m2kutu
Senior Member
- Apr 5, 2014
- 125
- 101
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala".Kwa uandishi huu hicho chuo ulichopo ni cha vilaza wa 4G!!
Empty set kabisa!
Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo.
Ubarikiwe sana.