KERO Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?

KERO Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kuna siku nimejaribu kukata tiketi nikaona mfumo haueleweki mara haufunguki nikajua ni tatizo la siku moja.

nikaja kujaribu tena ukafunguka ila umekaa kijinga kweli kweli mpaka nikawaza nani kawatengenezea? yaan uko hovyo wanazidiwa hata na shabiby na BM coach😂😂😂😂
 
Wasenge sana hawa, nimekata ticket juzi saa 6 usiku, nikalipa kwa tigopesa, kwangu hela ikakatwa, kule kwenye website yao ticket haionekani, ghafla mtandao ukawa haufunguki tena.
Kesho yake ambayo ni jana, naenda kule wanasema ticket sijakata, nawaonesha muamala uliofanyika, kale kadada kadirishani kanajibu easy tu, kaka yangu sina cha kukusaidia.. Namuuliza unakosaje kunisaidia na mimi mteja wenu, muamala huu mie napaswa nisafiri, anasema subiri huku pesa ionekane, huwezi kusafiri, nikatamane nikachape vibao, lakini utu uzima dawa.

TRC rekebisheni mambo ya kingese kama hayo atakuja kupigwa mtu vichwa hapo, halafu tunaenda kumalizana kwa jirani yenu central tu hapo.
 
Wasenge sana hawa, nimekata ticket juzi saa 6 usiku, nikalipa kwa tigopesa, kwangu hela ikakatwa, kule kwenye website yao ticket haionekani, ghafla mtandao ukawa haufunguki tena.
Kesho yake ambayo ni jana, naenda kule wanasema ticket sijakata, nawaonesha muamala uliofanyika, kale kadada kadirishani kanajibu easy tu, kaka yangu sina cha kukusaidia.. Namuuliza unakosaje kunisaidia na mimi mteja wenu, muamala huu mie napaswa nisafiri, anasema subiri huku pesa ionekane, huwezi kusafiri, nikatamane nikachape vibao, lakini utu uzima dawa.

TRC rekebisheni mambo ya kingese kama hayo atakuja kupigwa mtu vichwa hapo, halafu tunaenda kumalizana kwa jirani yenu central tu hapo.
Kama huduma ndio kwa mtindo huo basi watageuka Kama mwendokasi muda sio mrefu.
 
Upo sahihi,nilijaribu kununua ticket tovuti yao ikawa inagoma kufunguka kabisa,nikajiuliza yaani mapema tu upuuzi umeshaanza,tu watu wa ovyo sana na hata taarifa hupewi
 
Wataalam wao wao wa tehama wanatoka chuo gani?
Au wanaandaa outsource kwa vicampuni wakubwa wapate commission.
 
View attachment 3054510View attachment 3054511
Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa lianenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imekaa ni kwann mfumo hasemi kwamba train imejaa kama ilivyomifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndo maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi wanifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.
Hujui ''wataalam'' wa nchi yako? Ni nini ambacho kimeshafanyika Tanzania kikawa sawa?
 
Kuna siku nimejaribu kukata tiketi nikaona mfumo haueleweki mara haufunguki nikajua ni tatizo la siku moja.

nikaja kujaribu tena ukafunguka ila umekaa kijinga kweli kweli mpaka nikawaza nani kawatengenezea? yaan uko hovyo wanazidiwa hata na shabiby na BM coach😂😂😂😂
Ndiyo Bongo hiyo sasa. Utakuta huko kwenye shirika kuna mjinga mmoja amempa mkwe wake tender ya kutengengeza hiyo system na malipo ni fedha nyingi kweli kweli.
 
View attachment 3054510View attachment 3054511
Habari wadau. Kumekuwa na changamoto kubwa hasa kwenye ukataji wa ticket online. Suala hili limekuwa lianenda kimya kimya bila kutolewa ufafanuzi. Sifahamu hili linatokea by coincidence au limepangwa. Kama train imekaa ni kwann mfumo hasemi kwamba train imejaa kama ilivyomifumo mingine ya ukataji ticket? Limebakia suala la Sisi abiria kujipa majibu wenyewe kwamba huenda train imejaa ndo maana mfumo inasumbua.
Tunaomba uongozi wanifanyie kazi hili suala Kwa haraka na weledi ili raia tuweze pata huduma stahiki.
Kama wamiliki wa mabasi ndo 'wanashughurika' na tiketi za online, basi hili litakuwa tatizo la milele.
 
Pole,hivi nauli yenyewe ni shilingi ngapi?hongera kwa kutomchapa makofi huyo Mhudumu,naamini mambo ya online bado sana,tuendelee na manually tu kwenda kukatia dirishani live
 
Sasa hivi utasikia watu wanasimama kwenye Hilo daladala la umeme,sisi ni mabingwa wa ufisadi wakati wa kutengeneza na mabingwa wa kuharibu wakati wa kutumia ili tuibe.
 
Wanashindwa kutengeneza app ya kujitegemea? Mbona wa kwenye mabasi wameweza? Nisikia mfumo wao hata ukikata ticket online lazima uende tena ofisini kwao ukasulubiwe kwa foleni
 
Back
Top Bottom