Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Nakumbuka vyema madame "" na miongoni ya hao clients nihuyu hapa... CCNP Engineer ...kuna Uzi aliufungua akawa anasema kuwa kwa siku moja alikuwa anaingiza Ml.1""" hahaa majuzi kati kaja nauzi anaomba ushauri Anataka akope million 5 " kisha aache kazi akafanye biashara "" hahaa...yaani mtu anayeingiza..ml.1 per day kumbe hata ml.5 bado inamtoa jasho la makalio
Leo tena dola 30 madogooo haya
 
Mbona mi nina blue screenshots hapa trade za leo sema tu jf app kwangu inazingua ku upload picha
 
Issue ilianza aliambiwa Cre ajiuzulu ili watafute mentor mwingine, jamaa akagoma.

Wale wawili walitaka UA kampuni ili kila mtu aondoke na chake, Cre akagoma

Dogo akaandika Barua ataachia ngazi kuanzia 15th
12th akabeba kilicho chake
Kumbe basi Ontario hana shida kachukua halali yake
 
Huyu jamaa si alileta bandiko kwamba Ontario na mwenzake wamejitoa ukurugenzi wa TMT? Nnachojiuliza, kama walikua ni signatories wa benki, hawakupeleka hizo taarifa ili kuwaondolea uwezo wa kufanya miamala benki?

Hapa kuna uwezekano ikawa ni muendelezo wa utapeli au kuna uzembe wa hali ya juu kwenye uendeshaji wa mambo yao.
 
Mbuzi wewe hakuna alieliwa ela pole ela zangu zipo salama na leo ni mwendo bluu pair za last wiki kama gbpusd uscad aaaaaaaaa pole sana ndugu
Na ujanja wako wote nasikia umetapeliwa ndugu yangu hahahahah... hivi ka-the bold nako si kamehusika??
Alafu haka kathe bold natamani nikajue aisee. Yani hata ningekajua tu jina lake halisi nikavizie mtaani nikapige mawe. Ka-zebold sikapendi sana aisee...
Haukajui haka kajamaa??
 
Na ujanja wako wote nasikia umetapeliwa ndugu yangu hahahahah... hivi ka-the bold nako si kamehusika??
Alafu haka kathe bold natamani nikajue aisee. Yani hata ningekajua tu jina lake halisi nikavizie mtaani nikapige mawe. Ka-zebold sikapendi sana aisee...
Haukajui haka kajamaa??
Mkuu naomba namba ya niffah
 
Na ujanja wako wote nasikia umetapeliwa ndugu yangu hahahahah... hivi ka-the bold nako si kamehusika??
Alafu haka kathe bold natamani nikajue aisee. Yani hata ningekajua tu jina lake halisi nikavizie mtaani nikapige mawe. Ka-zebold sikapendi sana aisee...
Haukajui haka kajamaa??
Hahaha,dah mkuu mbona unahasira hivyo??amekufanyaje??
 
ahhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wewe alaf ka ze bold na ka ontario kamekula vijisent vya watz shenz kabisa et kuibiwa khaaaa mnachomfanya cre na rea Mungu anawaona.
Yani nina hasira sana aisee na haka kathe bold... kalikuwa kanatusimulia vistori vyake humu vya uongo na kweli kumbe daaaahhh...
Nasikia bhana kamejichotea milioni 50 na ka ontario nako kamechota 50 na awilo 50 alafu vimejifanya kutengeneza mgogoro wa uongo na kweli kutuzuga.

Yani haka kathe bold siamini kama kweli kamefanya hivi?? Hivi kamepatwa na nini haka kathe bold??
 
Yani nina hasira sana aisee na haka kathe bold... kalikuwa kanatusimulia vistori vyake humu vya uongo na kweli kumbe daaaahhh...
Nasikia bhana kamejichotea milioni 50 na ka ontario nako kamechota 50 na awilo 50 alafu vimejifanya kutengeneza mgogoro wa uongo na kweli kutuzuga.

Yani haka kathe bold siamini kama kweli kamefanya hivi?? Hivi kamepatwa na nini haka kathe bold??
Uliipigia debe nini mkuu, mbona wana hasira na wewe?
 
kiukweli TMT ni genge la matapeli na vibaka....Hii kampuni ilianzishwa kwa kusudi maalum la kutapeli Watu .
 
Back
Top Bottom