Hao huwa ni STL na PT ndio wacheza rafu wakubwa wanaweka na vimulimuli ili muwaogope.wengine hawafwati Sheria za barabaranii,
Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.
1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji
2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni
3. Kuifanya Afrika kua moja
4. Yenye lugha moja
5. Pesa moja ya Afrika mzima
6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje
Je itawezekana?
Nilipita Jana nilikutana na barrier mbili tu kuanzia Chalinze Hadi DodomaNimepita pale Mwidu mara mbili sasa siwaoni wale Mapolisi kero imeondolewa asanteni wahusika.
Hizo nazo waziondoe ukaguzi ubaki Dumila kwa njia ya kati.Nilipita Jana nilikutana na barrier mbili tu kuanzia Chalinze Hadi Dodoma
Niliwapa bukuHizo nazo waziondoe ukaguzi ubaki Dumila kwa njia ya kati.
Utakatishaji Fedha.Hivi Kuna sababu Gani za msingi za kuweka limit ya mobile transaction kuwa 5m kwa Siku?
Hiyo kuwa na pesa yenu lazima vita vitaanzia hapo kama ilivyo kwa wengine Rothschild vectors hawawezi kubali hata iweje.Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.
1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji
2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni
3. Kuifanya Afrika kua moja
4. Yenye lugha moja
5. Pesa moja ya Afrika mzima
6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje
Je itawezekana?
fanya risk analysis, acha kutegea.Kwahio tuache kusafiri? Au barabara ziboreshwe?
Itabidi damu nyingi imwagike ile hayo yatimie.Sikiliza, tuliaminishwa kuzaa watoto wachache ndiyo tutakua kiuchumi, hivyo basi hatuna watu ktk bara hili wa kutisha, pia desturi za kiafrika zimekua zikiamini siku inakwisha saa kumi na mbili jioni, kitu ambacho siyo kweli, uhalifu kuongezeka na kusababisha uoga wa maofisi kufanya kazi usiku, lakini uchache wa watu unafanya usiwaone hiyo usiku wakitaka huduma maana wote watakua wamelala karibu 85% ya wakaazi.
1. Lazima tukubali kuzaliana na kuongeza nguvu ya watu kiutendaji, na uhitaji
2. Kukataa elimu iliyojaa misingi ya kigeni
3. Kuifanya Afrika kua moja
4. Yenye lugha moja
5. Pesa moja ya Afrika mzima
6. Hari ya kila mmoja kujituma na kukataa misaada toka nje
Je itawezekana?
Wao walikuwa wakusanyaji wa buku buku.Niliwapa buku
Niliwapa iliyochanikaWao walikuwa wakusanyaji wa buku buku.