Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Ahahaha!! Usinchekeshe na hili baadae akatafuta ushauri amroge mtu kisa katokomea na kilo kadhaa.. Eti engineer? Injinia achukue mkopo wa milion 5 akimbie kazi?Juzi juzi alikuwa anatafuta mkopo wa milioni 5 sijui alifanikiwa??
Ni huyu hapa Ndezi mmoja hivi Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kaziNi nani huyu jamaa?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nikimbie[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni huyu hapa Ndezi mmoja hivi Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
Kasome thread zake ucheke upasuke kama ana undugu na Deo kisandu vile.
Taratibu za kugawana hisa za kampuni ndio zinakuwa za kienyeji hivyo?Mm nipo kwenye group ukweli ni kwamba client hatukuibiwa ila kuna mgogoro kati yao. Kwa hiyo katika account za TMT Sirjeff kachukua hela yake kasepa kwa sababu katika kampuni alikuwa na share. So kuchukua share zake si kosa na kutokana na ugomvi inawezekana share zake zilizuiwa
Kama MuSouth alitaka kusepa na hela njia ilikuwa ni kuchukua kilicho chako kabla hakijakwapuliwaTaratibu za kugawana hisa za kampuni ndio zinakuwa za kienyeji hivyo?
Kampuni kama ina madeni je?
Wakuu hawanaga dogo humu walizaa nae fasta kibichikoma.Ngoja nikimbie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ANAYEJIPIGA MWENYEWE, HALII..Msiache kupita ""huku "Palantir. Humble African
Haha haa ...biashara za wahuni huwa aziishi vizuri lazima wazurumiane. there is no honour among thieves.
Ile ofisi pale jangid bado ipoNiko kwenye group la TMT hiyo imewekwa na Createn ambaye amebaki kama Director,
Inavyo onesha jamaa kabeba mgao wake
Walimsema sana kaona awanyooshe vizuriDogo kaamua liwalo na liwe,jina lishachafuka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulisema nawe utaendaa kujifunza kutradeAise huyu bwana mdogo mbona kawa tapeli sana...
Awe mwangalifu wasije wakamzimisha maana wa south si wa kuwachezea kabisa...
Ontario apewe tuzoMsiache kupita ""huku "Palantir. Humble African
Naunga mkono Hoja ""Ontario apewe tuzo
Mna msemo wenu ule Forex is not for everyoneacha tu aisee hizi tamaa hizi ingawa nina wasi wasi sana na huyu Msouth Creton toka siku nyingi sana
huwa anajikadiria nguvu ya vibao/kibao anachojipiga ""ANAYEJIPIGA MWENYEWE, HALII..
Forex is not for everyone haka kamsemo natumaini nitakaona hapapole sana "" hali ya kawaida hiyo "" unapokesea pakukanyaga na kuanguka"" ndio dira ya utambuzi wa akili itakavyoweza kukusaidia kuujua ubaya wa njia"""
Ana akili nyingiNaunga mkono Hoja ""