Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

hv ndivyo munavyodanganywa kuwa hamujaibiwa!?! ingekuwa kachukua share yake wamtafute wa nini si zake?! na asiporudisha wamfungulie mashtaka ili iweje ikiwa kachukua chake?! ifike wakati mujielewe musipelekwe kama misukule ama vipofu ,mumepigwa na hilo liko wazi huko kwngine n kujiliwaza
Yaaan unaweza sema hizi folks zikiingia tmt zinapuliziwa dawa fulani inaitwa " shuntama"

Wamepigwa lkn wabishi eee Mungu!
 
Ohooo!! Lawd have mercy..I love you more best..!

Yaani na Mimi nakupendaga tu for no reasons. Hivi kwanini tusipendane tu wote Duniani... Kupendanana raha sana.

I love you Shunie.


Shankupe + LINAFIKI = Unpredictable Cirmustance
Nimewapa challenge wewe, Mama Sabrina, mzigua 90 na Palantir tuweke hapa screeenshots za Bank Accounts zetu.
Mimi niweke Trading Account yangu moja tu ya Tickmill.
Nyie na mashankupe wenu wote muweke vi accounts vyenu vyote vya NMB tuone nani anapaswa kulia njaa!!!
Chakushangaza wote mmekula chocho...
Acheni kuchokonoa chokonoa profiles za watu mtakuja kushika mavi.
 
Nilistop kwa muda kutrade baada ya huyu tapeli cre kunipa hasara na migogoro ilipoanza hapo TMT lbado nina salio JP Market mkuu....sasa leo hawa jp market wanatukana hakyanani Ontario tutamchoma moto
Forex is not for everyone, nasikiaga raha sana na malumbano ya forex[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Tufanye hivi, tuweke hapa screenshot za Balance ya Bank Accounts zetu hapa...
Mimi naweka Trading account yangu moja tu ya Tickmill (nitaconvert hizo USD to TZS).
Wewe weka Account zako zote, jumlisha na za Humble African (LINAFIKI), Mama Sabrina na Palantir
Then tuone mimi na nyie wote kwa pamoja nani Analia njaa...
Engineer unataka Balance za Bank au za Forex!?..
Halafu hata tukiweka utaamini vipi ni zetu/zako as long hatujuani hakuna prove ya kitakachoweza kukuaminisha/kutuaminisha badala yake utakuja na jibu lingine tena!.
Sisi tumetumia scenario zako, ambazo kwa akili ya kawaida tu wewe ni Mpumbavu huwezi ukajisifu unapiga 1mil kwa siku halafu unaleta tena thread ya kutaka ushauri wa kuiibia bank 5 mil hela ambayo mwenzio haiwezi nisaidia pata hata product 1 nayouza!..
For your info nauza products above 7 mil per each sasa ile 5 mil ety ukaiibie bank ujishushie heshima nikaku undervalue as F..
Siwezi shabikia kuweka bank account without proof whether ni yako au ya mjomba wako huko ulipo!..
 
Kumbe bado kuna wa tz mazwazwa ? Kweli nimeamini yajayo yanafurahisha[emoji1324]
 
Haaahaaa....Leo yamekuwa haya " Ontario tutamchoma moto" eeewwww!
Watu walimtukuza Ontario kama malaika, yan walituona vilaza grade ya taifa iv kabisa inaitajika kunishawish ilinipate utajir !!!

[HASHTAG]#make[/HASHTAG] money with no reason
[HASHTAG]#the[/HASHTAG] money team
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nasema tupo pamoja
 
Na hili ndio kosa waliofanya .

Forex ni real but ubaya wake ni huu hapa.

[emoji117] kutegemea kupewa signals hapa lazima uwaone watu wachawi.

[emoji117] kuchaguliwa broker

[emoji117] kupitisha hela kwa middle men(TMT)

[emoji117] kutokuwa.na proper trading skills yaani kudandia soko kwa mbele lazima ulie.na ndio utaijua kuwa forex ni shule .

[emoji117] kutokuwa na subira ila kupata right entry na kutokuwa na forcus ya destination yako Mara baada ya kuingia sokoni .

[emoji117] kutopata mtu sahihi wa kukuongoza(mentor)

[emoji117] kutopenda kujisomea

Forex huwezi imasta kwa siku mbili wala mwezi mmoja it takes time hadi 4 years kikubwa patience and perseverance mwanzo mwisho

Others wise ndio ule msemo "Forex is not for everyone " utakuhusu uta give up njia

Kama Leo hii mkianza 100 kufundishwa forex baada ya miaka 3 watabaki wawill au mmoja tu.

Forex ni msitu mnene hauna easymoney
Kwa mantiki hiyo 5 days hata sio intro. Bali kuandikishana majina na kufahamiana hahahahaha daaahh kuna watu wanamahesabu ya kuzimu walhi
 
Stress tupu hawa .....we told them hawakusikia!

Juzi nimekutana na na kademu fulani kanaongea kenyewe njiani nikajua tu kuwa " fx is not for everyone [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uchizi ushaanza. Mtu kaenda kutrade forex kapata dollar kadhaa kajiona na yeye bilionea tayari na kazi anaacha apate mida mzuri zaidi wa kutrade sasa mwishowe mambo yanakua kama hivi
 
Watu walimtukuza Ontario kama malaika, yan walituona vilaza grade ya taifa iv kabisa inaitajika kunishawish ilinipate utajir !!!

[HASHTAG]#make[/HASHTAG] money with no reason
[HASHTAG]#the[/HASHTAG] money team
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nasema tupo pamoja
Wewe hukutaka easy money Hahahaha nakusalimu
 
Back
Top Bottom