Ongezeko la watu kuhuhudhuria marathons imechochewa na nini?

Ongezeko la watu kuhuhudhuria marathons imechochewa na nini?

Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons

Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
90% umalaya 5% kufuata mkumbo ,na 5% ni wapenda mbio na mazoezi
 
Mashirika binafsi na ya kiserikali yamejiingiza huko. Wafanyakaz wanapenda kushiriki mana kuna perdiem za kutosha huko
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons

Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
 
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons

Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
Sio kutoka mkoa mmoja tu kwenda mwingine ,kuna watu wanatoka nchi jirani za Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi,nina uhakika wewe sio mkimbiaji,ukiwa mkimbiaji na ukishiriki Marathon utajua kwanini watu wanaongezeka kila kukicha,hata hivyo Tanzania tumechelewa sana...
 
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons

Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?

"NGONO"
 
Magonjwa yasiyoambukizika yamekuwa mengi,mazoezi ni moja ya kinga..na huwezi kufanya mazoezi serious ukiwa peke yako
Maneno haya yatasemwa na watu wasiokuwa na moyo wa hayo mazoezi,ila kama mtu kweli ana nia ya kufanya mazoezi lazima atafanya tu.
 
Hili ongezeko kubwa la mbio za marathons na watu wengi zaidi wakiongezeka kushiriki hizo marathon kumechochewa na nini? Kuna siri gani huko kwenye marathons

Kuna faida gani kubwa hasa katika hizo marathons hadi kuvutia watu kutoka sehemu za mbali kabisa kusafiri kwenda kushiriki kutoka mkoa mmoja hadi mwingine?
Watu wanaenda kama vacation tu na kungonoka sana.
 
Back
Top Bottom