Only in Tanzania, tuko tayari kupiga kelele Bar zikeshe ila sio huduma nyingine.....

Only in Tanzania, tuko tayari kupiga kelele Bar zikeshe ila sio huduma nyingine.....

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.

Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa Tisa na nusu, only NMB na CRDB pengine na NBC kwa pale Mlimani City na baadhi ya maeneo. Kwahio kama unataka kufanya transaction yoyote inayokuhitaji kufika bank ujue imekula kwako, Kuna Sababu Gani bank zisiwe wazi 24/7?

Hivi Kuna umuhimu Gani wa makampuni kuacha kufanya kazi usiku na mchana? Tuna uhaba wa cement ila jioni tunafunga tunaondoka Hadi kesho, sukari, Mafuta n.k ni Yale Yale tu ....
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.

Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?

Mambo haya na mengine yanatufanya tupende Kulala zaidi bila kufanya kazi, ndio maana vijana wetu wanakimbilia betting
 
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.
kwa barabara zetu hizi zilivyo nyembamba na haya ma fuso na maroli usiku aisee tutazika hadi tuchoke.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.

Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa Tisa na nusu, only NMB na CRDB pengine na NBC kwa pale Mlimani City na baadhi ya maeneo. Kwahio kama unataka kufanya transaction yoyote inayokuhitaji kufika bank ujue imekula kwako, Kuna Sababu Gani bank zisiwe wazi 24/7?

Hivi Kuna umuhimu Gani wa makampuni kuacha kufanya kazi usiku na mchana? Tuna uhaba wa cement ila jioni tunafunga tunaondoka Hadi kesho, sukari, Mafuta n.k ni Yale Yale tu ....
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.

Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?

Mambo haya na mengine yanatufanya tupende Kulala zaidi bila kufanya kazi, ndio maana vijana wetu wanakimbilia betting
Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.

1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji

2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni

3. Kuifanya Afrika kua moja

4. Yenye lugha moja

5. Pesa moja ya Afrika mzima

6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje

Je itawezekana?
 
Kuna vitu vingi sana inabidi kuangalia ili kufikia hayo uliyoyasema

1.Itabidi kulipa pesa ya ziada that is Overtime kutokana na mikataba inavyosema muda wa kazi ni kuanzia saa ngapi hadi ngapi

2.Kuajiri workforce nyingine ya ziada

Haya yote yatawezekana kama uchumi wa watu husika yaaani Wananchi na vipato vyao viko vizuri na kuruhusu haya yote..Maana ili kukesha ina maanisha kuwa kuna ongezeko wa uhitaji wa huduma husika..Lakini kama vipato vya watu haviruhusu hili then kufanya kazi 24hours itakuwa ni kuongeza costs of production and services kwa kampuni husika maana hakutokuwa na uhitaji huo.

Angalia nchi zilizoendelea si tuu wanafanya kazi 24/7 kwa ajili yao tuu lakini kwa kuwa wanafanya mass production and services kwa hata nje ya Nchi yani exportation na pia domestic demand inawaruhusu kuoperate kwa masaa hayo 24 kutokana na per capita (vipato) vya watu wao..

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
kwa barabara zetu hizi zilivyo nyembamba na haya ma fuso na maroli usiku aisee tutazika hadi tuchoke.
Hapana Mkuu,usiku madereva wa Mabasi ndio watapata muda wa kutembea polepole.
Kwa mfano Basi linatoka hapa Dar saa 12 za jioni, kuelekea Bukoba linapangiwa liingie saa 4 za asubuhi.

Madereva wawili wanakuwa na muda mzuri wa kupumzika.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.

Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa Tisa na nusu, only NMB na CRDB pengine na NBC kwa pale Mlimani City na baadhi ya maeneo. Kwahio kama unataka kufanya transaction yoyote inayokuhitaji kufika bank ujue imekula kwako, Kuna Sababu Gani bank zisiwe wazi 24/7?

Hivi Kuna umuhimu Gani wa makampuni kuacha kufanya kazi usiku na mchana? Tuna uhaba wa cement ila jioni tunafunga tunaondoka Hadi kesho, sukari, Mafuta n.k ni Yale Yale tu ....
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.

Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?

Mambo haya na mengine yanatufanya tupende Kulala zaidi bila kufanya kazi, ndio maana vijana wetu wanakimbilia betting
Vyuma vimekaza sasa mnataka vilegezwe muanze pyupyu zenu, tumesahau matukio hayo.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.

Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa Tisa na nusu, only NMB na CRDB pengine na NBC kwa pale Mlimani City na baadhi ya maeneo. Kwahio kama unataka kufanya transaction yoyote inayokuhitaji kufika bank ujue imekula kwako, Kuna Sababu Gani bank zisiwe wazi 24/7?

