Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

dah kila nikiona nyuzi kama hizi nakumbuka nilienda Jangid plaza na hela yangu ya training, sikutaka mtumia JP market nikamwambia dada ongea na jamaa nilipie training tu alivyompigia simu jamaa akakaza nikasema potelea mbali nikaweka pesa yangu mfukoni nikatimka sasa hivi hizi habari zinanifanya nigundue yale hayakutokea bahati mbaya
uliponyeka kwenye mdomo wa mamba...shukuru mizimu ya kwenu...haha haaa
 
Hahah Hivi mkuu hauhisi labda ndg Habib na Ontario walikua wanajuana kitambo tu nje ya JF na hata kujiunga hapa Jf kwa hao wawili huku kila mtu alijifanya anajiunga kwa muda wake na kama vile hawajuani hivi walifanya hivyo purposely?

Unakumbuka ile Story the bold anampamba Ontario eti Mpk boss wa Usalama wa Taifa walikua wanampigia simu dogo sijui wanamuogopa,story kibao.

Najiuliza hivyo sababu baada ya TMT kupiga hela huyo the bold story zake zikapungua na akateleza mazima humu jf.
Inawezekana ikawa ni mtu mmoja mwenye zile ID mbili
 
Hahah Hivi mkuu hauhisi labda ndg Habib na Ontario walikua wanajuana kitambo tu nje ya JF na hata kujiunga hapa Jf kwa hao wawili huku kila mtu alijifanya anajiunga kwa muda wake na kama vile hawajuani hivi walifanya hivyo purposely?

Unakumbuka ile Story the bold anampamba Ontario eti Mpk boss wa Usalama wa Taifa walikua wanampigia simu dogo sijui wanamuogopa,story kibao.

Najiuliza hivyo sababu baada ya TMT kupiga hela huyo the bold story zake zikapungua na akateleza mazima humu jf.
Mkuu wale wote Janja Janja...huo Uzi wa the bold anaosema kuwa alifika o'bey akiwa na t-shirt ya jeshi kisha akaenda kwa police na kumuomba koti lake ili ile t-shirt yke "" ya kijeshi isipate kuonekana hahaaa"" yaani nilipokuwa na soma ule waraka nilivyokuja kufikia hapo tu "" nikaona kuwa hawa wote wezi ..na wanatumia ujinga wawabongo "" kuweza kuwarubuni
 
Ni huyu hapa Ndezi mmoja hivi Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

Kasome thread zake ucheke upasuke kama ana undugu na Deo kisandu vile.
Mkuu jamaa ana akili za darasani but tukija kwenye elimu ya dunia Mheshimiwa hapo kafyata mkia....

Mtaani hakuitaji A na GPA kubwa sasa hivi kitaa kinampa fundisho....

Zile A zacheti na First class ni chuoni huku ulimwenguni kuna elimu kubwa zaidi ya hayo makaratasi....
 
Inawezekana ikawa ni mtu mmoja mwenye zile ID mbili
Napata wasiwasi huo pia maana hao wote 2 wana share 1 common intetests ni "story tellers " wazuri.

Lkn nahisi ni watu 2 tofauti pia sababu huyo Habib alishaandika story zake humu baadae akasema gazeti nadhani la MTanzania walikuja kuiiba hio story bila copyrights lkn akaenda akamalizana nao,so huko kwny hilo gazeti identity yake halisi watakua wanaijua mkuu.
 
Mkuu jamaa ana akili za darasani but tukija kwenye elimu ya dunia Mheshimiwa hapo kafyata mkia....

Mtaani hakuitaji A na GPA kubwa sasa hivi kitaa kinampa fundisho....

Zile A zacheti na First class ni chuoni huku ulimwenguni kuna elimu kubwa zaidi ya hayo makaratasi....
haha hahaa "" analeta ujuaji mtaani acha wamnyooshe ...Ontario akili kubwa ile ...wameibiwa kina .ruge " Ay na max"" yeye nani sasa !?
 
Napata wasiwasi huo pia maana hao wote 2 wana share 1 common intetests ni "story tellers " wazuri.

Lkn nahisi ni watu 2 tofauti pia sababu huyo Habib alishaandika story zake humu baadae akasema gazeti nadhani la MTanzania walikuja kuiiba hio story bila copyrights lkn akaenda akamalizana nao,so huko kwny hilo gazeti identity yake halisi watakua wanaijua mkuu.
wale niwatu differ kabisa mkuu"" sema nachoweza kukisema "" nikuwa the bold alikuwa anatumika katika kuandaa essay " za Ontario ili aweze kuja kuwaumiza watu Humu """
 
Wakuu hawanaga dogo humu walizaa nae fasta kibichikoma.

Ukiumaliza huo nakutag mwingine. Huo ndio katandikwa balaa na wadau. Ahahaha.
watu wengi wana mchukulia ontario kama broker hapo ndo wana changanya, ontario hata akiondoka na ma bilioni client hawezi kudhurika hata kidogo labda tu kwenye ku deposit na ku withdraw kwa njia ambayo ameizoea. sasa kama jamaa kasepa inabidi waangalie option nyingine ya kutoa na kuweka, naona niko sahihi?
 
hahhhahah na kweli mkuu nilikuwa naipenda mno forex lakini swala la kulazimishwa kutrade kwa broker wao lilinipa sana ukakasi nikaamua achana nao kabisa
haha haha sasa hilo suala ndio lilokuwa linamuingizia Jamaa wa TMT pesa sasa...maana walikuwa wanatoa mafundisho haba makusudi ili victims waunguze acc ...zao makusudi na wao wapate kuingiza percent zao kwa broker wao "" na hayo ndio yalikuwa makubaliano yao ""
 
ha ha ha ha tuliitwa haters enzi zetu na wazee wa ma screen shot ya kudownload hela
Wadau mmeimba weee lakini wapi. Leo watu ndio wanajifanya, "ayaaaaaaaaaaaaaaa . kumbeeeeeeeee" mazafanting!
 
wale niwatu differ kabisa mkuu"" sema nachoweza kukisema "" nikuwa the bold alikuwa anatumika katika kuandaa essay " za Ontario ili aweze kuja kuwaumiza watu Humu """
Hahah aisee basi jamaa walijipanga fresh ku piga hela za "wanyonge" kwa akili sana aisee.
 
Mkuu wale wote Janja Janja...huo Uzi wa the bold anaosema kuwa alifika o'bey akiwa na t-shirt ya jeshi kisha akaenda kwa police na kumuomba koti lake ili ile t-shirt yke "" ya kijeshi isipate kuonekana hahaaa"" yaani nilipokuwa na soma ule waraka nilivyokuja kufikia hapo tu "" nikaona kuwa hawa wote wezi ..na wanatumia ujinga wawabongo "" kuweza kuwarubuni
Hahah aisee ngoja kwanza nikarudie kale kastory maana hapo kwny t-shirt ya jeshi mara koti la polisi ulikua ni uongo mtupu huo mkuu.
 
Mtu alie smart na mtulivu kwenye forex atapiga pesa sana sana sana sana, wengi waliokua wanamponda jamaa leo watapata pa kusemea na kupiga kelele ili hali bado wako vile vile

usd 30 kwa kila siku na unavuta mpunga wako mpesa kama una familia huli, hununui umeme, hupati nauli ya watoto shule?? mshahara wako ukabaki palepale?? matatizo ya watu yasifanye forex kuonekana ni utapeli, kama umefundisha changanya na akili zako utembee mbele

AS always say, i will put my last cent on Forex ....
Teach me forex dear
 
Back
Top Bottom