itabidi ajieleze humu, vinginevyo na yeye atakuwa mtu wa hovyohovyo sana.The bold nae yuko hapo TMT na demu wake niffah .....Ndio wanashirikiana na tapeli mwenzake Ontario kuandika mabandiko ya kuwashawishi watu kujiunga na TMT ili wawatapeli pesa zao kwa kuwachomea accounts
Safi boss let's push this things...nilipiga desa mwenyewe mkuu sijaacha
hahaa wahuni wamezoea kula kwa kugombania,hata uwape hela ya kutosha wagawane lazima wazinguane tu.Haha haa ...
There is no honour among thieves!
asante kwa comment.hata akiwa wa hovyo anakusaidia nin
Seriously mkuu,nilishangaa training for 5 days alafu uanze kutrade live..forex sidhani kama ni rahisi hivyoTMT wameifanya Forex ionekane utapeli kutokana na tamaa zao
Siku 5 haziwezi kukufanya kuwa trader
Hellow traders! Forex sio ya Ontario ,, so tunaoamini katika Forex tuendelee kuamini na asiyeamini ktk forex aendelee kutoamini.
Kwa wale wanaoumizwa na makato ya benk pale unapoweka hela na kutoa kutoka kwa broker , nawashauri wamtumie huyu broker Templer FX Trader , yeye anakubali transactions kwa njia ya M-PESA means unadeposit na kuwithdraw kwa M-pesa bila kupitia Bank, hafu no makato ... Ukiwa na $50 kwa broker unahitaji kuzitoa utapokea kwa kila dola 1 thamani ya Tsh 2,230/= so piga hesabu $50 zidisha kwa 2230 utapokea Tsh 111,500/= .. Tofauti na ukipitia bank , ,, mfano bank ya FNB Ukihitaji uweke kwa broker isome $100 inabidi udeposit maxmum $125 , hapo kwa mt4 yako itaonekana $100,,, hyo inayobaki ni makato pamoja na exchange rate yao kwa siku hyo,,
Bank ya equity wanakata km Tsh 18,000/= ($8.1) kwa transaction yoyote utakayoifanya kwenda na kutoka kwa broker,,
Haya makato unaweza kuyakwepa kwa kumtumia huyu broker Templer FX Trader ambapo transactions zote utazifanya kwa njia ya M-pesa bila makato yoyote na kwa muda mfupi.
Pia minimum deposit ni $1 pia minimum withdraw ni $1 kwa M-pesa.
Hasumbui kuverify documents zako inachukua around 24hours utakuwa verified . unachohitaji kuwa nacho ni kitambulisho kimojawapo kati ya hivi (cha kura,uraia,passport, au lessen)
Unaweza kumcheck kupitia website yake hii Templer FX Trader then unaingia open account , .. Huyu ni broker mzur kwa wale wanasumbuka na mitaji , pia hata km huna akaunt bank you can trade forex bila matatizo........ nipM kwa msaada na ushauri zaidi
watu wengi utumia sana vivuli kufanyia utapeli kwenye forex.forex si kama desi watu wanavo zani na hakuna sehemu unaweza kumuamini broker kukupa tips.pole zao walio tumiwa kama fursa[emoji23][emoji23].Jamaa kala vichwaView attachment 776894
We hujui kama hilo ndilo jina lake halisi?Bado unamuita sir Jeff [emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema vyema sana mkuu!Kumhusisha niffah katika hili plus na kumuita malaya sidhani kama ni ustaarabu mkuu... Be civilized... Mimi mwenyewe nimejitoa TMT mapema december 2017 na sikuwa nakubaliana nao katika mambo yao na niliondolewa kabisa mpaka kwenye group lakini siwezi kukaa hapa na kumtukana mtu kama niffah, and the reason behind ni kwamba, niffah hakuwa na influence yoyote ambayo imepelekea labda watu kupoteza hela zao. She was just an employer pale kama walivokuwa employers wengine. Tuwewastaarabu basi
Nae alikua anamtumia jpMarket auUmesema vyema sana mkuu!
Mbali na niffah kutohusika na chochote juu ya ubabaishaji na upigaji wa TMT pia she is humble,charming, kind, supportive and humane.. Huyu Dada sidhani kama kuna aliepita pale TMT anaweza kuwa na experience mbaya juu yake. She always strive to offer quality and classic service.
Ukiachana na yule msouth Rea, huyu Dada pia namkubali sana kwa uungwana..bold kapata mke makini sana. Tukumbuke tabia njema ni silaha.
Matter of fact, alikuwa na yeye anatrade kwenye computer yake ya ofisini casually then baada ya kula za uso hakaacha..so technically she is victim of the system too.
I always don't sugarcoat...I call a spade a spade..them same as I regards Jeff and Cre to be predators and heartless.
We love you niffah!
Dear clients of Tanzania,Umesema vyema sana mkuu!
Mbali na niffah kutohusika na chochote juu ya ubabaishaji na upigaji wa TMT pia she is humble,charming, kind, supportive and humane.. Huyu Dada sidhani kama kuna aliepita pale TMT anaweza kuwa na experience mbaya juu yake. She always strive to offer quality and classic service.
Ukiachana na yule msouth Rea, huyu Dada pia namkubali sana kwa uungwana..bold kapata mke makini sana. Tukumbuke tabia njema ni silaha.
Matter of fact, alikuwa na yeye anatrade kwenye computer yake ya ofisini casually then baada ya kula za uso hakaacha..so technically she is victim of the system too.
I always don't sugarcoat...I call a spade a spade..them same as I regards Jeff and Cre to be predators and heartless.
We love you niffah!
Of course!! as it was mandatory for every client to comply with that regulation.Nae alikua anamtumia jpMarket au
Jp markets kawaachia huo mzigo clients wao hahahahahaa.....!Wana Forex wenye pesa JP Market ni wakati wa kumshtaki Ontario sasa