uliponyeka kwenye mdomo wa mamba...shukuru mizimu ya kwenu...haha haaadah kila nikiona nyuzi kama hizi nakumbuka nilienda Jangid plaza na hela yangu ya training, sikutaka mtumia JP market nikamwambia dada ongea na jamaa nilipie training tu alivyompigia simu jamaa akakaza nikasema potelea mbali nikaweka pesa yangu mfukoni nikatimka sasa hivi hizi habari zinanifanya nigundue yale hayakutokea bahati mbaya
Inawezekana ikawa ni mtu mmoja mwenye zile ID mbiliHahah Hivi mkuu hauhisi labda ndg Habib na Ontario walikua wanajuana kitambo tu nje ya JF na hata kujiunga hapa Jf kwa hao wawili huku kila mtu alijifanya anajiunga kwa muda wake na kama vile hawajuani hivi walifanya hivyo purposely?
Unakumbuka ile Story the bold anampamba Ontario eti Mpk boss wa Usalama wa Taifa walikua wanampigia simu dogo sijui wanamuogopa,story kibao.
Najiuliza hivyo sababu baada ya TMT kupiga hela huyo the bold story zake zikapungua na akateleza mazima humu jf.
Mkuu wale wote Janja Janja...huo Uzi wa the bold anaosema kuwa alifika o'bey akiwa na t-shirt ya jeshi kisha akaenda kwa police na kumuomba koti lake ili ile t-shirt yke "" ya kijeshi isipate kuonekana hahaaa"" yaani nilipokuwa na soma ule waraka nilivyokuja kufikia hapo tu "" nikaona kuwa hawa wote wezi ..na wanatumia ujinga wawabongo "" kuweza kuwarubuniHahah Hivi mkuu hauhisi labda ndg Habib na Ontario walikua wanajuana kitambo tu nje ya JF na hata kujiunga hapa Jf kwa hao wawili huku kila mtu alijifanya anajiunga kwa muda wake na kama vile hawajuani hivi walifanya hivyo purposely?
Unakumbuka ile Story the bold anampamba Ontario eti Mpk boss wa Usalama wa Taifa walikua wanampigia simu dogo sijui wanamuogopa,story kibao.
Najiuliza hivyo sababu baada ya TMT kupiga hela huyo the bold story zake zikapungua na akateleza mazima humu jf.
hapana the bold na huyo Ontario wote tunawajua..."" sema niwashikaji "" Ontario alikuwa anamtumia the bold katika uandishi ili aweze kufanikisha dhamira zakeInawezekana ikawa ni mtu mmoja mwenye zile ID mbili
Mkuu jamaa ana akili za darasani but tukija kwenye elimu ya dunia Mheshimiwa hapo kafyata mkia....Ni huyu hapa Ndezi mmoja hivi Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
Kasome thread zake ucheke upasuke kama ana undugu na Deo kisandu vile.
Napata wasiwasi huo pia maana hao wote 2 wana share 1 common intetests ni "story tellers " wazuri.Inawezekana ikawa ni mtu mmoja mwenye zile ID mbili
haha hahaa "" analeta ujuaji mtaani acha wamnyooshe ...Ontario akili kubwa ile ...wameibiwa kina .ruge " Ay na max"" yeye nani sasa !?Mkuu jamaa ana akili za darasani but tukija kwenye elimu ya dunia Mheshimiwa hapo kafyata mkia....
Mtaani hakuitaji A na GPA kubwa sasa hivi kitaa kinampa fundisho....
Zile A zacheti na First class ni chuoni huku ulimwenguni kuna elimu kubwa zaidi ya hayo makaratasi....
Mhh, ni ngumu kutabiri kama kachukua au hajachukua. Na kama amekwapua ni kiasi gani kichopotea. Unajua hizi biashara zina mengi ila subira ndio jambo pekee litakalotuambia ukweli.Ni sh ngapi kwani mkuu? Ml 50?
wale niwatu differ kabisa mkuu"" sema nachoweza kukisema "" nikuwa the bold alikuwa anatumika katika kuandaa essay " za Ontario ili aweze kuja kuwaumiza watu Humu """Napata wasiwasi huo pia maana hao wote 2 wana share 1 common intetests ni "story tellers " wazuri.
