Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Mililion 50 ni kiasi cha jumla za clients wote wa TMT? Kama ni hivyo basi watu wameunguza akaunt sana maana nakumbuka deposit walikuwa wanasajesti walau $100, sasa na ile idadi ya wanafunzi duu.

acc zilikua zinaungua mpaka sometime tuna deposut hata $20 life iendelee maana ilikua ni majanga kuunguza kwakwenda mbele mnakua pip 20 mnaliwa pip 100 unategemea nini hapo
 
Wewe na wenzako ni wajinga wa kiwango cha Standard Gauge hivi mnajiitaje well trained forex trader huku mkifanya maamuzi ya kudeposit pesa zenu kwenye account ya company tmt na sio liquidity supplier!!!!!!



Hivi nikiwaita nyie ni misukule mtapinga jamani, tena tumekuwa tukipiga kelele tangu na tangu tukawa tunapingwa na watu wenye misimamo mikali kutoka tmt. Leo mnaanza kulialia.

Nilichokiona nyie watu wa TMT % kubwa ni weupe kichwani kuhusu forex. Nimekutana na wanafunzi wengi kutoka TMT nikawa na mijadala nao kuhusu broker wao Jp Markets yaani ni weupe kichwani kama unga wa ngano. Nilikuwa na mjadala nao siku moja namna gani huyo wack broker anavyonyonya dollar zao nilibishiwa na kila mwana TMT bila sababu zozote za maana.


Nawaombeni wana tmt someni sana forex
 
Raman ilikua iv

Apo mwanzo Ontario alitekwa na mtu aliefahamiana nae uko SA akijulikana kama createn kwa fursa ya forex, kwel Ontario alielewa somo na akaanza movements
Kwakua hii movements uwe katka usalama zaid inabd usimame kama mentor (kwa sababu kutrade kuna loss/profit ila mentor utakua na uhakika mzur tu wa mkwanja) bas Ontario akayajenga vzur na createn ampge tafu hii movements aieneze bongo
Kwa kias kikubwa createn ndio alisimamie TmT kufkia pale na conditions moja wamtumie yeye as a brokers kama JP market

Ili uwateke vzur wabongo Ontario alijua inabd angalau wasauz (cree na rea) lakn pia wakachukuliwa sehem ya kampun kwa kupewa share

Kikos mtu nne
Ontario as a masterplan
Createn as a mastermind
Rea as a psychologist ( soften mind)
Crea events planner(kuchezesha akil za wabongo)

Sku za mwanzo profit flows ilikua nzur sana, apo inamaana mkwanja unatoka kwa createn uku Ontario akizd kuwashawsh watu na rea akzd kuwa soften mind (kaz ya Crea bado apo)

The time to get back, wakaanza kuwayumbsh faida ya sku 6 inapotea ndan ya sku moja (ijumaa) na cha nyongeza juu
Kwasabab waliandaliwa psychological ilikua ngum kusanuka mapema,
Rea alimalza kaz yake akarud SA, Crea anaanza kaz yake ya events planner anatengeneza drama ili kuwaaminsha watu( yan ugomv wa kampun na vtu kama hvyo)
Ontario anavuta mkwanja wake anaenda SA
Bado crea anawatengenezea drama (events planner)

Kwaio mtu tatu tayar wapo SA, bado Crea tu

Na Crea tym yoyote kutoka sasa ataingia SA ambapo mtu nne watakutana tena pale Jo'burg vit virefu na mtoto Ontario mpenda kula kula uku clients wakitumiwa screenshots za drama

Hakuna kesi ya utapeli, na utapel unasomewa kabisa.
 

Dogo yupo bongo anatumia hela za misukule
 
We mkorea umenifungua nilipokuwa sijastuka!
 
Hakika...ila why all these drama? Kuna watu bado wanaendelea kuamini kuwa watapiga pesa tmt! Khaaa
Kikos cha mtu nne kinavutia timing tu wawaachie manyoya, apo ndio kwsha habar
Yan apartment pale jangid plaza hakuna zwazwa wa kuchangia tena kodi

My guess wanaweza wakaja na online training, kama mazwazwa wakiwa bado vchwa maj
 
Hata mimi nimemuelewa sana hapo kwenye alieleta broker. Amekosea kujitoa bila kuweka hili wazi kwa wana TMT ndo aondoke na chake
 
Kikos cha mtu nne kinavutia timing tu wawaachie manyoya, apo ndio kwsha habar
Yan apartment pale jangid plaza hakuna zwazwa wa kuchangia tena kodi

My guess wanaweza wakaja na online training, kama mazwazwa wakiwa bado vchwa maj
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Kikos cha mtu nne kinavutia timing tu wawaachie manyoya, apo ndio kwsha habar
Yan apartment pale jangid plaza hakuna zwazwa wa kuchangia tena kodi

My guess wanaweza wakaja na online training, kama mazwazwa wakiwa bado vchwa maj
Createn ndio Cre, kwa hiyo ni watatu na si wanne .
Kwa kutumia my other sense Crea namuona ana utapeli kwa 99%na baada ya kukamilisha lengo lake la scam yeye amekuwa wa kwanza kutengeneza mgogoro,ili watu wajiongeze kwa kuachana na Tmt na yeye yuko na mipango aende akaanzishe kitu kama hiki sehemu nyingine kwa kumtumia same broker,na sasa anajiandaa kwenda kuendeleza uhuni kama aliofanya hapa Tz huko Kenya kwa kushirikiana na mtangazaji wa radio kipindi cha mseto.

Forex ni halali na ina hela ukiilewa Ila sio rahisi hata kidogo yaani kwa kutegemea mteremko wa kuambiwa buy or sell pair fulani na mtu ambaye hujui ana malengo gani,na wala si ndugu yako kwamba anaupendo sana na wewe. Ni taaluma inayohitaji angalau kuanzia mwaka mmoja wa kujielemisha na practice na kujifunza kwake ni endelevu.

kifupi broker na wanaoshirikiana nao si wa kuwaamini ktk ushauri wao kwamba ununue au uuze kwa sababu broker ambaye ni market maker kama alivyo jpmarkets anatrade against clients so ukiwa tegemezi wa calls za za broker na mbia wake unanafasi ya kupata 20% na kupoteza 80%.

forex ni msitu ,inahitaji mtu ambae ana extra sensory power za kupambana na" big boys" vinginevyo inaweza kukufanya ukawa maskini maradufu.
 
hasa na wewe createn ndio huyo crea unaokoteza stori na wewe.
 
Nina $ 500 ya kuchezea,bado niko ktk kujifunza ,mpk sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…