kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Maskini ya mungu!
Yaani mpaka 21st century you still following conspiracy theories!
And that is the BEST YOU COULD FIND!!?
God help us all!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini ya mungu!
Yaani mpaka 21st century you still following conspiracy theories!
And that is the BEST YOU COULD FIND!!?
God help us all!
1. Sura Al-Baqara 2:109
Many of the People of the Book wish, through envy, to lead you back to unbelief, now that you have embraced the faith and the truth has been made plain to them. Forgive them and bear with them until Allah makes known His will. He has power over all things.
Hapa quran inaongelea watu wa kitabu (yaani Wakristo), na kusema:
Wengi wa watu wa kitabu, kutokana na wivu wao, wanatamani kuwarudisheni kwenye kutoamini baada ya kuwa mmeamini, pamoja na kwamba ukweli umeshadhihirishwa wazi mbele yao. Kwa hiyo wasameheni na kuwavumilia hadi Allah atakapowafunulia mapenzi yake. Yeye ana nguvu juu ya kila kitu.
Quran pia inawaagiza Waislamu katika sura Al Imran 3:20 kwamba:
... if they give no heed, then your only duty is to warn them.
Yaani:
... kama wasipowasikiliza, basi ninyi kazi yenu pekee ni kuwaonya tu.
Kwa hiyo, kutokana na aya hizi mbili, yaani Al-Baqara 2:109 na Al Imran 3:20, tunaona mambo yafuatayo:
1.Ni wajibu wa Waislamu kuhubiri dini yao lakini si wajibu wao kuwalazimisha watu kuamini dini yao.2.Allah kwa wakati wake atawafunulia wale wasioamini ukweli wa mambo.3.Ni wajibu wa Waislamu kutoa maonyo tu kwa wale wanaowahubiria.
LAKINI, HEBU TAZAMA AYA ZIFUATAZO:
Al-Nisa 4:101
The unbelievers are your sworn enemies.
Yaani,
Wale wasioamini ni maadui zenu wakubwa.
Vilevile inasema katika sura Al-Tawba 9:3
Proclaim a woeful punishment to the unbelievers.
Yaani:
Tangazeni mapigo makuu (ya ole) kwa wasioamini.
Pia quran inasema katika sura Al-Anfal 8:39
Make war on them until persecution is no more and Allahs religion reigns supreme.
Yaani:
Fanyeni vita juu yao hadi kusiwepo na mateso tena na hadi pale dini ya Allah itakapokuwa imetawala.
Maswali:
1. Je, aliyempa Muhammad maneno ya 2:109, 3:20 na yale ya 4:101, 9:3, 8:39 ni huyo huyo au ni wawili tofauti?2. Iweje aseme kuwa usiwalazimishe watu kuamini bali waonyeni na kuwavumilia tu, kisha anageuka sehemu nyingine na kusema walazimisheni, tena kwa vita?3. Je, hii si ishara ya tabia ya usahaulifu ambayo si tabia ya Mungu bali ni ya mwanadamu?4. Kama ni huyo huyo, je, aya hizi zinafanana au zinapingana?5. Kama zinafanana, ni kwa vipi?6. Kama zinapingana, huu si ushahidi tayari kuwa quran haitoki kwa Mungu wa kweli kama ambavyo quran yenyewe imeweka kigezo cha kujua hilo? Maana Mungu wa kweli hawezi hata kidogo kusahau jambo alilolisema kabla halafu aje aseme kitu tofauti. Ni viumbe tu ndio wanaweza kusahau na kukosea.
2. Sura Al-Ankabut 29:6
Quran inasema:
Allah does not need his creatures help.
Yaani,
Allah hahitaji kusaidiwa na viumbe wake. (bila shaka ni katika kutekeleza makusudi na mipango yake).
LAKINI QURAN HIYO HIYO INAWAAMBIA WAISLAMU:
Sura Muhammad 47:7
If you help Allah, He will help you and make you strong.
