Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

Umeongea point sana. Miundombinu hasa barabara ni changamoto kubwa sana. Mimi naona sasa ubunifu unahitajika kwenye swala la barabara hasa Dar es salaam.

Shida ipo hivi
Kila jambo linapelekwa kisiasa
Ikitokea serikali ina taka kupanua Hizo barabara
Unakuta kuna changamoto ya makazi ndani ya barabara,
Na inapo taka kubomoa wanakuja watu na kuanza kuingiza siasa za majitaka.
Ajabu haohao husifia zawengine.

Jambo lakushukuru nikuwa sasa tuna Rais ambae yeye hajali Maneno ya wanasiasa
Anafanya jambo walie leo kesho waishi wakicheka daima.

Tutegemee Jiji letu kubadilika ndani ya muda mfupi ujao
 
Shida ipo hivi
Kila jambo linapelekwa kisiasa
Ikitokea serikali ina taka kupanua Hizo barabara
Unakuta kuna changamoto ya makazi ndani ya barabara,
Na inapo taka kubomoa wanakuja watu na kuanza kuingiza siasa za majitaka.
Ajabu haohao husifia zawengine.

Jambo lakushukuru nikuwa sasa tuna Rais ambae yeye hajali Maneno ya wanasiasa
Anafanya jambo walie leo kesho waishi wakicheka daima.

Tutegemee Jiji letu kubadilika ndani ya muda mfupi ujao
Uko sawa. Ningependa kuona akibadilisha barabara za Dar tena kwa kiwango cha hadhi ya juu kabisa. Inawezekana ni kujipanga tu.
 
Project nyingi ni majengo marefu...ujenzi wa barabara na madaraja bado ni hafifu mji umezidiwa na idadi ya watu miundo mbinu ni ya enzi za Mwl...hivi tunashindwa buni njia mbadala kwa kuongeza upana wa barabara zilizopo maana hata kama zitajengwa mpya bado zinajengwa kwa mtindo wa kizamani lane 2 ama 4.Hatufikirii zaidi ya hapo
Mzizima tower ina tatizo kubwa sana la kimiundo mbinu
 
Nehemia yupo vizuri
Namkubali yule ndugu Nehemia.Ki ukweli amelizindua lile shirika na kuwa la kisasa na la kiushindani.Cha msingi aangalie lengo la msingi la NHC la kujenga na kupangisha makazi kwa bei nafuu.
 
Back
Top Bottom