Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

Chanika Maternal and Child Teaching Hospital
Completing March 2017
Chanika1.JPG
 
Nilikuwa Kampala mwezi uliopita
Jamaa mmoja akaniambia unaona Jiji letu linavyo badilika?
Nikamuambia naona
Kwakuwa nilijua tutakuja nae Dar atajijibu mwenyewe!

Jamaa nilimtembeza kwa masaa 8 yuko hoi

Nikamueleza Dar yasasa siyo ya mchezo .
Annael endeleza Uzalendo
Maana watu walitudharau sana
Sasa niwakati wa kuheshimiana
 
Ipo Makutano ya Sam Nujoma road na igesa road inayoenda Sinza makaburini kwenye petrol station ya Engine pale
kha! mbona ukiiona sahivi inavyojengwa huwezi dhani kama itakuwa hivyo kweli dar yang'ara
 
Project nyingi ni majengo marefu...ujenzi wa barabara na madaraja bado ni hafifu mji umezidiwa na idadi ya watu miundo mbinu ni ya enzi za Mwl...hivi tunashindwa buni njia mbadala kwa kuongeza upana wa barabara zilizopo maana hata kama zitajengwa mpya bado zinajengwa kwa mtindo wa kizamani lane 2 ama 4.Hatufikirii zaidi ya hapo
Umeongea point sana. Miundombinu hasa barabara ni changamoto kubwa sana. Mimi naona sasa ubunifu unahitajika kwenye swala la barabara hasa Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom