tunatembea marehemu, wala sio kosa lao. hata usugue vp nusu saa kubwa wanaanza kunuka viumbe hai mfu. Wote wanaonuka vikwapa, midomo....wote wameshaoza ila wanajifariji tu kwa kutumia vilainishi kupunguza harufu hizo. Tunatembea marehemu....tuvumiliane kizazi hiki