Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fees huwa ina range vipi?Na ni nature ya mazoezi, ukianza ni ngumu kuacha.
Usipofanya unaona kitu kinakosekana kabisa mwilini
90% umalaya 5% kufuata mkumbo ,na 5% ni wapenda mbio na mazoeziHili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons
Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
30,000-45,000Fees huwa ina range vipi?
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons
Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
Sio kutoka mkoa mmoja tu kwenda mwingine ,kuna watu wanatoka nchi jirani za Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi,nina uhakika wewe sio mkimbiaji,ukiwa mkimbiaji na ukishiriki Marathon utajua kwanini watu wanaongezeka kila kukicha,hata hivyo Tanzania tumechelewa sana...Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons
Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
Aaahaaaumalaya tu
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons
Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
Maneno haya yatasemwa na watu wasiokuwa na moyo wa hayo mazoezi,ila kama mtu kweli ana nia ya kufanya mazoezi lazima atafanya tu.Magonjwa yasiyoambukizika yamekuwa mengi,mazoezi ni moja ya kinga..na huwezi kufanya mazoezi serious ukiwa peke yako
Naunga mkono hojaumalaya tu
Watu wanaenda kama vacation tu na kungonoka sana.Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons
Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?