vinywaji vya Sukari Sukari nyingi, mfano Soda, Juisi etc
• Junk Food , Hapa naongelea Vitu kama chipsi, mayai ya kisasa isikauke Sana, weka na Mayonaisi. Hii ni Hatari.
• Kutokufanya Mazoezi. Hii hupelekea Ishu Ya Uzito Mkubwa. Nakushauri ufanye Cardio Workout. Utakuja Kunishukuru Baadae.
Hatari za kiafya na matokeo
Kutokana na tafiti mbali mbali zinasema Kwamba Uzito Mkubwa unaweza kukuweka katika Hatari ya Shida Zufuatazo:
• Kupunguza Kunyonyesa, kwasababu ya Kujishtukia na maumbile Makubwa.
• Tatizo la Moyo.
• Ugonjwa Wa Kisukari.
• Ugumba
• Maumivu na Uharibifu wa Viungo.
• Sonona (Depression)
• Stroke
• Dementia
• Kansa (cervical, breast)
Nimejaribu kufupisha Kwa Kifupi na Kiswahili Rahisi ieleweke Kwa Wote....
Jinsi ya Kuzuia Unene
• Punguza Vyakula vya Sukari Sukari.
• Punguza kula Chips Kila Saa Saaa.
• Mboga Mboga na Matunda Kwa Wingi.
• Jitahidi Upige Zoez hasa Cardio Workout. Ingia YouTube Tafuta training Schedule uishi nayo. Walau Nusu Saa Kila Siku. Fanya Mazoezi hapo Hapo Ulipo Sio lazima Gym. Zingatia Sana Cardio Workout.
• Fanya kitu Kinaitwa intermittent fasting ( hii ni Kufunga kutokula Kwa Muda Flani.) Ingia Google utapata Maelekezo Zaidi na Zaidi. Uchague ambayo Mwili wako unakubali na unaendana nayo. Kama Uko na Obese Jitahidi Juu Chini Ratio ya Kula Iwe 23:1. Au 16:8 hizo ni Aina za intermittent fasting.
Aina ya intermittent fasting ninayopenda (Kufunga kula)
• 16:8 Hapa utafunga Masaa 16 na Kula ndani ya Masaa Nane. Mfano: Unakula kuanzia Saa 6 Mchana mpaka Saa Moja Jioni Dinner, ndio Mwisho Wa Kula Mpka Siku Inayofuata Saa 6 Mchana.
Aina Nyingine ya Kufunga Napenda. Kwa Kizungu Inaitwa 23:1 OMAD (One Meal A Day) Yaani Hapa utakula mlo Mmoja Kwa Siku. Mpka Siku Inayofuata. Ili Kufika Hapa Anza hyo ya 16:8 maana hii ya 23:1 Yahitaji Moyo. Pambana.
• Punguza Stress. Ukipiga Zoezi Kuna Namna Inapunguza Stress.
• Lala Vya Kutosha walau Masaa 7-9.
• Kunywa Maji ya Kutosha Walau ltr 3 na kuendelea..
Je utajuaje wewe ni Uko kwenye Kundi la Obesity?
Kuna kitu Kinaitwa BMI (Body Mass Index) ukiwa Juu ya 30. Wewe unakua kwenye Kundi obese. Wala Usishtuke ndio Maana Niko Hapa Kwa Ajili Yako.
Ingia google tafuta BMI Calculator. Piga Hesabu Uzito wako na Urefu Vinaendana kama Haviendani Chukua Hatua Mapema...
Hitimisho
Unene unazidi kuongezeka na una athari pana katika masuala mbalimbali ya afya ya wanawake. Madaktari wanapaswa kuwashauri wanawake wote kuhusu athari mbaya za unene na umuhimu wa kudhibiti uzito ili kuzuia matokeo mabaya.
Kila la Heri Dada Zangu.
"Don't Forget To Love 💕 Yourself"
Bob Lee Swagger