realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.
Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.
Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.
Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.
Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.
Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.
Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.
Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.
Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.
Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.