Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

kwan hakuna maisha baada ya tmt nyie ndio mkifukuzwa kazi mnkufa
Nimeuliza coz fao la kujitoa kwenye mifuko ya jamii ni ngumu kwa ssa angeweza ata kufungua ka biashara kidogo.
 
The bold na ontorio wataendelea kulaaniwa na utapeli waliufanya wa kinyama kwa vijana wa kitanzania kwa nia ovu ya kuchoma acc. Indirect ili wanufaike wao na wengine wapate hasara hichi kitu kitawatafutana miaka yote
Nabariki laana hizi kwao..
Bora mtu usiijue forex kuliko kujua kwanjia za kitapeli kama hizi
mkuu Bold anauhusikaje tena, nifumbue majicho.
 
Back
Top Bottom