Only Science is a true messenger of God

Only Science is a true messenger of God

Status
Not open for further replies.
najuwa mkuu

Hili ndio lile kanisa tuliolo geuza kuwa msikiti hivi karibuni!
Hapa ni jumamosi ya jana tuliwaalika wagalatia kwa ajili ya daawa! Na alhamdulillah dada mmoja katoa shahada tayari!
Allahu akbar!

Cc Izz Ritz
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376852385692.jpg
    uploadfromtaptalk1376852385692.jpg
    70.1 KB · Views: 90
Hili ndio lile kanisa tuliolo geuza kuwa msikiti hivi karibuni!
Hapa ni jumamosi ya jana tuliwaalika wagalatia kwa ajili ya daawa! Na alhamdulillah dada mmoja katoa shahada tayari!
Allahu akbar!

Cc Izz Ritz

So what??????

Hivi nyie kwanini msiwasakame wapagani karibu bilion 3 duniani?

Kila kukicha ni nyie na Wakristo tu

Mna nini nasi?
 
Huyu bwana mleta mada kwanza utadhani alikuwa anakimbizwa. Kwanza sayansi na imani haviingiliani. Wanaovichanganya ndio wanaojichanganya wenyewe. Kwanza kutamka tu 'God' ni imani maana hatuna uthibitisho wa kisayansi kuwa Mungu yupo. Tunaamini kuwa Mungu yupo. Sayansi ni zao la kuwepo kwetu na si tarishi wa Mungu. Sayansi haiwezi kuwa tarishi.
 
So what??????

Hivi nyie kwanini msiwasakame wapagani karibu bilion 3 duniani?

Kila kukicha ni nyie na Wakristo tu

Mna nini nasi?

Kwa sababu wapagani wao wamekataa kabisa kuwa hakuna mungu!!
Na hawasemi uongo juu ya mungu!
Wakiristo wanatumia bilions of dollars kusambaza uongo! Ndio maana leo europe makanisa hayana watu! Na sababu kubwa ni kuwa watu wamechoka kudanganywa!
We huoni mapadri wangapi wa kizungu kila mara wanaacha raha zoote zilizomo makanisani na mishahara minono! Na wanaingia kwenye dini isiyo na mishahara wala marupurupu??

Mmebaki nyie tu waafrika na hio imani ya kubuni! Kama mnaogopa adhabu ya mungu basi wacheni kudanganya watu!

Iko siku mtakutana na huyo Mungu aliyekuumbeni ndio mtajua kuwa Yesu hakuwa mungu! Wala mzungu!
 
Quran 65;12 - there's supposedly 7 planets

this is false. our solar system has 8 planets plus 5 dwarf planets ? 8 + 5 = 13

3.32-580x326.png
 
Quran 55:33 humans wont go into space unless they acknowledge allah
this is false. dozens of non-muslims and non-theists went into space without leave or permission from a god
 
Huyu bwana mleta mada kwanza utadhani alikuwa anakimbizwa. Kwanza sayansi na imani haviingiliani. Wanaovichanganya ndio wanaojichanganya wenyewe. Kwanza kutamka tu 'God' ni imani maana hatuna uthibitisho wa kisayansi kuwa Mungu yupo. Tunaamini kuwa Mungu yupo. Sayansi ni zao la kuwepo kwetu na si tarishi wa Mungu. Sayansi haiwezi kuwa tarishi.

Inategemea wewe ni muumini wa dini gani!
Mimi imani yangu inakwenda sambamba na sayansi! Na bila ya sayansi nadhani imani yangu binafsi ingekuwa dhaifu sana!
Na cha kuongezea tu ni kuwa, kuna imani zingine za kubumba ambazo zinaishia kwenye vitabu na rohoni tu! Ukizipeleka imani kama hizo kwenye sayansi unatoka mtupu! Hapo ndipo utaona tofauti ya uislamu na imani zingine!!
 
Samples of Quranic Contradictions, Inconsistencies and Errors.


[TABLE="class: cms_table, width: 80%, align: center"]
[TR]
[TD]"And no question do they bring to you but We reveal to you the truth and the best explanation" (Quran 25:33).[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



1- Numerical Contradictions:
2- Creation of the Heaven and Earth
3- Sun-set and Sun-rise
4- A Resting Place For Sun!?
5- Why Allah Created Stars!
6- Is Sky/Heaven A ROOF or Canopy Over the Earth?
7- Does Sun Rotate Around the Earth?
8- Does Earth Spread Out Like Carpet (flat)
9- Is Man Created From Clotted Blood?
10- Is Religion Compulsive or is it not?