Yaani,
Kama mkimsaidia Allah, yeye naye atawasaidia na kuwafanya kuwa imara.
Maswali:
1. Umesema huhitaji msaada, kisha unasema tena unahitaji msaada! Je, Mungu anaweza kufanya jambo kama hilo?2. Aya hizi zinafanana au zinapingana?3. Je, hii si ishara kuwa aya hizi zilisemwa tu ili kukidhi mahitaji ya wakati fulani, lakini msemaji alipoona anahitaji kuwafanya watu watende kinyume chake, akajikuta amesema tofauti na alivyosema siku za nyuma?
Na tena quran inasema katika sura Al-Baqara 2:244
Fight for the cause of Allah and bear in mind that He hears all and knows all.
Yaani:
Fanyeni vita kwa ajili ya Allah na mkumbuke kwamba anaona yote na anajua yote.
Maswali:
1. Kama kweli Allah hahitaji msaada wa viumbe wake; na kama kweli aliumba ulimwengu wote kwa NENO TU, iweje NENO hilo hilo lisiweze kuwabadilisha wanadamu hadi alazimike kuliingiza ndani yao kwa nguvu, kwa vitisho na kwa ukali namna hiyo?
(Ukristo unashinda na kufanikiwa kwa NENO tu. Maana sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu wetu. Yeye aliumba kwa Neno; na sisi watoto wake, tunaumba kwa Neno hilo hilo. Tunahubiri tu na watu wanaokolewa, wanaponywa, wanalindwa na kusimama na Mungu wa kweli. Huoni kwamba hii hasa ndiyo maana ya nguvu ya Mungu? Hatuhitaji kuchinja au kupiga watu ili wampende Mungu!! Unawezaje, hata tu wewe mwenyewe, kumfanya mwanao au mkeo akupende kwa njia ya vipigo na kulazimisha? yaani, ukitaka mwanao au mkeo akupende utamshikia rungu au panga au bunduki? Je, hiyo si ishara kwamba wewe huna nguvu ndiyo maana unalazimisha? je, huko si kujikanganya maana umetuambia kuwa wewe ni Mungu unayeweza yote?)2. Je, Allah anapotaka wanadamu wanaomwamini wafanye vita ili kuwalazimisha wasioamini wamwamini, huko si kutaka msaada kwa viumbe wake?
Let us examine the credibility of these words of your God Mr Kahtaan:
Al Baqarah Ayah 190. And fight in the way of Allah with those who fight with you, and do not exceed the limits, surely Allah does not love those who exceed the limits. 191. And kill them wherever you find them, and drive them out from whence they drove you out, and persecution is severer than slaughter, and do not fight with them at the Sacred Mosque until they fight with you in it, but if they do fight you, then slay them; such is the recompense of the unbelievers.
The Qur'an says that man was created from a clot of blood.
Qur'an 96:1. Proclaim (or Read) In the Name Of thy Lord and Cherisher, Who created- 2. Created man out of A (mere) clot Of congealed blood;
The Qur'an says that man was created from was created from clay.
Qur'an 6:2 (Also 7:12) 2. He it is Who created You from clay, and then Decreed a stated term (For you). And there is In His Presence another Determined term; yet Ye doubt within yourselves!
The Qur'an says that man was created from was created from water.
Qur'an 25:54. It is He Who has Created man from water: Then has He established Relationships of lineage And marriage: for thy Lord Has power (over all things).
