Only for single ladies...

Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala".

Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo.

Ubarikiwe sana.
Good boy!
Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way[emoji122] [emoji122]
Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia!
 
Good boy!
Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way[emoji122] [emoji122]
Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia!
Nashukuru Mkuu.

Mchana mwema
 
Ndy Maana waswahili hunena, ujingaa niwakati wakweenda tuu.....
[emoji404] Siwaona sasa, you real came up with good mindsets
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…