 
Quran 11;5 "we think with our heart"

What happened to the brain?

Bukhari, 8:345 confirms men use their chest to think, not the brain
 
Kwa sababu wapagani wao wamekataa kabisa kuwa hakuna mungu!!
Na hawasemi uongo juu ya mungu!
Wakiristo wanatumia bilions of dollars kusambaza uongo! Ndio maana leo europe makanisa hayana watu! Na sababu kubwa ni kuwa watu wamechoka kudanganywa!
We huoni mapadri wangapi wa kizungu kila mara wanaacha raha zoote zilizomo makanisani na mishahara minono! Na wanaingia kwenye dini isiyo na mishahara wala marupurupu??

Mmebaki nyie tu waafrika na hio imani ya kubuni! Kama mnaogopa adhabu ya mungu basi wacheni kudanganya watu!

Iko siku mtakutana na huyo Mungu aliyekuumbeni ndio mtajua kuwa Yesu hakuwa mungu! Wala mzungu!

Nini Tofauti ya anayesema hakuna mungu na anayeabudu mungu asiyekuwepo ? Wapagani wanasema Hakuna mungu,Waislam wanaabudu mungu asiyekuwepo Allah aka BEST DECEIVER, A Kwa mujibu wa maandiko ya Kikristo Baba wa Uwongo na Muuaji tangu mwanzo ni SHETANI/IBILISI. Kama Allah ni Best Deceiver tofauti yake na baba wa Uwongo Ibilisi ni nini ? Allah Mkuu wa waongo,Shetani baba wa Uwongo. same same. Anaitwa Shetani kwenye Biblia,huku akiitwa Allah kwenye Quran.
 
Hili ndio lile kanisa tuliolo geuza kuwa msikiti hivi karibuni!
Hapa ni jumamosi ya jana tuliwaalika wagalatia kwa ajili ya daawa! Na alhamdulillah dada mmoja katoa shahada tayari!
Allahu akbar!

Cc Izz Ritz

Siku za Mwisho Imani itapoa watu watafuata mafundisho ya mashetani... UNABII UNATIMIA NIKINGALI HAI.Bwana apewe sifa.
 
Kwa sababu wapagani wao wamekataa kabisa kuwa hakuna mungu!!

Kwahiyo hawa ni safi kwako!

Na hawasemi uongo juu ya mungu!

Kwahiyo unakubaliana nao kuwa hakuna Mungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hovyo sana wewe

Yaani hauwasakami wapagani kwakuwa hawasemi uongo wanaposema hakuna Mungu!!!!!!!!!

Daaaahhhhhh!!!!!!!!!!!
Wakiristo wanatumia bilions of dollars kusambaza uongo!

Nani amekupa mamlaka ya kuwakosoa?

Wewe ni nani?

Mbona hawa huwasemi?http://www.churchofsatan.com/Pages/HistoryMain.html

Au hao hawasemi uongo?

Au hao hawatumii hela?
Ndio maana leo europe makanisa hayana watu! Na sababu kubwa ni kuwa watu wamechoka kudanganywa!

Hebu tuashumu tu kijinga kuwa dunia nzima wawe waislam

Je hiyo ndo itaifanya dini hiyo kuwa kweli?

Mbona unashindwa kutumia akili angalau kidogo tu?
We huoni mapadri wangapi wa kizungu kila mara wanaacha raha zoote zilizomo makanisani na mishahara minono! Na wanaingia kwenye dini isiyo na mishahara wala marupurupu??

Kwahiyo hicho ndo kinaifanya dini hiyo kuwa ya kweli?

Kuna jamaa mmoja aliacha kazi kwenye kampuni moja ya usafirishaji mafuta na akaenda kuanzisha grrosary mtaani kwao

Huyu wakati anafanya kazi kwenye kampuni ya mafuta alikuwa analipwa sh mil 1.5

Kwenye grosary yake anaingiza faida ya sh 10,000 kwa siku

Huyu ana akili?

Mmebaki nyie tu waafrika na hio imani ya kubuni! Kama mnaogopa adhabu ya mungu basi wacheni kudanganya watu!

Iko siku mtakutana na huyo Mungu aliyekuumbeni ndio mtajua kuwa Yesu hakuwa mungu! Wala mzungu!

