Only in Tanzania, tuko tayari kupiga kelele Bar zikeshe ila sio huduma nyingine.....

Only in Tanzania, tuko tayari kupiga kelele Bar zikeshe ila sio huduma nyingine.....

wengine hawafwati Sheria za barabaranii,
Hao huwa ni STL na PT ndio wacheza rafu wakubwa wanaweka na vimulimuli ili muwaogope.

Hawafuati sheria hata moja ya Barabarani hata taa zao hawabadilishi wanakupiga full mpaka unapaki.
 
Crap
Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.

1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji

2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni

3. Kuifanya Afrika kua moja

4. Yenye lugha moja

5. Pesa moja ya Afrika mzima

6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje

Je itawezekana?
 
Baadhi ya madereva wanakunywa vileo wakiwa wanaendesha magari Yao, wengine hawafwati Sheria za barabaranii,imekuwa changamoto kuruhusu gari za abiria kusafiri usiku.
 
Nimepita pale Mwidu mara mbili sasa siwaoni wale Mapolisi kero imeondolewa asanteni wahusika.
 
Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.

1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji

2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni

3. Kuifanya Afrika kua moja

4. Yenye lugha moja

5. Pesa moja ya Afrika mzima

6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje

Je itawezekana?
Hiyo kuwa na pesa yenu lazima vita vitaanzia hapo kama ilivyo kwa wengine Rothschild vectors hawawezi kubali hata iweje.
 
Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.

1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji

2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni

3. Kuifanya Afrika kua moja

4. Yenye lugha moja

5. Pesa moja ya Afrika mzima

6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje

Je itawezekana?
Itabidi damu nyingi imwagike ile hayo yatimie.
 
Back
Top Bottom