These are internal contradictions that indicate the origin of the Qur'an was not the mind of Almighty God, but the mind of man, Muhammad. I urge you to seek the truth instead of foooling yourself with these empty promises such as these ones:
Qur'an 37: 40. But the sincere (and devoted) Servants of Allah, 41. For them is a Sustenance Determined, 42. Fruits (Delights) and they (Shall enjoy) honor and dignity, 43. In Gardens of Felicity, 44. Facing each other On Thrones (of dignity): 45. Round will be passed To them a Cup From a clear flowing fountain, 46. Crystal white, of a taste Delicious to those Who drink (thereof), 47. Free from headiness; Nor will they suffer Intoxication there from. 48. And beside them will be Chaste women, restraining Their glances, with big eyes (Of wonder and beauty) 49. As if they were (Delicate) eggs closely guarded.Qur'an 4:57. But those who believe And do deeds of righteousness, We shall soon admit to Gardens, With rivers flowing beneath, - Their eternal home; Therein shall they have Companions [wives, NR] pure and holy; We shall admit them To shades, cool and ever deepening.Qur'an 44:51. As to the Righteous (They will be) in A position of Security, 52. Among Gardens and Springs; 53. Dressed in fine silk And in rich brocade, They will face each other; 54. So; and We shall Join them to Companions With beautiful big And lustrous eyes. 55. There can they call For every kind of fruit In peace and security; 56. Nor will they there Taste Death, except the first Death: and He will preserve Them from the Penalty Of the Blazing Fire.
5. Sura Al-Baqara 2:177
Righteousness is not that you turn your faces toward the east or the west, but [true] righteousness is [in] one who believes in Allah ...
Yaani:
Haki (mbele za Mungu) haitokani na mtu kugeukia mashariki au magharibi. Mtu mwenye haki ni yule anayemwamini Allah ...
JIBU!
HAPA KWANZA KAMA KAWAIDA YAKO UMESEMA UONGO!!
TAFSIRI HALISI NI:-
"...SIO UONGOFU PEKE YAKE !KUELEKEZA USO WAKO MASHARIKI AU MAGAHARIBI ! BALI UONGOFU ULIO KAMILI NI ULE WA KUMUABUDU MOLA MLEZI..(ALLAH.") KIKAMILIFU"
LAKINI QURAN HIYO HIYO INASEMA:
Sura Al-Baqara 2:144
Indeed, we see you look repetedly towards heaven. We will make you turn towards a qiblah that will please you. So turn your face towards the sacred Mosque (qiblah). Wherever you are, turn your faces to it.
Yaani:
Tumekuona unavyoelekeza macho yako mbinguni tena na tena. Tutawafanya muigeukie qiblah itakayowafurahisha. Hivyo, geuzeni nyuso zenu kuelekea msikiti mtakatifu
JIBU!
HAPA QURAAN INAELEZEA KUWA KABLA YA WAISLAMU KUAMRISHWA KUELEKEA MAKKAH WAKATI WA SALA ZAO (QIBLA)
KWANZA WATU WOTE WALIKUWA WAKIELEKE PALESTINE (Al aqsa mosque)
Na Mtume muhammad (s.a.w) Alikuwa anatamani waislamu wanapo fanya ibada basi waelekee MASJID AL HARAM! (MAKKAH) !
Ndipo akawa anatizama Juu akimuomba mungu alifanikishe hilo!
Ndipo andiko likateremshwa kuwa:-
".. Tumekuona unavyoelekeza macho yako mbinguni tena na tena. Tutawafanya muigeukie qiblah itakayowafurahisha. Hivyo, geuzeni nyuso zenu kuelekea msikiti mtakatifu
[japo quran zingine zinasema ‘towards al-Masjid al-Haram' – najiuliza 'Haram' maana yake nini!!]
Jibu!
HAPA INABIDI UJIFUNZE KIARABU!
NA HII NI MTIHANI MKUBWA SANA KWAKO!
teh teh teh teh !
Maswali:1. Kama aliyesema aya hizi mbili ni yuleyule; na ni Mungu wa mbinguni, inakuwaje zinapingana?2. Kama zimetoka kwa Mungu wa mbinguni, si jambo la ajabu kuona kwamba hapendi watu waelekeze macho yake kule aliko badala yake waelekeze kwingineko?
JIBU!
MUNGU HAYUKO SEHEMU MOJA!.
3. Kama wewe tunayekuabudu uko juu, kwa nini hautaki tuelekeza macho yetu huko? Huu si mkanganyiko?
JIBU! AMUNGU HAYUKO JUU TU !?