Huna lolote wewe mnachojua nyie ni vitisho vya moto tu hakuna logic wala nini

Nami nakuambia hiyo siku utakayokutana na BWANA WA MABWANA,MFALME WA WAFALME ndipo utajua nini maana ya Mwana wa Mungu

Usisahau kuwa huo ulimi wako utakiri ya kuwa YEYE YESU NI BWANA na hilo goti lako utalipiga mbele yake!!!!!!!!
 
Kwenye sayansi kuna kitu wanakiita CURRENT KNOWLEDGE,kwa maana kwamba kwa uelewa wa wakati huu,uel;ewa wa kisayansi waweza kubadilika kutokana na utafiti na matokeo mapya ya utafiti, sasa ninyi MAZU.ZU ya kiislam tuelezeni Quran inayokwenda na CURRENT KNOWLEDGE, Knowledge ikibadilishwa na utafiti upya na kuonesha tofauti na vile ilivyokuwa inajulikana awali QURAN INABIDI MU-EDIT au ? Ficheni upumb.avu wenu...
Hamna hata woga wa kuidhalilisha Quran yenu kwa kuifananisha na sayansi ambayo haina msimamo wa milele ?

Teh teh teh ! We mgalatia shule imepita kushoto!
Quraan haifanyiwi maregebisho na editing kama hio bible!
Kwa zaidi ya miaka 1430 Sisi tuna quraani MOJA TU!
Nyie mna biblia 52! Ambazo zimitafsiriwa kwa lugha karibu 300!!
Kila siku mnachakachua biblia!
Hivi majuzi yuko mchungwaji hapa England katumia biblia hiohio kuhalalisha uliberali.
Soma hapa!

Homosexuality and heterosexuality are sexual orientations, not sins or sinful conditions.

All homosexuals and all heterosexuals are sinners from birth because we all are born with a sin nature, Romans 3:23, 5:12.-

Some of us are redeemed by the blood of the Lamb (Jesus Christ), Romans 5:9, Revelation 12:11 and some folks are still lost and unsaved because they have not received-"the gift of God which is eternal life through Jesus Christ our Lord,"-Romans 6:23.

I must answer your question with another question.-

When did you make a decision to be heterosexual instead of homosexual?

If you never made a decision to be heterosexual instead of homosexual, if you never chose heterosexuality for youself, then why do you believe that we made a decision to be homosexual instead of heterosexual?

No Bible verse alleged to condemn homosexuality is addressing the issue of homosexuality when read in context.-It will be helpful to click on any button on the NavBar under What The Bible Says and read the information with an open Bible and a prayerful heart.

The Bible is only understandable when read in context, guided by the Holy Spirit, 2 Corinthians 2:14, 2 Timothy 2:15.

Click here to return to Gay Christian FAQ page.

SASA UNAONA LAANA MLIOYONAYO!!
MAKAFIRI WANAHALALISHA WANAMME KUTAFUNANA!
NYIE ENDELLENI KUCHAKACHUA TU MANENO YA BIBLIA MTAKUJA CHOMWA MOTO WA MILELE!
 
Quran 11;5 "we think with our heart"

What happened to the brain?

Bukhari, 8:345 confirms men use their chest to think, not the brain

Teh teh teh teh!
I think I told you this before! English is the worst nightmare for you!

If you want to lie! At least find the better language to use!

Chest and heart is two different thinks!!
Teh teh teh! Weye!

Shimba my foot!!
 
Quran 55:33 humans wont go into space unless they acknowledge allah
this is false. dozens of non-muslims and non-theists went into space without leave or permission from a god

Read what you wrote galatian!

WHO TOLD YOU NON MUSLIMS AND ATHEIST ARE NOT HUMANS??!!

This is a problem of using makalio tu think!!

And strange enough you gave yourselves a "like"

God help this uneducated galatian!

Teh teh teh teh!!
 
By Eiyer<br />
So what??????<br />
<br />
Hivi nyie kwanini msiwasakame wapagani karibu bilion 3 duniani?<br />
<br />
Kila kukicha ni nyie na Wakristo tu<br />
<br />
Mna nini nasi?
<br />
<br />
Kwa sababu wapagani wao wamekataa kabisa kuwa hakuna mungu!!<br />
Na hawasemi uongo juu ya mungu!<br />
Wakiristo wanatumia bilions of dollars kusambaza uongo! Ndio maana leo europe makanisa hayana watu! Na sababu kubwa ni kuwa watu wamechoka kudanganywa!<br />
We huoni mapadri wangapi wa kizungu kila mara wanaacha raha zoote zilizomo makanisani na mishahara minono! Na wanaingia kwenye dini isiyo na mishahara wala marupurupu??<br />
<br />
Mmebaki nyie tu waafrika na hio imani ya kubuni! Kama mnaogopa adhabu ya mungu basi wacheni kudanganya watu!<br />
<br />
Iko siku mtakutana na huyo Mungu aliyekuumbeni ndio mtajua kuwa Yesu hakuwa mungu! Wala mzungu!

