Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
- Thread starter
-
- #121
Unauhakika au unaongea tu? Hebu nenda ukaone maeneo yote hayo ujenzi unaendelea. Moroco Square inaisha mwaka huu 2017. Victoria Place nayo ipo mwishoni. Mwaka huu majengo mengi sana yatakuwa yameisha. Wewe tembelea maeneo hayo usisubiri maneno ya vijiweni. Halafu kulalamika lalamika kila wakati ni upuuzi.Kabla ya kuingia huyu wa sasa
NHC ilikuwa yaenda spidi ana
Pale Kawe leo hii pangekuwa pamemalizika maana spidi ilikuwa kubwa sana
Moroco Square ingekuwa ineisha maana spidi ilikuwa kubwa hivi sasa NHC imesimamisha ujenzi Kawe toka huyu wa sasa aingie pale hapajapanda kabisa
Real estate watakinywea kikombe maana hali ni mbaya sana
Magorofa mengi wengine wanaendelea maana hawawezi simamisha kwani gharama zitakuwa kubwa wakijaendeleza