Ongezeko la watoto wanaouza mifuko Sokoni ikiwamo Kariakoo linazidi kutia hofu

Ongezeko la watoto wanaouza mifuko Sokoni ikiwamo Kariakoo linazidi kutia hofu

Not necessarily, watoto wengi wanatumikishwa na sio kwamba wamejiajiri ama wa natafuta hela ya kula.

Mfano hao ombaomba unakuta ni biashara ya mtu, wote wanarudi nyumba moja, kuna vitoto, walemavu etc wanatumiwa hali ya kuwa anapiga hela ni mwengine.
Duu
 
Kwa hizi takwimu, lazima watoto wajazane mitaani tu.
IMG_20240808_155511.jpg
 
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Alafu wote wanatoka kigoma sijui kuna shida gani?
 
Not necessarily, watoto wengi wanatumikishwa na sio kwamba wamejiajiri ama wa natafuta hela ya kula.

Mfano hao ombaomba unakuta ni biashara ya mtu, wote wanarudi nyumba moja, kuna vitoto, walemavu etc wanatumiwa hali ya kuwa anapiga hela ni mwengine.
Kinachofanya familia zao ziwaeuhusu watumikishwe, na kinachofanya wao wakubali kutumika ni hicho alichoandika mkuu hapo juu, yaani kukosekana kwa uhakika wa chakula.
 
Kuna watu wanawatumia hao watoto km miradi yao ya kujipatia kipato.!!
Waulize hiyo mifuko nani anawapa awauzie?
Wale ombaomba wanafanya km kazi usiku wanapeleka kipande kwa boss.!!

Yote hii inasababishwa na serikali ajira hakuna, hawawasaidii wananchi wao kujikomboa na umaskini.!! Maisha yamekuwa magumu.
 
Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome.

Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo.

Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba ulitazame hili na ulifuatilie ili watoto wote waende shule.

Inaelezwa kuwa watoto wengi wametoka mikoa tofauti tofauti na kwenda mikoa mingine kutafuta maisha kutokana na ugumu wa maisha katika familia zao.

Na watoto hao wanalala sehemu zisizo salama kwao na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

Watoto ni taifa la kesho tusimamie usalama wao.
Asa kama watoto ndio taifa la kesho huoni wako sahihi kufanya kazi saiv ili kesho ikifika wawe wametoboa
 
Kabla ya kuilaumu serikali kila mwananchi ajiulize anahusika vipi na ongezeko la watoto mitaani. Mitaa haizai watoto. Ni sisi tunawaleta duniani kwa starehe zetu. Asilimia kubwa ni watoto waliokosa malezi sahihi ya wazazi. Mtu anazaa watoto na kukimbia majukumu ya kuwalea.
 
Kwani Kuna shida watu kuuza mifuko sasa si bora hao kuliko wale wapuuzi wanaowaza waende kuiba wapi
Kinachoelezwa na mleta mada na kusikitisha wengi ni kwamba, watoto wengi wenye umri wa kwenda shule wameonekana wakiuza mifuko, tofauti na matarajio ya wengi kwamba walipaswa wawe shule, mkuu..
Asa kama watoto ndio taifa la kesho huoni wako sahihi kufanya kazi saiv ili kesho ikifika wawe wametoboa
Kwa bahati mbaya, kazi wanazofanya , wakuu wengi humu wamesema watoto wanatumikoshwa, yaani mwenye nafasi kubwa ya kutoboa ni hiyo anaewatumikisha. Wachache sana watatoboa Kwa kudra za mwenyezi Mungu huku wengi wao wakiendelea kuteseka na kuwa mzigo Kwa taifa.
 
Kinachoelezwa na mleta mada na kusikitisha wengi ni kwamba, watoto wengi wenye umri wa kwenda shule wameonekana wakiuza mifuko, tofauti na matarajio ya wengi kwamba walipaswa wawe shule, mkuu..

Kwa bahati mbaya, kazi wanazofanya , wakuu wengi humu wamesema watoto wanatumikoshwa, yaani mwenye nafasi kubwa ya kutoboa ni hiyo anaewatumikisha. Wachache sana watatoboa Kwa kudra za mwenyezi Mungu huku wengi wao wakiendelea kuteseka na kuwa mzigo Kwa taifa.
Uko sahihi
 
Kabla ya kuilaumu serikali kila mwananchi ajiulize anahusika vipi na ongezeko la watoto mitaani. Mitaa haizai watoto. Ni sisi tunawaleta duniani kwa starehe zetu. Asilimia kubwa ni watoto waliokosa malezi sahihi ya wazazi. Mtu anazaa watoto na kukimbia majukumu ya kuwalea.
Serikali tunailaumu Kwa kusababisha maisha magumu Kwa wazazi. Hakuna mzazi anaependa mtoto wake ateseke, asisome, awe chokoraa nk.
Lakini baadhi ya wazazi wanapitia changamoto wasizoweza kuzitatua mpaka wanaamua kukimbia familia.
 
Kinachoelezwa na mleta mada na kusikitisha wengi ni kwamba, watoto wengi wenye umri wa kwenda shule wameonekana wakiuza mifuko, tofauti na matarajio ya wengi kwamba walipaswa wawe shule, mkuu..

Kwa bahati mbaya, kazi wanazofanya , wakuu wengi humu wamesema watoto wanatumikoshwa, yaani mwenye nafasi kubwa ya kutoboa ni hiyo anaewatumikisha. Wachache sana watatoboa Kwa kudra za mwenyezi Mungu huku wengi wao wakiendelea kuteseka na kuwa mzigo Kwa taifa.
Mkuu kuna watu wanamaisha magumu mnoo huezi soma tumbo likiwa halina uhakika wa chakula .hali ya maisha ndio inawafanya wawe mtaan
 
Back
Top Bottom