Hivi Kuna umuhimu Gani wa makampuni kuacha kufanya kazi usiku na mchana? Tuna uhaba wa cement ila jioni tunafunga tunaondoka Hadi kesho, sukari, Mafuta n.k ni Yale Yale tu ....
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.

Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?

Mambo haya na mengine yanatufanya tupende Kulala zaidi bila kufanya kazi, ndio maana vijana wetu wanakimbilia betting
Akili yako ki Africa Africa utaonekana mnonko Ila Ni akili kubwa. Struggle tuzame Europe or America mkuu. Mana kule ndiko mjini kwa ma hustlers sema huku afrika Ni Kijijini fulani. Mana ukiwa Europe hela ya kutumia hapa home mwaka mzima kule unatumia labda mwezi na hela ya mwezi ya kutumia hapa kwetu kwa mini yetu ukiwa kijijini unaitumia mwaka.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.

Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa Tisa na nusu, only NMB na CRDB pengine na NBC kwa pale Mlimani City na baadhi ya maeneo. Kwahio kama unataka kufanya transaction yoyote inayokuhitaji kufika bank ujue imekula kwako, Kuna Sababu Gani bank zisiwe wazi 24/7?

Hivi Kuna umuhimu Gani wa makampuni kuacha kufanya kazi usiku na mchana? Tuna uhaba wa cement ila jioni tunafunga tunaondoka Hadi kesho, sukari, Mafuta n.k ni Yale Yale tu ....
Kuna umuhimu Gani wa kuzuia magari ya abiria yasisafiri usiku? Tunaogopa Majambazi! Kwahio mvua ikinyesha hatuendi kazini? Eti ajali zitaongezeka....ujinga mtupu.

Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?

Mambo haya na mengine yanatufanya tupende Kulala zaidi bila kufanya kazi, ndio maana vijana wetu wanakimbilia betting
Ni aibu tupu
 
Akili yako ki Africa Africa utaonekana mnonko Ila Ni akili kubwa. Struggle tuzame Europe or America mkuu. Mana kule ndiko mjini kwa ma hustlers sema huku afrika Ni Kijijini fulani. Mana ukiwa Europe hela ya kutumia hapa home mwaka mzima kule unatumia labda mwezi na hela ya mwezi ya kutumia hapa kwetu kwa mini yetu ukiwa kijijini unaitumia mwaka.
Hahahahaa shukrani sana, let's change our mindsets
 
FFFEED0B-3D47-434E-BE58-9322665C18D8.jpeg


Miaka mitatu mfululizo... data zina jieleza... pamoja na kupunguza muda wa kwenda kuzinywa huko bar

Hapa ukiondoa na zile za mafikoni na kwa mama niwekee kama ulanzi, komoni gongo nk
 
Hapana Mkuu,usiku madereva wa Mabasi ndio watapata muda wa kutembea polepole.
Kwa mfano Basi linatoka hapa Dar saa 12 za jioni, kuelekea Bukoba linapangiwa liingie saa 4 za asubuhi.

Madereva wawili wanakuwa na muda mzuri wa kupumzika.
Kwa akili za madereva wa mabasi tanzania ni hatari kusafi usiku kama huamni kapande basi pale morogoro linalokuja dar kuanzia saa kumi na moja na kuendelea yaani basi linajaza mpk abiria mnasimamishwa mwendo sasa daaah ni hatari tupu.
 
Kwa akili za madereva wa mabasi tanzania ni hatari kusafi usiku kama huamni kapande basi pale morogoro linalokuja dar kuanzia saa kumi na moja na kuendelea yaani basi linajaza mpk abiria mnasimamishwa mwendo sasa daaah ni hatari tupu.
Kukiwa na Mabasi 24hrs sidhani kama abiria watakubali wabanane kwenye Basi moja.
 
Kukiwa na Mabasi 24hrs sidhani kama abiria watakubali wabanane kwenye Basi moja.
Hivi mkuu ulishawahi kupanda haya mabasi yetu usiku?kwani unadhani wanavyokimbia huwa wanawahi nini maana hata haya ya mchana kama kina sauli huwa yanakimbia hovyo kuwahi nini?
 
Hivi mkuu ulishawahi kupanda haya mabasi yetu usiku?kwani unadhani wanavyokimbia huwa wanawahi nini maana hata haya ya mchana kama kina sauli huwa yanakimbia hovyo kuwahi nini?
Mchana wanawahi ndio maana wanakimbia usiku magari Barabarani sio mengi.

Mimi mwenyewe ni Dereva wa ndefu trust me.
 
Baadhi ya madereva wanakunywa vileo wakiwa wanaendesha magari Yao, wengine hawafwati Sheria za barabaranii, imekuwa changamoto kuruhusu gari za abiria kusafiri usiku.
 
Back
Top Bottom