4. Na kama wewe ni Mungu uliye mahali KOTE, kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?
Na hii tabia ya kusema mimi na wenzangu tuna zi crash dini zingine!
Sidhani kama kuna ukweli ndani yake!
Mwenye kutumia matusi na kashfa sio mimi na muislamu yyt ila ni huyu anaejiita nabii wa Yesu ambae ana majina mengi saana! Na moja ya hayo ni SCHMIDT au MaxShimba na cha kusikitisha ni kuwa huyu anadai ni mkiristo! Na anacho kifanya humu SI KUHUBIRI INJILI ni kutukana na kutoa kashfa kuhusu imani ya kiislamu, NA MTU KAMA WEWE HATA SIKU MOJA HUJATOKEA NA KUMKEMEA KUWA HUO SIO UJUMBE ALIYO FUNDISHA YESU!
JIBU!
KAMA VILE WEWE ULIVYO AMRISHWA KUPIGA GOTI HALAFU UKANYWESHWA DAMU !
NA MIMI HII NI AMRI YA MUNGU AMBAYO MIMI SINA HAKI YA KUMUULIZA MUNGU ALIYE NIUMBA!
ETI KWANINI NIGEUKIE MAKKAH!
Nyongeza:-
NI TABIA NA DESTURI YA MSOMI ANAPO ULIZWA SWALI! KWANZA AJIBU!
HALAFU ANAULIZA LA KWAKE! AU SIO?!?
SASA NIMEKUULIZA MASWALI NA WEWE UNANIULIZA MASWALI!
HII NI TABIA YA WALEVI NA WAHUNI!
HATA HIVYO NIMEKUJIBU!
SASA NA WEWE JIBU YA KWANGU NILIO KUULIZA HAPO NYUMA!!
NI HILI NAWAHAKIKISHIA JF! HUWEZI KUJIBU HATA WAKUUWE!
teh teh teh !
Summun bukmun ummyun! Fahumm laa yarjiuuun!
"Swadakallahu l-adhiiiim!
cc Ritz Izz
Before you wrote something for people to see!
You need to read it first!
CAN YOU EXPLAIN THOSE BIBLICAL CONTRADICTIONS I ASK EARLIER! !
IF YOU DARE!!!
Umekimbia swali la Kwanza. Ukakimbia la pili. Majibu yako mawili yote umelamba Galasa.
Kwanini Mkiswali huwa wote mnaangali mahali pamoja? "Mungu si yupo kila mahali?"
1. Sura Al-Baqara 2:109
Many of the People of the Book wish, through envy, to lead you back to unbelief, now that you have embraced the faith and the truth has been made plain to them. Forgive them and bear with them until Allah makes known His will. He has power over all things.
Hapa quran inaongelea watu wa kitabu (yaani Wakristo), na kusema:
Wengi wa watu wa kitabu, kutokana na wivu wao, wanatamani kuwarudisheni kwenye kutoamini baada ya kuwa mmeamini, pamoja na kwamba ukweli umeshadhihirishwa wazi mbele yao. Kwa hiyo wasameheni na kuwavumilia hadi Allah atakapowafunulia mapenzi yake. Yeye ana nguvu juu ya kila kitu.
Quran pia inawaagiza Waislamu katika sura Al Imran 3:20 kwamba:
... if they give no heed, then your only duty is to warn them.
Yaani:
... kama wasipowasikiliza, basi ninyi kazi yenu pekee ni kuwaonya tu.
Kwa hiyo, kutokana na aya hizi mbili, yaani Al-Baqara 2:109 na Al Imran 3:20, tunaona mambo yafuatayo:
1.Ni wajibu wa Waislamu kuhubiri dini yao lakini si wajibu wao kuwalazimisha watu kuamini dini yao.2.Allah kwa wakati wake atawafunulia wale wasioamini ukweli wa mambo.3.Ni wajibu wa Waislamu kutoa maonyo tu kwa wale wanaowahubiria.
