Ongezeko la watu kunuka mdomo

Ongezeko la watu kunuka mdomo

tunatembea marehemu, wala sio kosa lao. hata usugue vp nusu saa kubwa wanaanza kunuka viumbe hai mfu. Wote wanaonuka vikwapa, midomo....wote wameshaoza ila wanajifariji tu kwa kutumia vilainishi kupunguza harufu hizo. Tunatembea marehemu....tuvumiliane kizazi hiki
 
Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.

Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!

sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
 
Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.

Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!

sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
Kwa hio mzee unanyonya denda??
 
Enzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hiiiii! utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
Nikurekebishe, mtu huwa hawezi kunusa harufu yake toka mdomoni! Lazima asaidiwe kuambiwa pamoja na kuwa ukimwambia mtu mnakosana.
 
Enzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hiiiii! utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
Kweli hii kitu inashika kasi sana siku hizi sijui tatizo nini...ngoja wataalamu watuambie
 
aina ya vyakula pia na vinywaji huchangia sana mdomo kunuka, pengine wengi harufu siyo ya mdomoni tu bali huanzia tumboni, hata akipiga mswaki harufu huondoka baada ya mda hurudi tena, wengine ni wangonjwa wa infections fulani kwenye kinywa na koo, ambazo bila kuzitibu harufu haiwezi kuisha, mswaki hautasaidia chochote
Kwani kuna watu hula mavi.?
 
tunatembea marehemu, wala sio kosa lao. hata usugue vp nusu saa kubwa wanaanza kunuka viumbe hai mfu. Wote wanaonuka vikwapa, midomo....wote wameshaoza ila wanajifariji tu kwa kutumia vilainishi kupunguza harufu hizo. Tunatembea marehemu....tuvumiliane kizazi hiki
Duh.! Kwa hiyo hata humu jukwaani wamejaa marehemu?
Maana kuna midomo huwa inatoa harufu humu
 
Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.

Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!

sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
Muambie indirect kuhusu kunuka mdomo,mwambie kama stori tu kua;

"Kuna rafiki yako alikua na tatizo la kunuka mdomo ila akatumia dawa fulani tatizo lake likaisha!"

Hapo lazima atakuuliza; "alitumia dawa ya aina gani?"
Nawe hapo ndipo utakapo anza kufunguka.
 
Hivi walivyoondoa sayansi kimu shuleni walipeleka somo gani?
 
Back
Top Bottom