Lkn nahisi ni watu 2 tofauti pia sababu huyo Habib alishaandika story zake humu baadae akasema gazeti nadhani la MTanzania walikuja kuiiba hio story bila copyrights lkn akaenda akamalizana nao,so huko kwny hilo gazeti identity yake halisi watakua wanaijua mkuu.
watu wengi wana mchukulia ontario kama broker hapo ndo wana changanya, ontario hata akiondoka na ma bilioni client hawezi kudhurika hata kidogo labda tu kwenye ku deposit na ku withdraw kwa njia ambayo ameizoea. sasa kama jamaa kasepa inabidi waangalie option nyingine ya kutoa na kuweka, naona niko sahihi?Wakuu hawanaga dogo humu walizaa nae fasta kibichikoma.
Ukiumaliza huo nakutag mwingine. Huo ndio katandikwa balaa na wadau. Ahahaha.
Hahah pole sana ndg nilikuonaga kwny uzi wa Forex ukisema unapumzika ku trade kwa muda kidogo hahah,nikajisemea moyoni hiiiiiiiiiiiiiiiii na wewe uliingizwa mjini?Huyu jamaa ni shigdaa
hahhhahah na kweli mkuu nilikuwa naipenda mno forex lakini swala la kulazimishwa kutrade kwa broker wao lilinipa sana ukakasi nikaamua achana nao kabisauliponyeka kwenye mdomo wa mamba...shukuru mizimu ya kwenu...haha haaa
haha haha sasa hilo suala ndio lilokuwa linamuingizia Jamaa wa TMT pesa sasa...maana walikuwa wanatoa mafundisho haba makusudi ili victims waunguze acc ...zao makusudi na wao wapate kuingiza percent zao kwa broker wao "" na hayo ndio yalikuwa makubaliano yao ""hahhhahah na kweli mkuu nilikuwa naipenda mno forex lakini swala la kulazimishwa kutrade kwa broker wao lilinipa sana ukakasi nikaamua achana nao kabisa
Wadau mmeimba weee lakini wapi. Leo watu ndio wanajifanya, "ayaaaaaaaaaaaaaaa . kumbeeeeeeeee" mazafanting!ha ha ha ha tuliitwa haters enzi zetu na wazee wa ma screen shot ya kudownload hela
Hahah aisee basi jamaa walijipanga fresh ku piga hela za "wanyonge" kwa akili sana aisee.wale niwatu differ kabisa mkuu"" sema nachoweza kukisema "" nikuwa the bold alikuwa anatumika katika kuandaa essay " za Ontario ili aweze kuja kuwaumiza watu Humu """
Hahah aisee ngoja kwanza nikarudie kale kastory maana hapo kwny t-shirt ya jeshi mara koti la polisi ulikua ni uongo mtupu huo mkuu.Mkuu wale wote Janja Janja...huo Uzi wa the bold anaosema kuwa alifika o'bey akiwa na t-shirt ya jeshi kisha akaenda kwa police na kumuomba koti lake ili ile t-shirt yke "" ya kijeshi isipate kuonekana hahaaa"" yaani nilipokuwa na soma ule waraka nilivyokuja kufikia hapo tu "" nikaona kuwa hawa wote wezi ..na wanatumia ujinga wawabongo "" kuweza kuwarubuni
Teach me forex dearMtu alie smart na mtulivu kwenye forex atapiga pesa sana sana sana sana, wengi waliokua wanamponda jamaa leo watapata pa kusemea na kupiga kelele ili hali bado wako vile vile
usd 30 kwa kila siku na unavuta mpunga wako mpesa kama una familia huli, hununui umeme, hupati nauli ya watoto shule?? mshahara wako ukabaki palepale?? matatizo ya watu yasifanye forex kuonekana ni utapeli, kama umefundisha changanya na akili zako utembee mbele
AS always say, i will put my last cent on Forex ....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kama ameweza toa hela basi zitakuwa zake.
Mi nlishaachaga hii michezo mda sana maana kama hujafaint basi unaweza ukadanja mwisho wa sikuJamaa kala vichwaView attachment 776894