Yani nyie wafuasi wa marehemu mudi mnamatatzo sana.
 
Kwa sababu wapagani wao wamekataa kabisa kuwa hakuna mungu!!
Na hawasemi uongo juu ya mungu!
Wakiristo wanatumia bilions of dollars kusambaza uongo! Ndio maana leo europe makanisa hayana watu! Na sababu kubwa ni kuwa watu wamechoka kudanganywa!
We huoni mapadri wangapi wa kizungu kila mara wanaacha raha zoote zilizomo makanisani na mishahara minono! Na wanaingia kwenye dini isiyo na mishahara wala marupurupu??

Mmebaki nyie tu waafrika na hio imani ya kubuni! Kama mnaogopa adhabu ya mungu basi wacheni kudanganya watu!

Iko siku mtakutana na huyo Mungu aliyekuumbeni ndio mtajua kuwa Yesu hakuwa mungu! Wala mzungu!

Wafuasi wa marehemu mudi mnamatatizo sana
 
Teh teh teh teh! Eiyer naona umeshapata jazba!
Unaleta hadithi ndeeeefu kama treni!

Umejuaje kuwa mimi nina jazba?

Angalia usije kuwa unatuambia yale unayofikiria wewe!

Wapagani hawatugongei milango wakatwambia tuungane nao!
Wapagani huwaoni kwenye tv wakiwaita watu kwenye ibada zao za mashetani au kujiita wao manabii.
Wapagani hawasemi MUNGU MKUU! Ana mtoto na Mungu alikufa!

Kwahiyo kwako wewe anaesema hakuna Mungu ni bora kuliko anaesema Mungu ana mtoto?

Ama kweli ukiwa hamnazo kazi kweli kweli!

Anaekuja kukugongea mlango huyo ndo dili nae sio hapa

Wapagani hawajifanyie kutoa pepo kwa jiiiiiiiiiiiiiina la yesu! (Huu ni uongo mtupu wa kuibia watu tu)

Wewe kinakukera nini

Na wewe si utoe kwa jina la Mohammad?

Wapagani hawapiti mitaani na kujifanya wanabariki watu! Wala hawa halalishi ULIBERALI NA KUONA WANAMME KWA WANAMME!!
Wapagani hawanywi damu ya mungu!
Japo kuwa wana ibada za uongo lkn hawamuingilii mtu kumshawishi ajiunge nao! WAO WAKO KIVYAO VYAO!

We kweli kilaza

Hujui kuwa wapagani wanatoa kafara binadamu?Au kwako hii ni sawa?

Hujui kuwa wanakula na kunywa damu za binadamu?Au kwako hii ni sawa?

Hujui kuwa wanautangaza ushetani wazi wazi na website wanazo?Au kwako hii ni sawa?

Wewe unapoteza muda kuwasakama wanaomuabudu Mungu katika roho na kweli unawaacha wanaomuabudu shetani hadharani halafu eti unasema ni sawa!

Hata haushangai ni kwanini unaliabudu lile jiwe kule makkah!

Hujishangai ni kwanini unajiita mfuasi wa mtu wa ajabu aliebaka katoto ka miaka 9!

Hujishangai ni kwanini kula uchao unasali kuelekea alipo mungu wako?

Ama kweli wewe mbwiga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mmezidi kudanganya watu!
Ukifungua redio! WAGALATIA WAONGO!
ukifungua tv WAGALATIA WAONGO!
ukipita kwenye viwanja vya mipira! WAGALATIA WAONGO!
Duhhhh!

Wewe sema tu ukweli kinachokukera kuhusu UKRISTO

Hizi sababu zako hazina mashiko hata kidogo

Sayansi inasema binadamu alitokana na nyani mbona hupigi makelele kuhusu hillo?

