ONLINE ENGLISH COURSE.

ONLINE ENGLISH COURSE.

Masomo kwa wanafunzi wapya yanaanza tarehe 1.Lipia leo usipitwe tena kusubiri darasa hadi mwezi wa 3.Hakikisha unapokuja WhatsApp unakuwa tayari kwa malipo na si vinginevyo.Maswali mengine yote unaweza kuniuliza hapahapa.Tuma neno MAFUNZO kwenda 0626501004 WhatsApp pekee.
61cc459630060acd1d526e4574117a3a.jpg


Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
 
Ila kabla hatujaingia kwa umbo LA past participle ( timilifu) tuangalie kidogo maneno yanayotolewa herufi 'y' mwishoni na kuwekwa 'i' kisha 'ed'

Mifano;

Cry lazima utoe 'y' iwe cried na sio cryed ila play hutoi 'y' mbali unaongeza 'ed' moja kwa moja.

Tunatambuaje kuwa hapa toa 'y' na pengine usitoe??

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
 
[emoji1313]

Sasa tuangalie umbo timilifu ( past participle) hupatikanaje.

( Tukumbuke tulisema maumbo haya matatu ndiyo ya muhimu kukariri maana hayo mengine yana formula)

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
 
Corretion

Nilikula_I eate

Walikula_they eate

Robot na Erick walipika_Robot and Erick they cooked

Agy alicheza mpira_Agy played a ball

David ali....?_did David....?

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
Mbona kama mwalimu unakosea [emoji848][emoji848]
And by the way who is your target here??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom