Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Huyu fala nilimsanua mapema nikampa lonja juu ya utapeli wa dogo way back sana huyu fala akaniona mnafiki sitaki maendeleo yake akuishia hapo akaona amepata job full time akaacha na kibarua chake cha uinjinia majalala akakopa milion tano akazama TMT akausake utajiri..Jeff alivyo komando kipensi akamtengenezea na desk la kuwa anatredia pale jangid full time ili azae nae vizuri. Baada ya hapo the rest is history ya maumivu na umaskini. Nilimwambia dogo unakopa million tano unakimbia kazi unaenda kutrade...nilijua itafika kipindi dogo atatambua kwanini IDD Amini aliitwa Dada ilhali ni wakiume.. Ahahaha! Jeff piga umbwa hii. Hii hapa sredi ya ushauri wa mkopo Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

Sasa ana hasira yaani kama Nesi wa wodi ya wazazi... Ahahaha! Dogo tulia haya maisha tu..you lose some you win some.

Mshike mshike ndege tunduni sisi wajanja tulikimbia.
We jamaa nikisoma comments zako naburudika tuu

Una uandishi flani amazing[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
TMT sio ya Ontario alikuwa tu mwenyeji wa Rea naamini Ontario akija kuna watu watakimbia humu, ukijaribu kukipa kichwa chako zoezi dogo ukaenda kwenye IG page ya Rea utaona kabisa yeye ni Jp Markets partner kwa hiyo hata yeye alipokuja tz alikuja kumtangaza broker.
Na ninaamini huyu msouth alikuwa akipiga pesa kwa siri ontario alipokuja kugundua na yeye akachota alichoona kinamtosha, hata huu ujumbe aliosema kila mteja atatumiwa na Jp Markets inaonekana ni watu wanaojuana wapo kimkakati. Kama anataka wateja wao wamuamini aonyeshe bank statement ya withdrawals zote zilizofanywa kama atawaonyesha.
Utabiri wangu kutokana na the bold alivyokuja Jf naona kuna madudu mengi yaliyofanywa na huyu msouth na yeye anayajua kiundani, ujio wa Ontario kujibu tuhuma hizi tutayajua mengi.
Niwasihi tu enedeleeni kutuma complaints zenu kwa regulator wa south FSCA link hii hapa chini haki yenu mtaipata
Complaints-Compliments-Feedback
au kupitia mawasiliano haya
View attachment 778945
Rea ua Cre?
 
Anatamani hata zile hela za kulipia ada...angepewa muda huu akapate lunch maana kavurugwa empty stomach, empty wallet, empty head..karibu mjini dogo toka kwenu huko kishumundu. Na vyeti havimsaiidii yule aliekuwa anajipendekeza kwake kakwapua manoti yuko kwa madiba anakula good time.

Man Ontario anakesha clubbing tu SA ninamchoraga tu via WhatsApp.. Ninajisemea kimoyomoyo mkopo wa engineer majalala unachakazwa.
Haaa haaaaa....we jamaa full burudani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tafuteni majukwa yenu ya chumbani mkalilie huko uone kama kuna mtu ataandika. Hakuna jukwaa walilochaguliwa watu fulani kuandika.


Mwanaume hana muda wa kujichokonoa.
Mwanaume ni mtu wa facts. Tuache kuchokonoana, maana mwisho wa siku mwanaume na mwanamke wanapochokonoana madhara yanajulikana yatabaki kwa nani kati yao...

Tufanye hivi, tuweke hapa screenshot za Balance ya Bank Accounts zetu hapa...
Mimi naweka Trading account yangu moja tu ya Tickmill (nitaconvert hizo USD to TZS).
Wewe weka Account zako zote, jumlisha na za Humble African (LINAFIKI), Mama Sabrina na Palantir
Then tuone mimi na nyie wote kwa pamoja nani Analia njaa...

Are you ready for the challenge Madam Shankupe???
 
Mwanaume hana muda wa kujichokonoa.
Mwanaume ni mtu wa facts. Tuache kuchokonoana, maana mwisho wa siku mwanaume na mwanamke wanapochokonoana madhara yanajulikana yatabaki kwa nani kati yao...

Tufanye hivi, tuweke hapa screenshot za Balance ya Bank Accounts zetu hapa...
Mimi naweka Trading account yangu moja tu ya Tickmill (nitaconvert hizo USD to TZS).
Wewe weka Account zako zote, jumlisha na za @Humble African (LINAFIKI), @Mama Sabrina na @Palantir
Then tuone mimi na nyie wote kwa pamoja nani Analia njaa...

Are you ready for the challenge Madam Shankupe???
Sina huo muda kaka shankupe. Halafu haya matatizo yenu mmeyaleta humu. Mngemaliza kwenye group zenu za forex mashankupe tusingejua. Kwa kuwa mmeyaleta humu tutaandika hamtaki kafeni mbele.
 
Mi pia mmoja wao ambao nimeijua forex trading kupitia ontario kuna group la telegram lina traders zaid 1200 uliza ambao walikuwa wanatrade na ontario mpaka muda huu walikuwa wangapi? Kusema kuwa mil 50 alizosepa nazo huyo ontario ni za wanaforex wote wa tz huu ni uzushi
Watu wanaizungumzia tmt members sio forex traders
 
That's why I love you best..

hutaki nionewe kizembe kama vile Mimi nisivyopenda kuona mabaunsa wa nyuma ya keyboard wakikuonea. We got each others back swry lady.

Kijana nadhani amepata onyo aniache kijana wa watu humble and lovely.

I don't need no more trouble. Kutapeliwa inatosha kabisa.

Xoxo Mama Sabrina
Nakupenda sana humble,yaan tena wasirudie yalokukuta yanatosha kabisa na haurudi nyuma kamwee
Umenichekesha eti mabaunsa wa nyuma ya keyboard wanaonea mama sabrina hajai hata mkononi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko poa sana watuachee na ukija Mwanza naenda kukulisha sangara yule mkubwa sana na sato juuu
 
Uzi umevamiwa na wanawake mashankupe wanaojua nothing about Forex.
Wamekalia kuleta soga za kujichokonoa, na baadhi ya wanaume wanashangilia.
This is crazy. Very crazy.
sasa na wew hasira za nini sasa kama umeshapigwa amini umeliwa jamaa anatumia madusco yenu chaka huko ,ni mara mia pesa zako ungeziweka hd leo ukacheze single bet Mamelody sundowns Vs Barca ungepata faida ya almost 25% ya pesa yako kw short time ,kweli wajinga mutaendelea kuwepo, POLE
 
Mi pia mmoja wao ambao nimeijua forex trading kupitia ontario kuna group la telegram lina traders zaid 1200 uliza ambao walikuwa wanatrade na ontario mpaka muda huu walikuwa wangapi? Kusema kuwa mil 50 alizosepa nazo huyo ontario ni za wanaforex wote wa tz huu ni uzushi
Ni za tmt tu
 
Back
Top Bottom