LAKINI, HEBU TAZAMA AYA ZIFUATAZO:
Al-Nisa 4:101
The unbelievers are your sworn enemies.
Yaani,
Wale wasioamini ni maadui zenu wakubwa.
Vilevile inasema katika sura Al-Tawba 9:3
Proclaim a woeful punishment to the unbelievers.
Yaani:
Tangazeni mapigo makuu (ya ole) kwa wasioamini.
Pia quran inasema katika sura Al-Anfal 8:39
Make war on them until persecution is no more and Allahs religion reigns supreme.
Yaani:
Fanyeni vita juu yao hadi kusiwepo na mateso tena na hadi pale dini ya Allah itakapokuwa imetawala.
Maswali:
1. Je, aliyempa Muhammad maneno ya 2:109, 3:20 na yale ya 4:101, 9:3, 8:39 ni huyo huyo au ni wawili tofauti?2. Iweje aseme kuwa usiwalazimishe watu kuamini bali waonyeni na kuwavumilia tu, kisha anageuka sehemu nyingine na kusema walazimisheni, tena kwa vita?3. Je, hii si ishara ya tabia ya usahaulifu ambayo si tabia ya Mungu bali ni ya mwanadamu?4. Kama ni huyo huyo, je, aya hizi zinafanana au zinapingana?5. Kama zinafanana, ni kwa vipi?6. Kama zinapingana, huu si ushahidi tayari kuwa quran haitoki kwa Mungu wa kweli kama ambavyo quran yenyewe imeweka kigezo cha kujua hilo? Maana Mungu wa kweli hawezi hata kidogo kusahau jambo alilolisema kabla halafu aje aseme kitu tofauti. Ni viumbe tu ndio wanaweza kusahau na kukosea.
Max ninauhakika kuwa ww unalipwa kupotosha ukweli maana unacheza na maneno aidha kwa kubadil maana na umesomeshwa kuujua uisilamu vizuri
kwa sababu ni kibarua chako ww endelea tu
Majibu mazuri unapewa khatan ilaa unajifanya chizi
Sir Mimi maneno yako mazuri saana!
Na mimi nakubaliana na wewe 100% !!
Lkn Tatizo ni moja!
Imani yangu mimi ina kanuni nyingi tu!
Na moja ya kanuni muhimu ni KUPINGA VIKALI MTU ANAPOMZULIA MUNGU MKUU UONGO!
Nadhani utashangaa nikisema hivi!
Ninaposema MUNGU MKUU! nina maana Mungu muumbaji wa mbingu na dunia na waliomo humo, na ni muumba wa kila kitu!
Angalia mfano HINDUS! au BUDDIST au SIKH!
Hawa wote pia wanaabudu mungu lkn hawasemi kuwa mungu wao ndio muumba! NA si MUNGU MKUU!
Kwa hiyo mimi silazimiki kusema chochote watakacho sema kuhusu hao miungu wao!
Lkn Unaposema uongo juu ya MUNGU MKUU na wale walio amrishwa na imani yao kusema haki juu ya huyo MUNGU MKUU!
Basi hawana budi kukuambia ukweli! Japo kuwa huo ukweli unauma!
Kitu kingine kibaya zaidi juu ya hao wanaosema uongo juu ya mungu, sio tu wanakaa nao huo uongo peke yako! La hasha!
Wana uhubiri kila kona ya ulimwengu!
Na kwa sababu tulikaa kimya miaka yote na tukawaacha mpaka wakawa wana tugongea milango na kutugawia vitabu vyenye picha za wazungu!
Leo hii tunaubeba huo msalaba wote!
Leo hizo nyumba za ibada zimekuwa ni gumzo la vyombo vya habari!
ULIBERALI UMEVAMIA NDANI YA NYUMBA HIZO ZINAZOITWA ZA IBADA!
Na tukiendelea kukaa kimya! Kesho itatungwa sheria na serikali zetu ya kuwalazimisha watoto wetu kujifunza uliberali!!
