Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Kwa jins bank zilivyo na njaa sasa hiv,mtu hawez toa pesa kama sio zake..kutoa mil10 maswal lukuk sembuse hyo 50..huyo alieandika na kulalama sjui director na ontario watakua wanajua walichofanya,na kama ni partners,hawez toa mpunga peke yake,so kama katoa huo mpunga bas ni pesa yake
 
Mm nipo kwenye group ukweli ni kwamba client hatukuibiwa ila kuna mgogoro kati yao. Kwa hiyo katika account za TMT Sirjeff kachukua hela yake kasepa kwa sababu katika kampuni alikuwa na share. So kuchukua share zake si kosa na kutokana na ugomvi inawezekana share zake zilizuiwa
Taratibu za kugawana hisa za kampuni ndio zinakuwa za kienyeji hivyo?

Kampuni kama ina madeni je?
 
Taratibu za kugawana hisa za kampuni ndio zinakuwa za kienyeji hivyo?

Kampuni kama ina madeni je?
Kama MuSouth alitaka kusepa na hela njia ilikuwa ni kuchukua kilicho chako kabla hakijakwapuliwa
 
Back
Top Bottom