Quran inasema dunia ni flat mbona husemi kuhusu hilo?http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...WJjYF4&usg=AFQjCNE89nkljcvTvdoQC2FUcIJq7SeJXg

[h=1]The Earth: Flat or Round?[/h][h=2]What does the Qur'an Say?[/h]

  • Do they not look at the camels how they are made.
    And the sky how it is raised high.
    And the mountains how they are fixed firm.
    And the earth how it is spread out?
    (Wa ilal'ardi kayfa sutihat.)
    -- Sura 88:17-20
Interpretation given in Al-Jalalayn:

At the earth how it is spread out(*) (Arabic: sutihat): meaning it was stretched, so they can see in it a sign for the power of Allah ... and his saying sutihat makes it obvious that the earth is flat, and this is certified by Ulama' ash-shar'a (the shari'a theologians), not a globe as it is said by ahlul-hay'a (the laymen)." (Tafseer Al-Jalalayn. printed in Damascus 1964. Al-Mallah Printshop and Bookstore)​
(*) The word "sutihat" is from the root word "sataha".
Note: The commentators are well informed about the scientific conclusion that the earth is a globe, but the scientists are considered to be laymen in regard to understanding the meaning of the Qur'an. Because revelation has primacy over science, the Qur'an is the decisive basis for the commentators to insist that the earth is flat.
Furthermore, the Qur'an says:

  • And after that He spread the earth.
    (Wal'arda ba'da dhalika da-ha-ha.)
    -- Sura 79:30
Again, let us consult Tafsir Al-Jalalayn:

  • That is: "Basataha" as it was created before heaven without "Dahoo".
We see that Al-Jalalayn is emphasizing the issue of "flattening". The interpreters are saying: "That is, He flattened it since it was not made flat before heaven was created."
Reading the context of this aya, Sura 79:27-33, the message of the Qur'an seems to be: Originally the earth was not flat (but somehow crumbled up?). After first creating the heaven over it (see 79:28-29), Allah flattened the earth (to make it inhabitable: ("A provision for you and for your cattle" 79:33).
COMMENT:
Udhi'ya or Udhu'wa, are two names for the egg of the ostrich. The verb Da'ha (Ydahoo: present tense) is not derived from Udhi'ya or Udhu'wa, because names are derived from the "verb of origin" (fi'l al masdar), and the verb of origin is not derived from a name. The verb of origin is "dahawa" from which the verb "da'ha" and "yadhoo" are derived, and so is the name of the noun denoting the egg. The verb "da'aha" does not mean "kaw'wara" (made round) or made something in the shape of an egg, whether it is an ostrich egg or a chicken's egg. As a matter of fact, the verb "da'ha" means the complete opposite to the concept of the roundness. Here is what "Al-munjid fil'lugha wal'alam" has to say:


  • "da'ha da'hwan ... God `da'ha' earth that is `basataha'."
    And that is exactly what Al-Jalalayn has said.
  • "da'ha idhiwa'an: `inbisatan'." (that is: flattening)
  • "al-udh'y, al-idhi'y, al-udhu'wa, al-udhi'ya: The egg of the ostrich in the sand."
We must pay attention to what Al-Munjid is saying here: "The egg of the ostrich 'in the sand'" and the following is the reason for this expression:
When the female ostrich fears a danger threatening her egg, she immediately digs into the sand to hide the egg, then "tadhoo" (flattens) the earth above it, so that it would not be seen by the vultures of the air who are always in search of such a delicacy for their next meal. Therefore, the word "al-udhu'wa" is used as a name of the ostrich egg since it is something (with the sand) flattened (over it). That is where the name came from. The Arabic dictionary never states that the verb "da'ha" means "made round" or "made in the shape of the egg of an ostrich".
Other verses in the Qur'an stated that earth is flat using other words. All of these words are interpreted as "flat" and none of them has been interpreted as round.
We read in Sura 96:6 (Ash'shams): "Wal'ardu wa ma ta'haha".
The word "Tahaha" is interpreted in Tafsir Al-Jalalayn as "He made it flat". In Munjid Al-lugha Wal'alam, the word "Taha" is also interpreted as "to flatten or to stretch". Then, the noun "At'taha" is interpreted as "a flat part of the earth". Then, Al-Munjid gives a sentence as an example to confirm the meaning of "taha" as "to make a certain thing flat".
In Sura 15:19 (Al-Hajar), we read: "wal'arda madadnaha wa'alkayna feeha rawasi".
The word "madadnaha" is from the verb "madda", which is a very simple and easy word to understand. Not even a little Arabic child would use this word to describe the shape of a watermelon or a ball. It is the most simple way to describe something flat.
If Muhammad or the author of the Qur'an really had known that the earth is round, and had wanted to mention this fact in the book, he could have used a more simple word in Arabic to put an end to this puzzling issue. We have no doubt that Muhammad was aware of the existence of other words in the Arabic language that can describe the shape of something round. In fact, we read in sura 81:1 (At'Takweer - meaning: Rounding!):