Tunayaona hayo leo huku Ulaya!
Ukimsema vibaya Mliberali unafungwa jela!
Sasa kama KANISA limeshindwa kusema ukweli ambao YESU AMEUFUNDISHA !
Basi sisi tunao muheshi MUNGU na MANABII WAKE Tutasema ukweli!
Na hii tabia ya kusema mimi na wenzangu tuna zi crash dini zingine!
Sidhani kama kuna ukweli ndani yake!
Mwenye kutumia matusi na kashfa sio mimi na muislamu yyt ila ni huyu anaejiita nabii wa Yesu ambae ana majina mengi saana! Na moja ya hayo ni SCHMIDT au MaxShimba na cha kusikitisha ni kuwa huyu anadai ni mkiristo! Na anacho kifanya humu SI KUHUBIRI INJILI ni kutukana na kutoa kashfa kuhusu imani ya kiislamu, NA MTU KAMA WEWE HATA SIKU MOJA HUJATOKEA NA KUMKEMEA KUWA HUO SIO UJUMBE ALIYO FUNDISHA YESU!
Wewe umeniona mimi tu!!?
Mbona mengi tu mi sisemi!!
We tizama pale ninaposema mimi, utakuta mtu kaisha anza kusema uongo kuhusu Aidha
MUNGU MKUU au YESU MWANA WA MARIA (ambae pia ni mmoja ktk manabii wa dini yangu!)
Ndugu Sir Mimi lzm tukubali kuwa kama wewe unajiita mdini basi huna budi kufuata msingi na maamrisho ya dini yako!
Na mimi ninacho fanya ni kufuata maamrisho tu ya dini yangu!
Na mimi sina ubaya na watu wenye imani tofauti na yangu hata kidogo! Na naomba MUNGU SAANA! kwamba itokee siku watu waache kusema uongo juu ya MUNGU ALIYE TUUMBA!
Halafu kila mtu aabudu anachotaka na tuisubiri hiyo siku ya malipo!
Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza lkn nia yangu ni Kusema yaliyo Haki tu juu ya MUNGU WANGU MKUU,
6. Sura Al-Nisa 4:135
Believers, conduct yourselves with justice.
Yaani,
Enyi mlioamini, enendeni kwa njia ya haki.
Hapa Allah anazungumzia juu ya haki.
LAKINI ALLAH HUYO HUYO ANASEMA:
Sura Al-Nisa 4:129
In no way you can treat your wives in a just manner even though you may wish to do that...
Yaani:
Haiwezekani kamwe kwa ninyi kuwatendea haki wake zenu hata kama mngependa kufanya hivyo ...
Maswali:
1. Aya hizi zinafanana au zinapingana?
2. Kama hazipingani ni kwa vipi?
Mh!! Kama ilivyo katika sheria, endapo kama kunasheria inaleta mkanganyiko wa kuitafsri basi uunda kwa sheria nyingine mbadala! Ngoja nikuambie kitu ww kijana!! Wakati mwnyz mungu anashusha Qur'aan, wakati mwingne alikuwa anashusha enadpo kuna jambo linaloleta utata, katika ayah hizo ulizo sema hapo juu katk. Suraat Mwnyez AL-nisa, hiyo Ayah ya 4:129, ni ya kwanza, na ilileta mkanganyiko hivyo ili kutatua suala hili ALLAH SUBUHAN WATALLAH akamteremshia mtume MUHAMAD ayah nyingine 4:135 ili kuueleza umma wake!! Kwan ni dhair wanadamu, wanaume hutaman kutenda mambo mema kwa wake zetu na pia wanawake hutaman kutenda mambo mema ila tatzo ni Mitihan kutoka kwa mwenyezi mungu kwan huwezi kuingia peponi hivhiv kiurahis kama unaingia chumban kwako, ni lazima upitiwe na mitihan ndo ufaulu kwa mwnyz mungu!!
NAFIKIR UTAKUW UMEELEWA