Ongezeko la watoto wanaouza mifuko Sokoni ikiwamo Kariakoo linazidi kutia hofu

Ongezeko la watoto wanaouza mifuko Sokoni ikiwamo Kariakoo linazidi kutia hofu

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
 
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Ndo maana Tanzani ina wananchi wa aina ya ajabu.

Watoto wengi sana wanaacha shule wako mitaani. Kuanzia garage za magari, mama lishe, boda boda, machinga.

Panya road, na wahalifu. Wengi sana Tanzania na ni watoto kabisa.
 
Ndo maana Tanzani ina wananchi wa aina ya ajabu.

Watoto wengi sana wanaacha shule wako mitaani. Kuanzia garage za magari, mama lishe, boda boda, machinga.

Panya road, na wahalifu. Wengi sana Tanzania na ni watoto kabisa.
Hapo kwenye Garage, mama lishe na boda boda ndo wamejaa vitoto had huruma maskinii. Woiiiih
 
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Wengi waha hao wauza mifuko, wengine sidhani hata kama darasa la saba wamemaliza
 
Kama upo dar, pale pakusubiri pantoni kuna watoto wanawasaidia vipofu kutembea kuomba hela, wale watoto wadogo sanaa sijui hata shule walishawahi kwenda shule
Changamoto ya kwanza ya kiumbe chochote kilicho hai, ni uhakika wa chakula; baada ya hapo ndio mambo mengine yanafuata.
Hao unao waona wanatafuta uhakika wa chakula; Je, kosa ni la nani?
Not necessarily, watoto wengi wanatumikishwa na sio kwamba wamejiajiri ama wa natafuta hela ya kula.

Mfano hao ombaomba unakuta ni biashara ya mtu, wote wanarudi nyumba moja, kuna vitoto, walemavu etc wanatumiwa hali ya kuwa anapiga hela ni mwengine.
 
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Kwani Kuna shida watu kuuza mifuko sasa si bora hao kuliko wale wapuuzi wanaowaza waende kuiba wapi
 
Not necessarily, watoto wengi wanatumikishwa na sio kwamba wamejiajiri ama wa natafuta hela ya kula.

Mfano hao ombaomba unakuta ni biashara ya mtu, wote wanarudi nyumba moja, kuna vitoto, walemavu etc wanatumiwa hali ya kuwa anapiga hela ni mwengine.
Ukisema uache kutoa napo unapata nabhuruma
 
Back
Top Bottom