  • "Itha'sh-shamsu kuwirat": "When the sun is folded up."
In this verse, Muhammad is predicting that "the sun shall be folded up" or "shall become rounded" (which would be a better translation). This means first of all that Muhammad believed that the sun is also flat and that it will become round when the hour comes. And this also means that he knows that there is a better word to describe a round shape. Therefore: Why he didn't use this term to to spare the Muslims this confusion?
Yes, Muhammad did indeed believe that the sun is flat as Al-Jalalayn comments on this verse by stating: "`kuwirat' that is `lufifat' i.e. folded up and its light taken.

MTATUUA NYIE WAONGO WAKUBWA!

Kma ni uongo ni nyie na hamjiulizi kuhusu mambo ya ajabu mnayoabudu

Kma ni kupigwa marufuku ni nyie na dini yenu ya ajabu sana ambayo binadamu mwenye akili ya kawaida tu hawezi kufuata dini kama hiyo!!!!!!!

You guys have no life??

BASI MLICHOBAKIZA NI UONGO!
NGONO ZA KILIBERALI! NA KUCHAKACHUA BIBLIA KILA SIKU!

Nimesha kuonesha uongo wenu hapo mbona unalalamikia kisichokuwepo?

Huelewi wala husikii!!

Na huyo jamaa yako aliyeacha kazi ya milion 1.5 akaenda kweny biashara ya laki 1! Mwambie akamuone aliyemloga!
Inavyoonekana ni kondoo mwenye akili ya kigalatia!

Teh teh teh teh

Wewe ndo unatakiwa uwaambie hao walioacha njia ya kweli na uzima wakaenda kwenye dini ya ajabu inayowaahidi waumini wake wanawake bikra peponi wenye macho makubwa kama kikombe!!

Yaani hata aibu hawaoni!!

Halafu Eiyer samahani! Nilidhani wewe ni dada! Kumbe ni kaka!

Thats my bad! I do apologized!

Apology accepted!!!!!!!!!

Na hio link umeweka hapo juu inasema!
CHURCH OF SATANS!!
I just wonder where do churches originated from!?!
Help me out miss MaxShimba !!

Nini maana ya kanisa kijana?

Halafu nikuulize,

Umejuaje MaxShimba ni mwanamke mpaka unamwita miss?

Maana wewe kwa kukurupuka tu hujambo

Angalia unaweza kuja kuomba tena msamaha hapa

Jifunze kufanya uhakiki kwanza wewe!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer !!Unajua mi nilidhani wewe ni dada kwa namna unavyoongea ndio maana nikakosea!
Na huyo max anaongea kidada mno! Ndo maana niakmwita miss!

Dada anaongeaje?

Au unatuatuambia yaliyomo ubongoni mwako?

Maana unapomwona mtu anadhani mwanaume mwenzake ni dada huyo atakuwa na walakini!

Halafu umeanza kumuiga huyo mwenzako! Badala ya kujenga hoja unatoa matusi na kashfa!.

Matusi gani?

Weka hapa kila mtu aone sio kubwabwaja tu!

We unachanganya madawa hapa! Pagans and Devil worshippers ni makundi mawil tofauti!!

Tatizo lako wewe una matatizo sana

Hapa kati yangu mimi na wewe ni nani anachanganya mambo?

Matatizo yako unayaona kwa mtu mwingine

Sasa inaonekana wewe unajua tofauti kati ya devil worshiper na upagani

Nini tofauti yake?

Halafu kwako wewe kipi bora kati ya hivyo viwili?

Maana inaonekana kuna kundi unataka kulitetea hapo

Kwa sababu kama wote hawafai usingesema nachanganya mambo kwakuwa wote hawafai

Au kwenye dini yenu mtu ni bora awe mpagani kuliko Mkristo au devil worshiper?
Na je! Unakataa kuwa nyie ndani ya hayo makanisa yenu HAMUHALALISHI HUO ULIBERALI!?
MBONA HILI UNALIKIMBIA!?

Kanisa ni nini?

Iogopeni adhabu ya moto wa jahannam! Ambayo kuni zake ni watu na mawe!

Hivi hamuwezi kumshawishi mtu kwa logic badala ya vitisho?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom