MAGUFULI aliposema ELIMU BURE watu walimuona chizi. ELIMU Bure ingesaidia kuondoa hizi vurugu.
Hawa CCM masalia wao wanataka wazazi wachangie gharama. Wazazi ni masikini hawana uhakika wa vipato. Unakuta mama ntilie kazalishwa na Bodaboda, au fundi ujenzi amabaye hana uhakika wa maisha yake mwenyewe, huyo mtoto ataenda shule gani.
Wanasiasa kwenye majukwaa wana sema ELIMU BURE, ukifika shuleni wanataka, michango ya chakula cha shule, sijui ukmatie mtoto bima ya afya, mara michango ya majengo, na madawati.
Wazazi wengu wanashindwa watoto wanarudi majumbani, na mwisho wa siku ndio hivyo wanaanza kujitafuta, na kujitafutia.